MAMA POROJO
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 4,974
- 785
osama alikuja kigoma au mwalim alimfuata huko aliko
Walikutana wakiwa wanafunzi kwenye chuo cha uchawi kilichopo Saudi Arabia, Mtanzania alianza kumfundisha jinsi ya kuruka kwa ungo kwa mwendo wa haraka, mazoezi yalikuwa yakianzia Saudia hadi Kigoma. Kwenye mkutano wa wachawi wa dunia uliofanyika kwenye lango la kuzimu la Mustallah Upanga mwaka 1999, Osama alihudhuria, wengine waliokuwepo ni Khomeini wa Iran, Ghadafi, Mfalme Abdullah, Yasser Arafat na viongozi wengi wa nchi za Kiarabu.