Biashara ya Uchawi Tanzania

Muongo Kilimanjaro hakuna uchawi...Kuna ubabe tuu wa kudundana


 
Kama ni maswala ya uchawi bhasi Tanzania nzima Wapo wachawi na inategemea na mahitaji na fikra za wanao hitaji.
 
Chuki imeingiaje sasa hapo!!??
 
Lakini jamani haya ma nguvu ya giza inasemekana yanakuwa na expire date ,kila mara unatakiwa kurenew

Kwanini Kuishi kwa mashaka namna hii?

Hawa wanaofata utajiri wa biashara na mengineyo

Mbona asilimia kubwa ya waganga ni maskini ambao nyumba wanazoishi hazielezeki?

Au ndio mashariti yao hayo?
Husninyo usithubutu hii makitu,,utapotea :sleepy:
 
Last edited by a moderator:
uchawi ni km umeme km ukiunga waya na kuuvuta kwa kwa hiari lazima upate na kuhangaika nao kila cku
 

Duh! Wabongo kiboko
CC: Geza Ulole kadoda11 Bulldog
 
Last edited by a moderator:
Duh! Wabongo kiboko
CC: Geza Ulole kadoda11 Bulldog

hahaha nimeishia kucheka niliposoma hii topic.i wonder why Majimoto never mentioned kenyans particulary kikuyus as one of our dearly customers from a neighbouring country.i'm told most of the successful kikuyu entrepreneurs use "uchawi" from tz to sustain their businesses.

cousin zenu wachaga ndio wanaongoza orodha ya wateja wanaonunua na wanaotumia sana uchawi ktk biashara hapa bongo.lol
 
Last edited by a moderator:
Mbona watu wanaamini uchawi ni mbaya halafu tena maendeleo nyuma, swali langu mbona matajiri, viongozi wakubwa waserikali na dini tunaaminishwa kuwa niwachawi? Hivi lipi ni jibu sahihi juu ya uchawi (a) mbaya (b) mzuri?. ( )
 

Ha ha ha haah,,,,,,my dear Husninyo pita hapa tafadhali.
 
Last edited by a moderator:
Mbona watu wanaamini uchawi ni mbaya halafu tena maendeleo nyuma, swali langu mbona matajiri, viongozi wakubwa waserikali na dini tunaaminishwa kuwa niwachawi? Hivi lipi ni jibu sahihi juu ya uchawi (a) mbaya (b) mzuri?. ( )

Hakuna uchawi mzuri ndugu yangu, japo hakuna ushahidi usio na mashaka hata hao wenye mafanikio kupitia uchawi inasemekana watatoa kafara za damu.
 
Mimi napinga hii orodha yako! Shinyanga hatumo? Haiwezekani! Hao wengine umewapendelea Mkuu!
 
orodha yako ya wateja siyo ya kweli niwazi wateja namba MOJA wa uCHAWI ni VIONGOZI (wanasiasa) wakufuatiwa na wafanyabiashara hao wengine ni kidogo sana
 

Kwa hyo una maanisha ajali zilizotokea na zinaendelea kutokea Singida eneo la ikungi kuna dalili ya kuwepo kikao cha wachawi
 
kigoma ilikua zamani kuna kijiji nliambiwa kinaitwa Makere-ushingo-wilaya ya Kibondo. .... unanunua radi na majaribio wayafanya hapo hapo....

No, Makere iko kasulu kigoma siyo kibondo!kule aina yoyote ya uchawi huuzwa kwa mafungu kama nyanya, mihogo au bidhaa zingine. Ukitaka wa shilingi 50, 100 hadi milioni unapata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…