Biashara ya Uchawi Tanzania

Biashara ya Uchawi Tanzania

Ukianza kukisoma tu hiko kitabu utajikuta hausomi kama hadithi tena, bali utajikuta ukitamani tu uendelee kujua mengi zaidi yaliyomo, maana kwa namna zote yanagusa Mtima wako na maisha yote kwa ujumla.
kanunue please, ni hapo Mwenge tu
 
ukianza kukisoma tu hiko kitabu utajikuta hausomi kama hadithi tena, bali utajikuta ukitamani tu uendelee kujua mengi zaidi yaliyomo, maana kwa namna zote yanagusa mtima wako na maisha yote kwa ujumla. Kanunue please, ni hapo mwenge tu
kwa mikoani vp mfano arusha na moshi
 
{Nilikuwa natafuta Mkoa wa IRINGA kule ambako kaburi halihamishiki sijauona.}
Na mimi nilikuwa nauangalia huo mkoa kwani kuna watu wengi wanakwenda makete kutafuta dawa ya utajiri
 
Biashara hii ya uchawi kwakweli sasa imekua dili sana kwa ndugu zetu wa kila rika yaani sio wazee,vijana na hata watoto hivyo mi nafkiri source ya ongezeko hili ni imani finyu kwa mwenyezi Mungu,tamaa ya utajiri wa haraka,ugumu wa maisha,mifarakano ndani ya ndoa,tamaa ya uongozi,mila potofu za baadhi ya makabila yanayoaamini kuwa bila ndumba hakuna mafanikio,pamoja na sababu kibaaaaaoo zinazosababishwa na shetani anayesadikiwa kuziteka roho nyingi za wanaadamu..Kumbe hawajui kuwa mali,utajiri na mafanikio ya kweli yanatoka kwa aliyetuumba pamoja na kufanya kazi kwa bidii na maarifa.
 
Mbona unanitisha mkuu? mi si
nafikiri ni vitabu vya usoma tu na kuongeza uelewa? Kwani kuna vitabu
wachawi hawataki watu wasome? Mi sitaki ugomvi na mtu
bwana!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

hahahahahahahaaaa shetani hana kitu ni mchovu sn ila tu mikwara yake ndio mizito.
 
Hivyo vitabu vinapatikana wapi mkuu? kama kuna soft copy mwaga humu ndani

Kama unataka soft copy ya hicho kitabu kwa kiswahili hicho cha maombi ya kushinda ni PM au nielekeze jinsi ya kuattach documnet
 
  • Masonic Allegory of Death
    Masons have a peculiar allegory about death that expresses their belief in the afterlife. It's an ominous drawing called "Time and the Virgin" depicting an old man holding a scythe, much like the grim reaper, behind a young female who is weeping over an open book and broken column. The old man is analogous to the Greek god Chronos, an aspect of time personified. This image symbolizes that every Mason must be patient and persevere with thoughts of hope when death strikes, and how once people pass away the concept of time becomes eternal and thus the soul immortal.

  • Masonic Funeral Ceremony
    During a Masonic funeral, the deceased Mason is placed into a coffin with his Masonic attire draped over his body, such as his apron to symbolize how he lived his life in purity and temperance. A piece of evergreen is then laid on his heart to symbolize the immortality of his soul, and the peacefulness in which it now rests. Generally, family and friends attend the funeral service along with other Masonic brothers; even if they did not personally know him, other Masons can pay respect to his life as a member of the Freemasonic fraternity.
    Masonic Prayers
    Every Mason gets the same Masonic prayer recited during his funeral, regardless of his religious background. The Masonic chaplain or clergyman reads a eulogy that speaks about the principles of Freemasonry. The chaplain speaks about how a Mason builds his character the same way he builds a house, and how once a person dies his soul is placed in the temple of heaven, built by God, whom the Masons call "The Grand Architect of the Universe." The prayer may also include the reciting of Psalm 23 from the Bible, which is a standard for many non-Masonic funerals as well.

