Ilonga Msalabani
Senior Member
- Nov 23, 2012
- 111
- 36
Acha kumzushia Mwalimu vitu vya uongo wewe unahakika na unachoandika?
Huamini kaa hivyo hivyo. Uongo, unaujua wewe... Ningetegemea uanze kwa kuuliza kuuutafuta ukweli. Unaanza na kupinga, kaa hivyo hivyo...