Biashara ya Uchawi Tanzania

Biashara ya Uchawi Tanzania

Ofcourse these are not scientific ideas. People have options either take note and and find out for yourselves or leave it...

Watu wa mambo ya FAITHs whether ni religious or witches wote ni wale wale! I have choosen to remain in science where I believe what can be proved in one way or another! Haya mambo ya Imani haya kwa vile ni ya kufikirika sana kunawatu wanatupiga bao sana! Kuna uongo mwingi sana umeshapandikizwa hapa duniani kupitia hizi Imani za kichawi na za kidini! Mimi ninamacho yangu na senses zangu sitategemea masikio peke yake bila kushirikisha senses zingine kukubali kuwa hili lipo au halipo! Napita tu hapa niliona thread nikasema nichungulie. Byeeee
 
Watu wa mambo ya FAITHs whether ni religious or witches wote ni wale wale! I have choosen to remain in science where I believe what can be proved in one way or another! Haya mambo ya Imani haya kwa vile ni ya kufikirika sana kunawatu wanatupiga bao sana! Kuna uongo mwingi sana umeshapandikizwa hapa duniani kupitia hizi Imani za kichawi na za kidini! Mimi ninamacho yangu na senses zangu sitategemea masikio peke yake bila kushirikisha senses zingine kukubali kuwa hili lipo au halipo! Napita tu hapa niliona thread nikasema nichungulie. Byeeee

Safi,
lakini pia ni vema kufanya spiritual research, find if God truly lives, go through the scriptures of the bible and apply them in your life and see what happens. Ask God to guide you, i believe you will have fantastic answers. I once used to have the same mind set as i advanced my level of education and understanding, but finally i came to realize that God is real and truly lives and that he is God of wonders by grace of the Lord Jesus. Presence of witch craft and witch doctor bangos in town gives a clue on what is going on behind the scenes in our towns. Use the Bible, songs praise and worship God and pray tell him that you have doubts about his presence let him reveal himself to you use Jeremiah 33:3. He will surely come. Otherwise you will never know what you should have known before that day when Jesus comes again. Thanks and be Blessed.
 
Tungeshukuru kama ungetuandikia list ya mikoa yenye maendeleo pia, na sio maswala ya imani za uchawi tu...
 
uchawi upo dunia kama huamini nenda kibaha maili moja kafungue biashara yoyote pale kama utafanikiwa kwani kuna kabila linaitwa wagweno balaa,kibaha nzima wanafanya biashara wao ukienda mtu mwingine hufanyi biashara


Hiyo inahusu saaaaaaaana!, yaan hapa nlpo kushnei mshahara wangu wote umekwisha hakuna nilichokifanya duuuuuh! Hawa wagwenoooooooooooooooooooo noooooooooooooooooooomaaaaaaaah!!:dizzy:
 



kumbe nyerere ndio alikuwa chanzo cha haya yote ...

Mimi bado sioni ukwelli. ktk haya mnayosema after all sioni Shida ya uchawii ukiwekewa muongozo. angalia dini,kabila. bila muongozo ni tatizooo
 
Watu wa mambo ya FAITHs whether ni religious or witches wote ni wale wale! I have choosen to remain in science where I believe what can be proved in one way or another! Haya mambo ya Imani haya kwa vile ni ya kufikirika sana kunawatu wanatupiga bao sana! Kuna uongo mwingi sana umeshapandikizwa hapa duniani kupitia hizi Imani za kichawi na za kidini! Mimi ninamacho yangu na senses zangu sitategemea masikio peke yake bila kushirikisha senses zingine kukubali kuwa hili lipo au halipo! Napita tu hapa niliona thread nikasema nichungulie. Byeeee

Mkuu are you an Atheist?
 
Mkuu are you an Atheist?

Sina uhakika kama kwa msimamo wangu wa kutegemea ubongo wangu zaidi nimeshajikuta defined as Atheist ila ninachojitenga nacho ni kule kudanganywa, kwa akili yangu ya utambuzi nauona uwongo ni mwingi sana na umepandikizwa kwenye vichwa vya watu toka utotoni. Siwezi kukanusha kuwa yale ambayo sijayathibitisha kuwa hayapo ni kweli hayapo, la hasha, bali kuna mengi nimeshayathibitisha kuwa haya hayapo na bado watu wanaendelea kupigabao wengine waamini kuwa yapo. Kuna watu wana akili na wajanja sana wanatumia akili zao kuwapofusha wenzao waamini uwepo wa yasiyokuwepo kisha wakishawaingiza kingi ndiyo wanawachuna kiaina. Tunayakumbuka ya Kinjekitile na ya Kibwetere....... watu wengi sana waliangamia, be careful guys !!
 
Sasa hivi zipo shule kabisa za kufundisha uchawi nchini Tanzania, Shule moja ipo Temeke masomo yake huchukua miaka saba hadi unahitimu.

Ukimaliza Temeke, unaweza kujiunga na elimu ya juu katika fani ya uchawi, chuo kipo Tanga hapo wanatoa digrii ya kwanza ya uchawi kwa miaka mitano.


Wanatoa pia digrii ya pili ya elimu ya ulozi ambapo utakaa darasani kwa miaka mingine mitano.

Master digrii ya ulozi, bado hapa nchini hakuna chuo, inapidi uende Mombasa nchini Kenya ndipo kilipo chuo kikuu cha elimu ya ulozi.

Mie nilipata zero hapo temeke nikafoji cheti nikajitupa tanga kwa maji marefu namalizia kadigirii kangu ,nikitoka huko mtanikoma!
 
Wale waliosoma kitabu cha dangerous prayers watudadavulie humu ni kitu gani wameona baada ya kusoma maana wengine hatujakipata tusome
 
Back
Top Bottom