Biashara ya Uchawi Tanzania

Biashara ya Uchawi Tanzania

osama alikuja kigoma au mwalim alimfuata huko aliko

Walikutana wakiwa wanafunzi kwenye chuo cha uchawi kilichopo Saudi Arabia, Mtanzania alianza kumfundisha jinsi ya kuruka kwa ungo kwa mwendo wa haraka, mazoezi yalikuwa yakianzia Saudia hadi Kigoma. Kwenye mkutano wa wachawi wa dunia uliofanyika kwenye lango la kuzimu la Mustallah Upanga mwaka 1999, Osama alihudhuria, wengine waliokuwepo ni Khomeini wa Iran, Ghadafi, Mfalme Abdullah, Yasser Arafat na viongozi wengi wa nchi za Kiarabu.
 
Walikutana wakiwa wanafunzi kwenye chuo cha uchawi kilichopo Saudi Arabia, Mtanzania alianza kumfundisha jinsi ya kuruka kwa ungo kwa mwendo wa haraka, mazoezi yalikuwa yakianzia Saudia hadi Kigoma. Kwenye mkutano wa wachawi wa dunia uliofanyika kwenye lango la kuzimu la Mustallah Upanga mwaka 1999, Osama alihudhuria, wengine waliokuwepo ni Khomeini wa Iran, Ghadafi, Mfalme Abdullah, Yasser Arafat na viongozi wengi wa nchi za Kiarabu.
Ahahahaah! Mkuu ulikuwepo?
 
majimoto,kuna uhusiano gani kati ya uchawi+dini ya shetani?i mean freemason
 
Ahahahaah! Mkuu ulikuwepo?

Hapana mkuu sikuwepo, lakini maamuzi ya kikao yalikuwa mabaya mno kwa baadhi ya Watanzania, kwa kudra za Mwenyenzi MUNGU maazimio yao yalisambaratishwa vibaya sana katika ulimwengu usioonekana.
 
Hapana mkuu sikuwepo, lakini maamuzi ya kikao yalikuwa mabaya mno kwa baadhi ya Watanzania, kwa kudra za Mwenyenzi MUNGU maazimio yao yalisambaratishwa vibaya sana katika ulimwengu usioonekana.
Ni maamuzi/maazimio gani hayo?
 
Kama ungo ni usafiri wa fast,vp kuhusu kuruhusiwa u2mike dhahri?
 
Kama ungo ni usafiri wa fast,vp kuhusu kuruhusiwa u2mike dhahri?

Nadhani umeshawahi kusikia harufu nzuri ya plau wakati unatembea porini au mashambani sehemu ambayo hakuna nyumba yoyote karibu.

Je unajua harufu hiyo inatoka wapi?

Uchawi ni taaluma ya kudhuru watu, kupoteza mali za watu, kuuwa na kila aina ya ubaya, Kila mtu mchawi huwa amechanjiwa pepo la uchawi au amewekewa jini la uchawi ndani ya mwili wake. Ukishapewa jini la uchawi, unapewa mafunzo jinsi ya kutenda kazi za kudhuru watu, ukishahitimu ni lazima uapishwe na wanatumia maji ya zamzam yenye kuchanganywa na damu ya majini. Unakula Yamini kuwa hutakwenda kinyume na mafundisho ya uchawi uliyofundishwa, na hutatoa siri zako wala za wachawi wenzako, siri za utendaji kazi na vifaa vya kazi, endapo utakiuka mwiko huo, adhabu yako ni kifo.

Unapopita sehemu hiyo wanapoapishwa wachawi, au karibu na madhabahu za wachawi harufu nzuri ya plau husikika lakini huwezi kuona chochote kwa macho yako. Ujue hapo wanaapishwa wachawi.
 
Mkuu majimoto, mwaga vitu kwa kilefu halafu jitahidi kujibu maswali kwa ufasaha maadam umeamua kuelimisha basi toa darsa mkuu usibane, wengine tayari tuna addiction na hii thread tunataka kujua mengi tu. Haya uwanja ni wako....

Amani yetu inatumiwa vibaya.
 
Nilisikia kuwa ulifanyika mkutano wa wachawi wote Dar mwishoni mwa mwaka jana hii ni kweli Ndg Majimoto? Kama ulipata taarifa.
 
Ni bara Gani duniani linaongoza kwa uchawi?

Gamba la Nyoka,
1. Nchi za Mashariki ya Kati au mataifa ya Kiarabu ndiyo vinara wa uchawi, nchi ya Iran ikiwa ndiyo ngome kuu ya uchawi duniani.

2. Asia yote na Japan wanafuatia kwa karibu sana.
 
Nilisikia kuwa ulifanyika mkutano wa wachawi wote Dar mwishoni mwa mwaka jana hii ni kweli Ndg Majimoto? Kama ulipata taarifa.

Mikutano ya wachawi huwa inafanyika mara nyingi sana,ambayo hukutanisha wachawi wa bara la Afrika au vikao vya wachawi wa Afrika Mashariki, dalili mojawapo ya kuwepo kwa mkutano, au mashindano ya wachawi ni wingi wa ajali zinazotokea eneo la mkutano, kwani vikao vya wachawi kinywaji kinachotumika kwenye mikutano yao ni damu za watu.
 
majimoto,nimeshawai kusikia harufu za pilau au mihogo ya kuchemsha,aidha mton au porini,mara nyng mida ya jioni jioni (magharibi),lakini ckua nanasibisha na hcho ulichokizungumza hapo juu!
 
wwe majimoto unajua umeshapata wafuasi wa hii thredi humu JF.sasa uwe unaandika kila day,au tupe tu hiyo soource yako tufanye hiyo download ya pdf.
 
wwe majimoto unajua umeshapata wafuasi wa hii thredi humu JF.sasa uwe unaandika kila day,au tupe tu hiyo soource yako tufanye hiyo download ya pdf.

NM,ni kweli my self nikija hapa lazma niitafute hii thread!,my self sitak pdf nataka amwage mzgo hapahapa mdogomdogo!
majmoto,endelea na seriez!
 
Back
Top Bottom