Biashara ya sukari sasa imekuwa kama ya ngada, tupo tayari kununua sukari hata kwa 4000/= ipatikane tu

Biashara ya sukari sasa imekuwa kama ya ngada, tupo tayari kununua sukari hata kwa 4000/= ipatikane tu

Usiamini kila wanachosema kwa nini hiyo kitu ianze miaka hii ya kuanzia 2012 kuendelea? Huko nyuma hawakua wanafanya maintenance?? na hiyo miwa inayosubiriwa kukua sasa hivi kwani zamani ilikuwa inatokea wapi? Kwanini wasipishanishe miezi ya kufanya matengenezo baina ya viwanda vyetu?

Mathalani tuna viwanda 8, basi vitano vifanye kazi na hivi vitatu vifanye matengenezo yao kwa miezi miwili kisha vianze kazi? Baadae vifuate tena vingine vitatu kisha wamalizie na viwili na kwanza hakunaga utaratibu wa kufunga uzalishaji wa kiwanda chochote kila mwaka kisa ni maintenance ingekua hivyo basi ingekua kawaida kabisa nchi kukosa umeme kwa miezi kadhaa, kukosa vifaa vya ujenzi kama cement, bati, misumari, nondo nk kisa kikiwa ni viwanda vinatengenezwa

Kwa hiyo viwanda vya sukari tu ndio vinaharibika kwa kufanya kazi sana? wenzao wenye viwanda vingine wao hawaharibikiwi? Huu ujinga sijui utatuisha lini watz kama tatizo ni miwa inaachwa ikue mbona mazao mengine kama ngano yanayotumika sana kwa kazi tofauti huwa hayakoseni, bia zinanyweka kama kawaida mwaka mzima, maandazi, chapati, keki zinalika mwaka mzima, sembuse miwa ambayo mashamba ya miwa mengi nchini yanalima miwa kipindi chote cha mwaka maana wana mifumo ya umwagiliaji mashambani.

Huu ni ujinga....waseme ukweli tatizo ni nini.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu jaribu kujipa elimu kidogo kuhusiana na uzalishaji wa sukari na uagizaji toka nje kwa kipindi cha walau miaka 20 utapata picha na maarifa kisha ulete comment nzuri. Hii comment yako inakuzomea kuwa umekurupukia kitu usicho na uelewa nacho.

Good day sir/madam

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora ufe tu hii dunia unaweza ukaozea jela kama utatoa ya moyoni kiukweli tupo kwenye wakati mgumu sana japo tunajitahidi kupeleka vifua mbele kama tumebanwa na korona
 
Kuna mambo yanakuaga ni ya mpito ila yanasikitisha sana...

Ni kama vile serikali na wafanyabiashara wanatunishiana misuli...



Cc: mahondaw
 
Moja Kati biashara iliyo kwenye.mipango yangu ni hii ya sukari

Hii biashara bhana Nia demand kubwa sana na supply yake haikidhi kabisa hio demand

Hii inaifanya sukari hapa Tz kuwa one of the most valuable goods .

Watu hawajui tu Kuna gapes nyingi sana ndani ya hii biashara ya kutusua nje nje [emoji1787][emoji1787]

Ngoja muendele kukusanya nguvu soon sukari nitaanza nayo as retailer mpka kuja kuwa wholesaler

Sukari ni Mafuta ya Tz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli aisee.
Mimi nilikuwa sijui kama sukari imeadimika ila juzi nimekwenda kwenye mini supermarket fulani kununua vyakula sasa nikashangaa watu wengi wamama na wababa wanaingia mle supermarket kuulizia sukari na hawakufanikiwa kupata.
Hapo ndio nikashtuka na yule dada ndio akaniambia sukari imeadimika ukihitaji njoo weekend nitakuwa nishaagiza nitakuwekea.
Nikasema asante nitakuja kuchukua sukari yangu
Kama muuzaji hakujui hakuuzii kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sukari ya nn? Tumieni chumvi Ni nzuri kwa afya pia ni nafuu kuliko sukari
 
Ni kweli aisee.
Mimi nilikuwa sijui kama sukari imeadimika ila juzi nimekwenda kwenye mini supermarket fulani kununua vyakula sasa nikashangaa watu wengi wamama na wababa wanaingia mle supermarket kuulizia sukari na hawakufanikiwa kupata.
Hapo ndio nikashtuka na yule dada ndio akaniambia sukari imeadimika ukihitaji njoo weekend nitakuwa nishaagiza nitakuwekea.
Nikasema asante nitakuja kuchukua sukari yangu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu picha ya huyo dad's was supermarket nami niagize sukari 10kg
 
Nguvu na ubabe havijawahi leta suluhisho kwa wananchi ila dhiki kuu na serikali kushindwa tawala
 
Kwani Mtibwa sugar wana semaje kuhusu ili

sijui itakuaje
 
Mimi juzi nimenunua kilo 1 kwa sh.elf 4 na tena baada ya kuzunguka kama nusu saa nikiwa na bodaboda ambae anaijua mitaa
 
Back
Top Bottom