    Masonic Tombstones
    Many Masons are honored after their death with the erection of a heavily symbolic monument at their gravesite. This monument may include a statue of the Mason's likeness, or just a column with Masonic etching over it. Often, a soldier or commander who fell during a war is given a broken pillar, such as the one displayed in Albany Rural Cemetery, to symbolize the unfinished life. There is also a famous statue called "Friend to Friend" at the Gettysburg Cemetery, which depicts an act of "Brotherly Love" between fellow Freemasons.



 
JE UNAJUA MSUKULE NI NINI?

MSUKULE
Msukule ni mtu ambaye anahesabiwa amekufa, lakini ukweli ni kuwa mtu huyo huwa amechukuliwa na Mchawi ili amtumie katika kazi zake maalum au amtumie katika mambo yake mengine anayoyataka.

Mchawi humfanya mtu huyo awe maiti au kama kitu kinachojiendesha chenyewe kikiwa kimekufa lakini hakijaoza wala hakiozi.

Mchawi kabla ya kumchukua mtu Msukule hufanya Mkataba Maalum na Jini anayeitwa “BAKAS” ili amsaidie katika kazi hiyo, na kuna Sadaka maalum ambayo hutoa kumlipa Jini huyo kama malipo ya kazi yake. Huyu Bakas ni Jini anayetawala siku ya Jumamosi.

Baada ya kukubaliana na Jini Bakas Mchawi huchagua mtu ambaye anataka kumchukua na akishampata huenda nyumbani kwa mtu huyo kinyume nyume mpaka anafika mlango wa mbele.

Anapofika mlangoni hunyonya roho ya mtu anayemtaka kwa kupitia tundu ya ufunguo na kama tundu hiyo haipo hutoboa tundu ndogo ambayo huiziba akimaliza kazi yake.

Baada ya kuipata roho anayoitaka huitia ndani ya chupa na kuziba chupa hiyo na kuondoka. Kazi hiyo hufanyika usiku wa manane kati ya saa nane na saa tisa usiku.

Siku inayofuata yule aliyechukuliwa roho yake huanza kuugua na hufa ghafla.

Baada ya Mazishi yule Mchawi huenda kaburini akiongozana na yule Jini Bakas ambaye hujigeuza kama babu kizee mwenye ndevu nyingi nyeupe ili kuuchukua ule mwili wa Marehemu.

Wanapofika makaburini yule Jini hukaa upande wa kichwani kwa maiti na mchawi hukaa upande wa miguuni na kila mmoja wao akifanya uchawi wake lakini kazi kubwa ya kumtoa maiti ndani ya kaburi kufanya na Jini.

Jini huomba kwa bidii na kunuiza Uchawi na husema maneno ya kichawi huku akimwaga juu ya kaburi majani ya Mkakaya (Acacia)

Mchawi yeye kwa upande wake husema maneno haya yafuatayo akirudia rudia “Mortoo tombo Mivi” maana yake ni kwamba “aliye ndani ya kaburi ni wangu”

Kwa nguvu za Uchawi mwili hutoka kaburini bila ya kaburi kuchimbwa na kusimama mbele yao na yule mchawi hukabidhiwa maiti huyo.

Baada ya kukabidhiwa kitu cha kwanza ambacho hufanya ni kwenda nyumbani na kumuonesha huyo ndugu zake kuona kama atawakumbuka.

Maiti huyo asipozinduka na kuwagundua ndugu zake au kutambua nyumbani kwao basi Mchawi hujua kwamba kazi imekuwa nzuri na hupelekwa nyumbani kwa mchawi.

Wakifika nyumbani Mchawi humrudishia yule Maiti roho ambayo aliiweka ndani ya chupa na kumnywesha dawa kali ambayo itamfanya asahau kabisa maisha yake yote ya nyuma yaliyopita na baada ya hapo maiti huyo atazinduka na kuwa Msukule.

