Biashara ya Uchawi Tanzania


Mmmh hii nayo kali !! We umeyajuaje hayo?? Na akishafuzu mafunzo yote hayo anaajiriwa wapi?
 
Mkoa wa Dar naona nao unakuja kwa kasi kuhusu uchawi,baada ya miaka kama 5 nafikiri utakua unaongoza kwa wachawi na watumiaji wa huo uchawi
 

Duu wewe utakuwa ndo mchawi kabisa! Utawezaje kuyajua yote haya ikiwa ww sio
 
sijauona mkoa wa zanzibar. huko ndo hakuna mpinzani. Waulize hata simba na yanga
 
Kila kitu kina faida na hasara zake. Ila me nahisi biashara ya uchawi ndio ina hasara kubwa kuliko faida, kwa mfano utoaji wa kafala.
 
Mkuu mama porojo umepotea ,njoo utueleze kwanini ajali n nyingi sana kipindi,je? Kuna uhusiano na nguvu za Giza...
 
Mkuu hiyo namba nne kuna siri gani hapo? Mbona viongozi sijawaona hapo maana nasikia nao ni wateja wakubwa wa uchawi.

hahaha hapo nazani itakua ile average ya 30 ku pass kwendaaa kidato cha tatu ahaha
 

Aisee, poleni sana Watanzania mnao tumia uchawi. Ndio maana Nchi yenu ni MASKINI YA KUTUPWA kwa sababu ya uchawi mnao uedekeza.

Watakabahu
 
Mkuu mama porojo umepotea ,njoo utueleze kwanini ajali n nyingi sana kipindi,je? Kuna uhusiano na nguvu za Giza...

Mahitaji ya DAMU yalikuwa makubwa kuwezesha rasimu ya katiba kupita bila mizengwe.
 

hapo kwa kidato cha pili??????????? ckuamini
 
Sitaki kuamini hii post ina comment zaidi ya 840 wakati haina kitu cha maaana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…