Biashara ya Uchawi Tanzania

Biashara ya Uchawi Tanzania

Mchawi na mganga kazi yao ni moja na wote wanamtumikia shetani anachofanya mchawi ni kuja kukuloga akishakuloga inategemea na imani yako iko vp kama wewe ni mshirikini utakimbilia kwa mganga na yule mganga anakuwa na pepo la utambuzi hivyo ukifika anakuambia shida yako akishakueleza mkikubaliana anakupa masharti njoo na mbuzi au kuku ukishapeleka kuku anachinjwa na yale mapepo au majini yaliyotumwa kwa njia ya kichawi kukuletea ugonjwa yanatulia kwa muda kwasababu yamepewa sadaka ya damu ya mnyama uliempeleka na wewe unakuwa umeunganika kwenye mtandao wa nguvu za giza hivyo wakikuhitaji muda wowote wanakupata kwasababu umeingia kwenye agano ambalo ulilifanya kwa kumwaga damu kumbuka pasipo damu hakuna agano, kwa hiyo mganga na mchawi wanafanya kazi kwa kushirikiana na baba yao ibilisi na mwisho wao ni kutupwa katika ziwa la moto
nimejaribu kuuelezea kwa ufupi
jamani naomba kujuzwa,tofauti kati ya mchawi na mganga! Mganga anaweza kuwa mchawi?
 
Uchawi wake haumpi uhakika kwamba kila atakalolifanya litafanikiwa kuna sehemu nyingine anakutana na kisiki wapo wengine vilevile ambao ni waaminifu kwa Mungu wao nguvu za giza mbele ya Ufalme wa Mungu ni takataka tu
Mkuu lakini mbona huwa anafungwa? anafungwaje kama huwa ana majini ya kumlinda? Na juzi tu tumefungwa 2?
 
duuu!!!!!! kuna mpk vyuo wajameni? nilijua ni story tu za kamboshi:A S-fire1:
 
Sasa hivi zipo shule kabisa za kufundisha uchawi nchini Tanzania, Shule moja ipo Temeke masomo yake huchukua miaka saba hadi unahitimu.

Ukimaliza Temeke, unaweza kujiunga na elimu ya juu katika fani ya uchawi, chuo kipo Tanga hapo wanatoa digrii ya kwanza ya uchawi kwa miaka mitano.

Wanatoa pia digrii ya pili ya elimu ya ulozi ambapo utakaa darasani kwa miaka mingine mitano.

Master digrii ya ulozi, bado hapa nchini hakuna chuo, inapidi uende Mombasa nchini Kenya ndipo kilipo chuo kikuu cha elimu ya ulozi.

mmmmmh, kweli hii kali
 
sasa baada ya hapo wataalamu huwa wanapata faida ipi na wanalisaidia vipi taifa kwa hiyo elimu walioysoma. nataka kujua hapo mkuu.?
 
hii ID ya majimoto mbona cielwi mara naona "mama porojo" ndo anaandika hoja mara naona majimoto anajibu hoja liyoletwa na mama porojo...au macho yangu wadau?!
 
Hahahahaha,mungu weeeeee kidato cha pili?????kwann kidato cha pili??????
 
Acheni masihara, gusa madereva gov, wakienda likizo gari agusi mtu, mhh na Musoma vijijini kewtu huku mhh ni noumer

Madereva ni balaa,wanaongoza kwa,kupigana juju.kisa per diems
 
hii ID ya majimoto mbona cielwi mara naona "mama porojo" ndo anaandika hoja mara naona majimoto anajibu hoja liyoletwa na mama porojo...au macho yangu wadau?!
Atakuwa alibadili jina kutoka majimoto na kuwa mama porojo.
 
Hii ni kwa mujibu wa nini?
Mikoa saba nchini Tanzania ndiyo tishio kwa kuwa na nguvu kubwa za uchawi
1. Tanga ndio kinara
2. Lindi unafuatilia
3. Dar es Salaam
4. Mtwara
5. Tabora
6. Kigoma
7. Mwanza

Mikoa yenye wachawi wengi, kwa maana kwamba karibu kila kaya kuna mchawi
1. Sumbawanga (Rukwa) ndio kinara
2. Ruvuma inafuatialia
3. Mbeya
4. Singida

Mikoa ambayo wananchi wake ndio wateja wakuu wa wachawi
1. Kilimanjaro inaongoza
2. Morogoro inafuatilia
3. Kagera

Wateja wengine wa wachawi
1. Wafanyabiashara
2. Wasanii
3. Kina mama wa nyumbani
4. Wanafunzi wa shule za sekondari hasa wa kidato cha pili.
 
mikoa saba nchini tanzania ndiyo tishio kwa kuwa na nguvu kubwa za uchawi
1. Tanga ndio kinara
2. Lindi unafuatilia
3. Dar es salaam
4. Mtwara
5. Tabora
6. Kigoma
7. Mwanza

mikoa yenye wachawi wengi, kwa maana kwamba karibu kila kaya kuna mchawi
1. Sumbawanga (rukwa) ndio kinara
2. Ruvuma inafuatialia
3. Mbeya
4. Singida

mikoa ambayo wananchi wake ndio wateja wakuu wa wachawi
1. Kilimanjaro inaongoza
2. Morogoro inafuatilia
3. Kagera

wateja wengine wa wachawi
1. Wafanyabiashara
2. Wasanii
3. Kina mama wa nyumbani
4. Wanafunzi wa shule za sekondari hasa wa kidato cha pili.
utafiti huu alifanya nani?
 
