Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mikoa saba nchini Tanzania ndiyo tishio kwa kuwa na nguvu kubwa za uchawi
1. Tanga ndio kinara
2. Lindi unafuatilia
3. Dar es Salaam
4. Mtwara
5. Tabora
6. Kigoma
7. Mwanza
Mikoa yenye wachawi wengi, kwa maana kwamba karibu kila kaya kuna mchawi
1. Sumbawanga (Rukwa) ndio kinara
2. Ruvuma inafuatialia
3. Mbeya
4. Singida
Mikoa ambayo wananchi wake ndio wateja wakuu wa wachawi
1. Kilimanjaro inaongoza
2. Morogoro inafuatilia
3. Kagera
Wateja wengine wa wachawi
1. Wafanyabiashara
2. Wasanii
3. Kina mama wa nyumbani
4. Wanafunzi wa shule za sekondari hasa wa kidato cha pili.
Safi,
lakini pia ni vema kufanya spiritual research, find if God truly lives, go through the scriptures of the bible and apply them in your life and see what happens. Ask God to guide you, i believe you will have fantastic answers. I once used to have the same mind set as i advanced my level of education and understanding, but finally i came to realize that God is real and truly lives and that he is God of wonders by grace of the Lord Jesus. Presence of witch craft and witch doctor bangos in town gives a clue on what is going on behind the scenes in our towns. Use the Bible, songs praise and worship God and pray tell him that you have doubts about his presence let him reveal himself to you use Jeremiah 33:3. He will surely come. Otherwise you will never know what you should have known before that day when Jesus comes again. Thanks and be Blessed.
Mikoa saba nchini Tanzania ndiyo tishio kwa kuwa na nguvu kubwa za uchawi
1. Tanga ndio kinara
2. Lindi unafuatilia
3. Dar es Salaam
4. Mtwara
5. Tabora
6. Kigoma
7. Mwanza
Mikoa yenye wachawi wengi, kwa maana kwamba karibu kila kaya kuna mchawi
1. Sumbawanga (Rukwa) ndio kinara
2. Ruvuma inafuatialia
3. Mbeya
4. Singida
Mikoa ambayo wananchi wake ndio wateja wakuu wa wachawi
1. Kilimanjaro inaongoza
2. Morogoro inafuatilia
3. Kagera
Wateja wengine wa wachawi
1. Wafanyabiashara
2. Wasanii
3. Kina mama wa nyumbani
4. Wanafunzi wa shule za sekondari hasa wa kidato cha pili.
...pale linapoishia Ziwa Tanganyika Kusini, kuna sehemu yaitwa kachala. Radi zinauzwa kuanzia Buku, Buku - jero
ukipata radi ya sh 5000/- jiangalie sana maangamizi yake. lakini sharti lake ukishabeba hiyo radi, limewashinda wengi sana. unaambiwa usikojoe popote mpaka utakapoitega hiyo radi njiani....Hata yule Golikipa wa timu ile pale..huwa anatembelea sana pale Ziwa Tanganyika...
Utamaduni wa mwafrika udumu!!
Mkuu, hiyo namba nne umesema wateja wakuu wa uchawi na wanafunzi wa Sekondari kidato cha pili wapo sasa kwanini wawe wao na sio wanafunzi wengine hasa wa vidato vingine wa vyuo vikuu? na hao wanafunzi wengi wa kidato cha pili ambao umesema ni wateja wakuu wa uchawi wao wanatokea mikoa ipi na sehemu gani?
Mkuhapa Kwawanafunzi Sio Kweli Umewapakazia Au Nawewe Ulishawahi Wakati Uko Kidato Chapili?Mi mwenyewe hata siamini kama wanafunzi wa kidato cha pili wanaweza kuwa wateja wakubwa wa uchawii...
Ha ha ha sasa radi la milioni moja litakuwaje c kama bomu la nyuklia.
Mikoa saba nchini Tanzania ndiyo tishio kwa kuwa na nguvu kubwa za uchawi
1. Tanga ndio kinara
2. Lindi unafuatilia
3. Dar es Salaam
4. Mtwara
5. Tabora
6. Kigoma
7. Mwanza
Mikoa yenye wachawi wengi, kwa maana kwamba karibu kila kaya kuna mchawi
1. Sumbawanga (Rukwa) ndio kinara
2. Ruvuma inafuatialia
3. Mbeya
4. Singida
Mikoa ambayo wananchi wake ndio wateja wakuu wa wachawi
1. Kilimanjaro inaongoza
2. Morogoro inafuatilia
3. Kagera
Wateja wengine wa wachawi
1. Wafanyabiashara
2. Wasanii
3. Kina mama wa nyumbani
4. Wanafunzi wa shule za sekondari hasa wa kidato cha pili.
Uchawi upo na wachawi wa kukata na shoka wapo, tofauti ni jinsi ya utendeji kazi, ulaya wanavaa suti, wanatumia ofisi zenye vitendea kazi vya kisasa, kama freemasons, Tanzania uchawi unafanyika kwenye mikeka ndani ya vibanda vya nyasi, tunaloga kila kitu, hadi mpapai.