Biashara ya Uchawi Tanzania

Biashara ya Uchawi Tanzania

Dada kabla ya Majimoto kuja na jibu lake, kuna baadhi ya hospitali hasa za binafsi zimegeuza akina mama wanaotaka kujifungua kuwa mtaji kwani wakimfanyia upasuaji analipa pesa zaidi. Dar kuna hospitali moja kubwa iko maeneo ya Mikocheni ina huo mtindo.

kweli bwana hata kinondonii,nearly manyanya na B
 
Nami naomba unipm jinsi ya kukata kamba za kuzimu.Ahsante.

Mwamini BWANA YESU nawe utaokoka na kuwekwa huru na kamba za kuzimu. Utafanyika kuwa kiumbe kipya ya kale yatapita yatakuwa mapya (2 Wakorintho 5:17). Ondoa mawazo mabaya moyoni mwako, mkaribishe YESU aingie atawale maisha yako. Anza kwa kubadili hiyo avatar yako maana inaonyesha kuna roho ya uasherati imekukalia ambayo ni wakala wa shetani. YESU anasema:

"Mimi na Baba tu umoja" (Yohana 10:30), "Aliyeniona mimi amemwona Baba" (Yohana 14:9) na, "Mimi ndimi njia, na ukweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi." (Yohana 14:6).

Kwa maelezo zaidi ya namna ya kumpokea YESU maishani mwako gonga HAPA
 
majimoto

hebu tuambie msimamo wako

je waislam wachawi?

vipi kuhusu ule mbuyu pale kenyatta drive?
 
majimoto

hebu tuambie msimamo wako

je waislam wachawi?

vipi kuhusu ule mbuyu pale kenyatta drive?

Siyo wote ila wengi wao ni wachawi sana tena wanatumia majini a.k.a mapepo a.k.a mashetani
 
"without research no right to speak"...........umefanya utafiti mzee?.mbona hutupi hadidu za rejea?
 
majimoto

hebu tuambie msimamo wako

je waislam wachawi?

vipi kuhusu ule mbuyu pale kenyatta drive?
MKUU! Hv unauliza Waislamu ni wachawi wakati ndiyo wanagawa A to Z ama hauna habari hiyo? Habarika Mkuu. Mi nataka kujua juu ya huo mnara wa Kenyatta,Je? Ina nini? Jibu kw anayejua kwa undani kidogo WanaJF.
 
Maji YA Moto Kaenda likizo nini,mbona kapotea na hii thread yake, maji moto weka moto Bana!!
 
Majimoto wamekuchukua nini? Mbona kimya sana!
 
Majimoto, vibaya hivyo bana, watu wanasinzia huku! wapi hadithi-hadithi... njoo utamu kolea.
maswali ni mengi kuliko majibu, na mwenye majibu ni wewe tu. HIMA jitokeze!!!

Amani yetu inatumiwa vibaya.
 
Watanzania pumbafu sana. Unaenda kwa mchawi anakuambia upeleke mashuka mapya, mbuzi mweusi, halafu ukakoge mavi ya kuku! Pumbafu anafuatilia amri mara moja! Mwanamke akiammbiwa panua miguu ili dawa itiwe anapanua bila wasiwasi! Tutaendelea lini jamani? :A S-baby:
 
umeyajuaje haya



Ndevu mbili,
Siyo kweli kabisa kuwa kila mafanikio ya mtu husababishwa na uchawi, mafanikio ya mtu ni bidii yake mwenyewe, jinsi anavyojituma na kumtegemea Mwenyenzi Mungu. Hakuna tatizo lolote kuhusiana na mafanikio ya mtu.

Isipokuwa yapo mafanikio ya watu yenye utata, ambayo yanaambata na nguvu za shetani. Mkoa wa Lindi ambao ndio wa pili wenye wachawi wakubwa nchini, ukienda kwa hawa jamaa wanaojiita wataalamu, ni lazima utembee kwa miguu kwa siku tatu ndipo ufike walipo. Wao wanagawa utajiri, lakini masharti yao ni lazima uwape mke, mtoto au mzazi wako, au utakuta ndani ya familia hiyo kuna mtoto ambaye ni zezeta au taahira, na watoto wa namna hii ukiondoa nguvu ya uchawi uliwekwa ndani yao wanapona na wanakuwa sawasawa kabisa, kama watoto wengine.(Wapo watoto wanazaliwa na utaahira na wapo wanao pewa utaahira wa kupata mali unaosababishwa na wazazi au walezi wao hawa wa kundi la pili ndio ninawazungumzia)

Sasa hivi kidogo wamelegeza masharti, wao watakupa mali nyingi sana kwa mkataba wa miaka mitatu au mitano, muda huo ukifika ni lazima, ni lazima tu utakufa, warithi wa mali zako zenye mikataba ya kifo, nao wakimaliza miaka hiyo nao wanakufa.
 
Majimoto Osama keshauawa toka hadharani mkuu. Tumekosa elimu isiyoonekana.
 
Wachawi huwa wanajigeuza maumbo ya miili yao wanapofanya ulozi nyumbani kwa watu. Wapo wanaojigeuza maumbo yao na kuvaa maumbo ya mbu, mijusi, nyoka, panya, paka, chura n.k.

Wachawi wengi hupendelea sana kuvaa maumbo ya paka, ndiyo maana unaweza kusikia paka analia nje ya dirisha lako usiku, lakini unapotoka humuoni huyo paka, au unasikia paka analia ndani ya nyumba lakini unapomtafuta humuoni. Wapo paka waliozoeleka kuingia nyumbani kwa watu, wenye nyumba wakifikiri ni paka mnyama, kumbe siyo.

Ipo sababu moja kubwa inayofanya wachawi wengi wa nchi kupendela sana kuvaa maumbo ya paka. Paka ana tabia ya pekee kabisa anapolala usingizi, paka kwa muda wa masaa 24, hulala masaa 13 bila kupungua wala kuzidisha, na masaa 11 huwa yuko macho bila usingizi. Kulala kwake ni dakika 3 kisha huamka, analala tena dakika 4 au 5 na kuamka hadi anafikisha masaa 13 kamili ya usingizi kwa siku.

Tabia hii ya paka ndiyo inawafanya wachawi wengi kupenda sana kuvaa umbo lake, kwani muda wa kulala ni mfupi mfupi kiasi kwamba, mchawi anaona matukio yote yanayotendeka eneo alilokusudia kuwanga.
 
Star TV wadau.......mambo aliyoandika Majimoto yanasimuliwa LIVE!!!
 
:dance::A S-rose: maji moto umerudi,hii ya paka its so common in witchcraft shape shifting.
 
Back
Top Bottom