Msukule ni binaadamu anayeishi lakini hana uhuru na anatumiwa kama mtumwa huku ndugu zake au jamaa zake wakijua kwamba amekufa.

Uchawi huu wa kuchukua Msukule ulianza miaka 500 na 1500 A.D. huko nchini Congo na Haiti na kuenea sehemu nyingi za Dunia

Kumbe Wewe Majimoto Aka Mama Porojo Ndio Mke Wa Mchungaji Gwajima?




Sehemu tu kati ya watu 400 waliokuwa misukule katika maeneo mbalimbali kama vile mashambani, mapangoni, kwenye misitu, mashimoni, chini ya uvungu, darini, nyuma ya kabati na milango, chini ya bahari, kuzimu, kwa wasoma nyota na sasa wamerudishwa na Bwana Yesu.Watu hawa katika picha wakishuhudia jinsi wachawi walivyowachukua na kuwatumikisha huko msukuleni. Pamoja nao katika picha ni Mchungaji Kiongozi Josephat Gwajima wa kanisa la Glory of Christ Tanzania (Maarufu kama Ufufuo na Uzima)


Posted by Glory of Christ Tanzania Church: Nyumba ya Ufufuo na Uzima at 7:48 AM
 
Hapo kwenye nyekundi mapigo ya moyo yameruka, ukizingatia niko ofisini alone
Mkuu Usiogope kitu Majeshi ya Mashetani hayawezi kuya shinda majeshi ya Mwenyeezi Mungu Mmoja aliye pekee hana mfano wake. ni Upuuzi wa maisha Muombe Mwenyeezi Mungu atakulinda na hila za Mashetani wabaya mkuu Mlachake
 
nimesoma mpaka page ya sita tu lakini hayo majina ya majini katika miji hiyo yote yana majina ya Kiarabu na hayo majina ndugu zetu wa imani ya Kiislamu huyatumia hayo majina. Sijui hii ina maana gani
 
mkuu, haya mambo yapo, hayo uliyoyaandika ni madogo, laiti macho yako ya ndani yangekuwa na uwezo wa kuona ulimwengu, ungeshangaa dunia ilivyojaa uchafu.

Kwa mfano sasa hivi wapo watu wengi sana barabarani ambao siyo binadamu kabisa, na wengi wameolewa na kuoa bila kujua. Yapo magari mengi yanatembea barabarani jijini sasa hivi yakitokea kuzimu, na mara nyingi yanapomaliza shughuli zao za uharibifu hutoweka, wananchi wanabaki kudai serikali ijenge matuta kupunguza ajali, mtajenga matuta hadi mtashindwa kutembea ndani ya barabara zenu wenyewe.

mama porojo tufanyeje ili haya yasitupate?
 
Kumbe Wewe Majimoto Aka Mama Porojo Ndio Mke Wa Mchungaji Gwajima?




Sehemu tu kati ya watu 400 waliokuwa misukule katika maeneo mbalimbali kama vile mashambani, mapangoni, kwenye misitu, mashimoni, chini ya uvungu, darini, nyuma ya kabati na milango, chini ya bahari, kuzimu, kwa wasoma nyota na sasa wamerudishwa na Bwana Yesu.Watu hawa katika picha wakishuhudia jinsi wachawi walivyowachukua na kuwatumikisha huko msukuleni. Pamoja nao katika picha ni Mchungaji Kiongozi Josephat Gwajima wa kanisa la Glory of Christ Tanzania (Maarufu kama Ufufuo na Uzima)


Posted by Glory of Christ Tanzania Church: Nyumba ya Ufufuo na Uzima at 7:48 AM
HADITHI ZINGINE MUWE MNAZIHARIRI MNAWAHONGA WATU MTUDANGANYE NI MISUKULE KWANI SIRI YA UREMBO HATUIJUI? Fanyeni biashara halali na siyo kudanganya watu Mungu hapendi Hapo hakuna cha msukule wala nini uwongo mtupu.
 
