Biashara ya Uchawi Tanzania

Nimesoma comment ya tatu za mwisho na za kwangu mbili zikiwa ndani ya hizo tatu na main post tu(topic)
 

Nivyema kuheshimu tafiti za watu kwa kuweka references au source ya post yako:

Najua pana huyu hivi sasa no Mtumishi was Mungu ila kabla alikuwa ni Mchawi balaa tena bingwa wa kusafiri anaitwa Shekhe Omari M. Mwaimu!
 

Wengine wanajifanya kupinga kumbe ni wachawi wakubwa wanafanya hivyo ili kupumbaza wengine wasifunguke macho....MUNGU yupo na uchawi upo na kutokuamini kwamba MUNGU yupo au uchawi upo hakuwezi kuondoa huu ukweli
 


Mkuu, nimeona nikusahihishe kidogo juu ya uchawi hapa Tanzania kwani kwa bahati nzuri nimeishi kwenye hii mikoa yote uliyoitaja na kushuhudia usanii wa hiyo mikoa kwa kina. Ni Hivi bsi.
1. Rukwa - inasadikika, shetani anaishi kule....yote yasiyowezekana duniani kule yanawezekana Mh. Pinda anayajuwa haya,
2. Kigoma - shetani analala Rukwa ila asubuhi anashinda ziwani Kigoma akivua dagaa
3. Mbeya - wanaabudu sana misukule
4. Tanga - misukule, kafara, vitabu, majini
5. Pwani - sawa na Tanga ila wanatofautiana kwenye ukatili tu
6. Morogoro - wanadai shetani alipokimbizwa alipitia huku kwanza na akawa anaishi kule milimani
7. Tabora - makafara ya nguvu, utekaji albino kwa kuwatumia kiuchawi na ni mkoa ulio na vichaa wengi wa kurogwa hapa TZ
8. Mwanza - Makafara ya maalbino, kufanya shopping chini ya ziwa, mto, kufanyisha fisi kazi za mashambani na kuchota maji
9. Iringa - makafara ya viungo vya binadamu, kula na nyoka, kutumia mbegu za nafaka kwa kujiletea utajiri wa utata
0. Lindi - wamaraba wanadai huwezi kuishi kitoto, maana kwamba lazima uwe na majini ili wakufanyie kazi na kukuletea hela, wewe unakaa tu na kucheza bao na kupaka hina kwenye ndevu kumaanisha wewe ni mkongwe wa gemu.

Hapa Dar Es salaam uchawi upo ila si wa kutisha kama hii mikoa hapo juu. Kwa tafiti zangu wateja wakubwa wa uchawi ni viongozi wa serikali kuanzia rais, wabunge, mawaziri, na viongozi wengine kwenye sekta/idara za serikali na hata zile za umma, wasanii haswa toka Kigoma na Tanga, wachezaji mpira, na wafanya biashara, pamoja na kina Mama haswa wa Mkoa wa Kilimanjaro a.k.a. majinamizi ya talaka.
 

Ha ha ha sasa radi la milioni moja litakuwaje c kama bomu la nyuklia.
 


Mi mwenyewe hata siamini kama wanafunzi wa kidato cha pili wanaweza kuwa wateja wakubwa wa uchawii...
 
Mi mwenyewe hata siamini kama wanafunzi wa kidato cha pili wanaweza kuwa wateja wakubwa wa uchawii...
Mkuhapa Kwawanafunzi Sio Kweli Umewapakazia Au Nawewe Ulishawahi Wakati Uko Kidato Chapili?
 
Mbona simuoni Diamond Platinum Beibi. Maana Jamaa kwa uchawi hajambo. Ila Hongera sana Dogo kama ni uchawi Basi unakulipa haswaaa.
 
kabla ya kwenda mbali utafiti wako hauna validity wala reliability, standards gani umetumia kupata mara mikoa 3, mara 4, mara 7. Ebu weka haya sawa kwanza
 
Hi,you are really welcome to the first AFRICA-CHINA business community BAA! baa.chinaworldbuz.com GRAB YOUR ANSWER; GET MORE OPPORTUNITIES;SHOW YOUR PERSONALITY
 
Mchawi ni maarifa(ujuzi)yoyote ambayo ni amaizing kwa wengine ila unatofautiana mifumo tu ya utendaji kazi wake.
Uchawi umegawanyika katika mifumo ifuatayo

1.UCHAWI UNAOHUSISHA IMANI
2.UCHAWI USIOHUSISHA IMANI

Kila mfumo unacategories zake,kama unaelemu ya makaratasi itumie kujiuliza uchawi huo ni upi ila mimi ninatofasili zangu kuhusu uchawi nadhani nikotofauti na wengine
 

Sijawahi Ona research mbovu kama hii!!
 


Haaaahaaaahaah hii kiboko "Tunaloga hadi mpapai" tuseme kuwa kichaa amekabidhiwa rungu.
 
Utasemaje Tanga ina nguvu kubwa ya kichawi halafu kwenye kipengele cha uchawi kila kaya haipo hata kwenye 5 bora?
 
Tano born yangu mzee
1.Sumbawanga
2.mbeya
3.Arusha
4.Mara
5.kilimanjaro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…