MAMA POROJO
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 4,974
- 785
osama alikuja kigoma au mwalim alimfuata huko aliko
Ahahahaah! Mkuu ulikuwepo?Walikutana wakiwa wanafunzi kwenye chuo cha uchawi kilichopo Saudi Arabia, Mtanzania alianza kumfundisha jinsi ya kuruka kwa ungo kwa mwendo wa haraka, mazoezi yalikuwa yakianzia Saudia hadi Kigoma. Kwenye mkutano wa wachawi wa dunia uliofanyika kwenye lango la kuzimu la Mustallah Upanga mwaka 1999, Osama alihudhuria, wengine waliokuwepo ni Khomeini wa Iran, Ghadafi, Mfalme Abdullah, Yasser Arafat na viongozi wengi wa nchi za Kiarabu.
Ahahahaah! Mkuu ulikuwepo?
Ahahahaah! Mkuu ulikuwepo?
majimoto,kuna uhusiano gani kati ya uchawi+dini ya shetani?i mean freemason
Ni maamuzi/maazimio gani hayo?Hapana mkuu sikuwepo, lakini maamuzi ya kikao yalikuwa mabaya mno kwa baadhi ya Watanzania, kwa kudra za Mwenyenzi MUNGU maazimio yao yalisambaratishwa vibaya sana katika ulimwengu usioonekana.
Kama ungo ni usafiri wa fast,vp kuhusu kuruhusiwa u2mike dhahri?
Ni bara Gani duniani linaongoza kwa uchawi?
Nilisikia kuwa ulifanyika mkutano wa wachawi wote Dar mwishoni mwa mwaka jana hii ni kweli Ndg Majimoto? Kama ulipata taarifa.
Hii mada inatusaidia nini katika jamii???????
wwe majimoto unajua umeshapata wafuasi wa hii thredi humu JF.sasa uwe unaandika kila day,au tupe tu hiyo soource yako tufanye hiyo download ya pdf.