Biashara ya Uchawi Tanzania

Yaani Mbeya sio tishio???? Pamoja na mauaji yoote hayo kutokana imani za kishirikina kwa kipindi zaidi ya miaka kumi. Kyela, Mbozi, Ileje, Chunya na Mbarari ni nouma mazee labda ni vyema utafiti waka ukajumuisha.

Pwani hasa hasa bagamoyo haimo kabisa katika saba pamoja historia yote ya karne na karne? Wapemba hawamo??

Iringa na balaa loote la wakinga hawamo kutoka utajiri wa kuku na mahindi bado hawamo?? Mbona idadi ya matahira na machizi ni kubwa zaidi Iringa na Mbeya kuliko Tabora na hawa ndio waleta bahati madukani na katika biashara??

Wanasiasa na watu mpira hawamo kwenye wateja wakubwa???? Vimbwanga vyote hivi uwanjani na katika chaguzi? Vongozi wa dini uhususani hawa wanaokuja sasa hawamo?? Wavuvi na watu migodini wamezidiwa na wanafunzi wa kidato cha pili??

May be further study inahitajika, Tabora ni tishio kuliko Mbeya, Iringa, Pwani???? wakati mbeya hata muuza bucha ya shwaini anatumia nondo kuua ili auze, Mbozi watu wamechunwa ngozi, Chunya walimu chupi zimefuka zenyewe mpaka wakahama mji, Tukuyu watoto wameuawa na kunyofolewa nyeti mpaka wageni wakapigwa marufuku??. Pwani mkuranga Popo bawa kafanya watu wasilale??
 
Hahahaah!! Kweli huu utafiti wa huyu jamaa una upungufu.
 

sijui nani amekudanganya,Mungu hakumtupa shetani kuzimu,shetani ametupwa duniani,ningekuwa na muda ningekupa biblical proof,hakuna mtu hai wala pepo aliyeko kuzimu.
 
sijui nani amekudanganya,Mungu hakumtupa shetani kuzimu,shetani ametupwa duniani,ningekuwa na muda ningekupa biblical proof,hakuna mtu hai wala pepo aliyeko kuzimu.

Don, vipi muda bado ni tatizo?
 
Bado mtoa mada hujatuambia mapato yatokanayo na hichi kitega uchumi, ukitembea tembea Africa Mashariki, utapata kila mji kuna matangazo " Mganga maarufu kutoka Tanzania, Sumbawanga! anapatikana........", anzia Mombasa, Nairobi, Kampala, Bujumbura Kigali hadi Lilongwe kooote. Hilo pato nafikiri laweza shindana na Utalii!!
 


kumbe nyerere ndio alikuwa chanzo cha haya yote ...
 
Sasa hivi...Mungu amemuibua huyu mtoto kutoka mwanza, GB MALISA, jitahidi uingie kwenye 18 zake ujionee vituko vya dunia na jinsi alivyo na uwezo mkubwa wa kuvisambaratisha kwa karama ya kinabii. yaani utashangaaa
 
Sasa hivi...Mungu amemuibua huyu mtoto kutoka mwanza, GB MALISA, jitahidi uingie kwenye 18 zake ujionee vituko vya dunia na jinsi alivyo na uwezo mkubwa wa kuvisambaratisha kwa karama ya kinabii. yaani utashangaaa
una uhakika Mungu ndo amemuibua?
 

Ndugu, kuna kusoma as in 'kuhudhuria darasa' na kusoma as in 'Kuelimika' I have someone I know "kasoma" and they're from one of those two places you mentioned but, evryday if something doesnt work well basi, to them ni mkono wa mtu
 
maprofesa wa uchawi wako zenji!unakula waifu ya mtu unaletewa popo bawa anakula tigo yako mpaka unasema hiki nini, mpango wenyewe unaota unaliwa tigo kila siku,ukiamka asubuhi uko poa maeneo ,ikifika usiku we kulala ishu!fikiri miezi hadi miaka huwezi kulala mpaka useme la sivyo itaendelea mpaka unakuwa choko kweli!
 
Mkuu ntakupataje nakihitaji hcho kitabu cha dangerous player
 
Makubwa haya,"Hasa wanafunzi wa kitado cha pili" why kwanini sio wanafunzi wa form six au wanavyuo?
 

vp mwenzetu uliyefanya utafiti, nawewe ni mchawi???? Maana huna source na reference yoyote ili nasisi tuweze kuamini au kutoamini!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…