Wateja wengine wa wachawi
1. Wafanyabiashara
2. Wasanii
3. Kina mama wa nyumbani
4. Wanafunzi wa shule za sekondari hasa wa kidato cha pili.

Mkuu, hiyo namba nne umesema wateja wakuu wa uchawi na wanafunzi wa Sekondari kidato cha pili wapo sasa kwanini wawe wao na sio wanafunzi wengine hasa wa vidato vingine wa vyuo vikuu? na hao wanafunzi wengi wa kidato cha pili ambao umesema ni wateja wakuu wa uchawi wao wanatokea mikoa ipi na sehemu gani?
 
Mhn! kwa kifupi bila hata kufuata takwimu hali ni mbaya sana. watu hawatiaki kufanya kazi na wanategemea mafanikio au mavuno makubwa kwa kazi wasio fanya.matokeo yake wameamua kuamini nguvu za giza.
tunatakiwa tuwaelekeze watu ni jinsi gani wanaweza kujikomboa kwa kujituma na bahati nzuri siku hizi waganga washastuka ukienda wanakupiga hela ya maana lakni watu wamo tu.
 
Nimetamani sana huyu maji moto angeendelea kuwepo hapa jf anijibu maswali yangu kwa mujibu ya maelezo yake,lakini hata mtu mwingine mwenye uelewa naomba anifahamishe
1).majimoto amesema majini yAnawalaza usingizi mzito sana wakristo wakati wa adhana,sasa inamaan adhana inapotoka wakristo wote husinzia popote walipo au alimaanisha nini?
2).alisema kutumia ubani ni katika ibada za kichawi,naomba anieleze je waislamu na wakatoliki ni wachawi?
3)ameweka orodha ya viongozi wanchi za kiarabu tu ndio wanaoenda kuzimu,vipi kuhusu marekani,ulaya na africa?
4).anasemaje kuhusu papa huyu kiongozi wa wakatoliki nae ni mchawi sababu anatumia ubani katika ibada?
Angalizo:
Hii thread ni ya kilokole ambayo hata mistari na misimamo ya alieiandaa imekaa kilokole huku ikijenga hoja ya kuonyesha imani zingine ni za kichawi,nyie mliochangia wengi wenu mmemgeuza huyu majimoto kama ndio kitu gani sijui ambae anajua kila kitu mlichokumbana nacho katika maisha yenu,acheni kuwa wepesi wa kushawishiwa na watu wanaokaa chini yamiamvuli ya dini,hizi ni nyakati za mwisho,kama hutamshikilia MUNGU unaemuamini na kumtii siku zote kwa kufuata maelezo ya mtu ambae hata humjui, na zaidi unashindwa kutumia logic ya kawaida tu. kutambua kuwa shetani anambinu nyingi na hii inaweza kuwa mojawapo.
 
maji moto au Mama Porojo mbona umeamua kupakimbia hapa na yale uliyokuwaa unayasema yanafanyika hapa duniani vp utarudi tena? Au ndio basi tena?
 
Last edited by a moderator:
Nadhani umeshawahi kusikia harufu nzuri ya plau wakati unatembea porini au mashambani sehemu ambayo hakuna nyumba yoyote karibu.

Je unajua harufu hiyo inatoka wapi

Unapopita sehemu hiyo wanapoapishwa wachawi, au karibu na madhabahu za wachawi harufu nzuri ya plau husikika lakini huwezi kuona chochote kwa macho yako. Ujue hapo wanaapishwa wachawi.
jamani mbona mi hii ishu ya harufu naisikiaga mara nyingi tu porini? na si huwa tunasema ni nyoka ndiyo anaetoa hiyo harufu!!!
kumbe ni uchawi!!!!
OOH GOD TUEPUSHE NA HAYA!!
 
Back
Top Bottom