Biashara ya Uchawi Tanzania


Please send me too these soft copies
 
Mbona unanitisha mkuu? mi si nafikiri ni vitabu vya usoma tu na kuongeza uelewa? Kwani kuna vitabu wachawi hawataki watu wasome? Mi sitaki ugomvi na mtu bwana!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

du!Umechuja Mkuu!
 
By critical thinks i believe that:uchaw na mchaw ni fan ya kitu au ya mtu.dont matter kuwa mtakatifu au mwovu.ila IMANI ndiyo msing wa kuufikia uzima wa milele,mbali na din ambazo twajua fika zimeanzishwa na binadamu wa nyama na mifupa.kwa minajili hiyo bas,tujue uchaw na mchaw siyo vitu vya kutisha kwa mwenye iman.AMEN
 
Ukiona unga na mikaa imewekwa juu yake mitaani kwako, jua kuwa eneo hilo ni maskani ya wachawi wa nchi, na kama unaishi maisha ya hovyo hovyo, hakika wewe ni msukule mtarajiwa.[/QUOTE]
hii ni kali... vp na vpande vya mifupa ya nguruwe??
 
Maji moto njoo utupe njia ya kuondokana na hila zote za wakuu wa giza pamoja na wasaidizi wake. Kwa maana wengine tunapofanya maombi hatujui tuombe nini!
 
wapenda kwenda kwa waganga.......
1. high governmental officials, a)mawaziri b)wabunge c) mdiwani nk
2. viongozi wa dini (zote)
3. wfanya biashara ziwe kubwa au ndogo
4. wanawake kwa love affairs issues
5.wanafunzi mashuleni
 

Mkuu hebu ongelea na visoke kidogo.
 
Yeyote yule anayetaka kufahamu uchawi na aina za wachawi atafute kitabu kinachoitwa "Mkuu wa wachawi sasa ampokea Yesu." Ukiachilia mbali kwamba alimpokea Yesu, kitabu hiki kimechambua habari zote muhimu za kichawi. Mwandishi Iyke Uzorma ni msomi PHD alikuwa na cheo cha juu mno katika uchawi na ametaja hata wachawi tishia Afrika (Yumo m-tz, aisee!). Ni kitabu kizuri sana.
 
Maji moto njoo utupe njia ya kuondokana na hila zote za wakuu wa giza pamoja na wasaidizi wake. Kwa maana wengine tunapofanya maombi hatujui tuombe nini!

Kwani iman yako haikufundishi?au huyu majimoto ndio iman yako?kazi unayo dogo
 
Huu utafiti unatakiwa uwe wazi zaidi. Inashangaza mikoa ya Kilimanjaro na Kagera kuongoza kwa kuwa wateja wa uchawi wakati huo huo ndiyo mikoa inayoongoza kwa elimu. Mtafiti anataka kuaminisha umma kuwa ukitaka kuendelea
kielimu nunua uchawi? Angetakiwa pia aonyeshe mahusiano ya uchawi na maendeleo kwa ujumla wake vinginevyo ni kupotea muda kwa kuwa hakuonyesha faida ya uchawi au hasara zake.
 

Mkuu hizo takwimu za wateja wa uchawi umezipataje? Huo mkoa kinara naunga mkono mia mia..........wateja wazuri sana ..........cause they are very greed
 

Kinapatikana wapi mkuu? kama unayo kopi laini itundike humu mkuu
 
Kinapatikana wapi mkuu? kama unayo kopi laini itundike humu mkuu



Kwenye stendi za vitabu Ubungo, Kariakoo, Mwenge n.k. Kitabu hiki kimebadili maisha yangu, huo ndio ushuhuda wangu mkuu.
 
Haujachelewa, tafuta Dangerous Prayers Books Part 1 na 2
visome usiku, utajionea mwenyewe mpendwa
 
Jamani naomba mnijuze, hivi mkoa wa mara hakuna uchawi?
Kule ni mapanga tu au vp?!
 
Hii thread nilikuwa kila siku naiona lakini sijawahi kuifungua. Leo sijui kitu gani kimenifanya nifungue, nimecheka sana kwenye hizo categories za wadau wa uchawi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…