All Witchcraft Is Satanic!
Witchcraft is Evil... Witchcraft is of the Devil
"... the sin of witchcraft..." -1st Samuel 15:23
"Ye that love the LORD, hate evil..." -Psalm 97:10
 
There Is Hope In Jesus Christ
Acts 26:18, "To open their eyes, and to turn them from darkness to light, and from the power of Satan unto God, that they may receive forgiveness of sins, and inheritance among them which are sanctified by faith that is in me." Let me ask you a question... are you saved?

"...behold, now is the accepted time; behold, now is the day of salvation." -2nd Corinthians 6:2
Do you acknowledge that you are a sinner, guilty, under the condemnation of God's law (Romans 3:19)? As sinful humans, we need a divine Redeemer, Jesus Christ. We are too sinful to save ourselves, and we have no self-righteousness to offer God (Isaiah 64:6). God sent His only begotten Son into the world to pay our sin debt (John 3:16). Jesus Christ paid the price for our sins at Calvary by shedding His precious physical blood (1st Peter 1:18,19). You can be saved right now by simply believing upon Jesus, the Christ, God's Son, to forgive your sins (Acts 10:43). Amen!
 
There Is Hope In Jesus Christ
Acts 26:18, "To open their eyes, and to turn them from darkness to light, and from the power of Satan unto God, that they may receive forgiveness of sins, and inheritance among them which are sanctified by faith that is in me." Let me ask you a question... are you saved?

"...behold, now is the accepted time; behold, now is the day of salvation." -2nd Corinthians 6:2
Do you acknowledge that you are a sinner, guilty, under the condemnation of God's law (Romans 3:19)? As sinful humans, we need a divine Redeemer, Jesus Christ. We are too sinful to save ourselves, and we have no self-righteousness to offer God (Isaiah 64:6). God sent His only begotten Son into the world to pay our sin debt (John 3:16). Jesus Christ paid the price for our sins at Calvary by shedding His precious physical blood (1st Peter 1:18,19). You can be saved right now by simply believing upon Jesus, the Christ, God's Son, to forgive your sins (Acts 10:43). Amen!

Barikiwa sana man of GOD
 
Maisha magumu ndio yanawapelekea hasa wafanya biashara kujiingiza kutumia dawa za kishirikina kuongeza pato na wateja.
 
Maisha magumu ndio yanawapelekea hasa wafanya biashara kujiingiza kutumia dawa za kishirikina kuongeza pato na wateja.

maisha magumu?? kivipi??

mbona sioni uhusiano wa ugumu wa maisha unanvyo link na biashara?

mkuu labda utuambie tu ni ukosefu wa elimu hasa ya biashara ndio huwafanya wafanyabiashara kuingiza ndumba katika business!!

hebu toa mfano kwa watu kama bill gates, reginald mengi, said bakhresa, dangote, mike sonko na eto'o. je hawa wanatumia ushirikina??

je unaweza kunipa listi ya wafanyabiashara Tanzania waliofanikiwa sana sababu ya ushirikina?
 
nilivyomwona thru prayers, siyo mwanachama wa illuminat-freemasons wala devil worshipper. bali kipa huyu maarufu wa kilabu kikubwa tu nchini,yeye ni devil Disciple. anapokuwa langoni yaani golini, anayasambaza mapepo [vishetani vidigo] zaidi ya ,MIA MOJA ndani ya penati-box. ili kuwachanganya timu pinzani. ingawa amepewa masharti magumu sana na wakala wa CHINI YA MAJI, anajitahidi kwa bidii zake zote kuyatimiza [sipendi kuyataja masharti hayo.-yana kinyaa sana] LAKINI kila anapojiunga na timu yoyote ni lazima yale Madudu aliyobebeshwa yamshambulie sana Golikipa atakayemkuta mpaka akimbie sasa nimesikia anataka kwenda azam fc. watahadharisheni sana, wasije umia

NB; zile software za Dangeruos prayers tayari kwa 3000. nitakujulisha namna ya kupata ili ujisimamie wewe mwenyewe kataka kusambaratisha makafara, mazindiko, maajini na kazia za Lusifa kwa jina la YESU
Mkuu Mimi nazihitaji hiyo software za dangerous prayers nipo dar kwa sasa nitazipataje Kabla ya tarehe 28 mwezi huu?
 
Back
Top Bottom