Biashara ya ukahaba ni kaa la moto Dar

Biashara ya ukahaba ni kaa la moto Dar

Naandika haya huku nikiwa najuta hata kwanini nimeyajua na kuyashiriki, bora ningeendelea kukaa zangu kimya na ushamba wangu wa kutokujua lolote kuhusu yanayoendelea mjini humu!

Baada ya kusikia saaana, humu jukwaani jf na maeneo mengine, kuhusu habari za makahaba nikaona (ushetani!!) ngoja nikajionee mwenyewe mara nilipofika hapa dar juzi. Nimeishi dar miaka kadhaa huko nyuma lkn sikuwa na habari kabisa za kuchunguza haya mambo zaidi ya kuyasikia na kuyasoma tu magazetini. Nimefikia buguruni na kwa haya niliyoyaona sehemu yake moja tu yanatosha hata sitaki kuendelea kuangalia maeneo mengine kwani km naambiwa hapa cha mtoto hayo maeneo mengine hali ipoje?!! Aisee, kuna yafuatayo yanaendelea;

1. Kuna kupima oil. Hapa unatoa mia mbili au tano unampatia mdada nae anakuruhusu kuingiza kidole ukeni ili ujionee km kavu ya kukufaa au la. Ukiridhika na hali yake basi mtaendelea na hatua nyingine ya kupangiana bei n.k. Kuna watu wachafu bwana, acha kabisa!

2. Wadada wanajifutia tu kwny mapazia ya dirishani na sijui km yanafuliwa. Unaingia na mdada, mkishamaliza huyo analishika pazia la dirisha na kujifutia. Baadae tena unamuona mwingine anafanya hivyo hivyo. Kesho yake tena unamuona mwingine anafanya hivyohivyo. Unapata jibu kumbe ndo maisha yalivyo ya kinyaa na hatari kwenye danguro hili lililopo hapa sokoni yanaposimama/pita magari ya m/moja, k/koo n.k. Hakika utafiti nao una hatari yake, kuna wakati inabidi uwe muhusika.

3. Mtoto mdogo (wa km darasa la nne hv) kuhusishwa na upokeaji wa hela mlangoni. Nimelishuhudia hili ktk moja ya zile bar pacha hapo nilipopasema. Watu wamepatana wanataka kuingia, jamaa liko chooni nashangaa anaita jina fulani na mara dogo anatokea (alikuwa hapo bar kumbe kwny pool table). Kauzu, asiyeonyesha mshangao wala fadhaa yoyote ile kumaanisha kwmb ameshazoea sana tu habari hizi. Katik a kupima jambo nikamuuliza, 'bei gani' nae akajibu bila kusita kuwa ni 2,500/=. Duu, dogo anajua kinachoendelea maana kulala siyo bei hiyo! Watu hawaogopi hata polisi maana kituo kipo karibu tu na hapo.

Basi imetosha, kama jibu la namna gani dunia imeharibika nimeshalipata.
Nimehisi kinyaa hadi mate yamejaa mdomoni.
 
Naandika haya huku nikiwa najuta hata kwanini nimeyajua na kuyashiriki, bora ningeendelea kukaa zangu kimya na ushamba wangu wa kutokujua lolote kuhusu yanayoendelea mjini humu!

Baada ya kusikia saaana, humu jukwaani jf na maeneo mengine, kuhusu habari za makahaba nikaona (ushetani!!) ngoja nikajionee mwenyewe mara nilipofika hapa dar juzi. Nimeishi dar miaka kadhaa huko nyuma lkn sikuwa na habari kabisa za kuchunguza haya mambo zaidi ya kuyasikia na kuyasoma tu magazetini. Nimefikia buguruni na kwa haya niliyoyaona sehemu yake moja tu yanatosha hata sitaki kuendelea kuangalia maeneo mengine kwani km naambiwa hapa cha mtoto hayo maeneo mengine hali ipoje?!! Aisee, kuna yafuatayo yanaendelea;

1. Kuna kupima oil. Hapa unatoa mia mbili au tano unampatia mdada nae anakuruhusu kuingiza kidole ukeni ili ujionee km kavu ya kukufaa au la. Ukiridhika na hali yake basi mtaendelea na hatua nyingine ya kupangiana bei n.k. Kuna watu wachafu bwana, acha kabisa!

2. Wadada wanajifutia tu kwny mapazia ya dirishani na sijui km yanafuliwa. Unaingia na mdada, mkishamaliza huyo analishika pazia la dirisha na kujifutia. Baadae tena unamuona mwingine anafanya hivyo hivyo. Kesho yake tena unamuona mwingine anafanya hivyohivyo. Unapata jibu kumbe ndo maisha yalivyo ya kinyaa na hatari kwenye danguro hili lililopo hapa sokoni yanaposimama/pita magari ya m/moja, k/koo n.k. Hakika utafiti nao una hatari yake, kuna wakati inabidi uwe muhusika.

3. Mtoto mdogo (wa km darasa la nne hv) kuhusishwa na upokeaji wa hela mlangoni. Nimelishuhudia hili ktk moja ya zile bar pacha hapo nilipopasema. Watu wamepatana wanataka kuingia, jamaa liko chooni nashangaa anaita jina fulani na mara dogo anatokea (alikuwa hapo bar kumbe kwny pool table). Kauzu, asiyeonyesha mshangao wala fadhaa yoyote ile kumaanisha kwmb ameshazoea sana tu habari hizi. Katik a kupima jambo nikamuuliza, 'bei gani' nae akajibu bila kusita kuwa ni 2,500/=. Duu, dogo anajua kinachoendelea maana kulala siyo bei hiyo! Watu hawaogopi hata polisi maana kituo kipo karibu tu na hapo.

Basi imetosha, kama jibu la namna gani dunia imeharibika nimeshalipata.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Rudi kijijini ukalime km unaona hayo maajabuwenzio wanapelekeana mpalange hapo ndani live kwa 500 tu,mlinzi anakula chabo.
Na demu akikuelewa anakwambia kabisa ngoja nipigwe na wawili twende home tukalale.
Akikuona unazingua wale maafande pale utaona washafika unaenda kulala nao.
Kulikua na monika pale ma mdogo wake wasukusu hawa,walikua wameumbika vibaya mno.ila sura za baba zao
Na wanauza bila utani,Monica siku tumeenda kwake nikachoka ,yuko vizuri tu ila ndo muuza papuchi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu nliwahi fika hapo buguruni na tandika. Nikiri tu bugurun ni top in Dar na hat mwananyamala, mqnzese mwenge na sinza hapafikii ( nlkutanag na mbusus moja Moto balaa). Hao wa buguruni usiku kucha f 15 tu ujue hakuna Kaz humo mashuka yananuka jasho na Kuna kiuaruf flan hiv mzee acha. Nliwahi kuresearch humo na biashar hiyo ikikoma ujue ubakaji utaongezeka "waafunzi mpk w chuo na wanajeshi" hawakauki humo.
 
Mkuu nliwahi fika hapo buguruni na tandika. Nikiri tu bugurun ni top in Dar na hat mwananyamala, mqnzese mwenge na sinza hapafikii ( nlkutanag na mbusus moja Moto balaa). Hao wa buguruni usiku kucha f 15 tu ujue hakuna Kaz humo mashuka yananuka jasho na Kuna kiuaruf flan hiv mzee acha. Nliwahi kuresearch humo na biashar hiyo ikikoma ujue ubakaji utaongezeka "waafunzi mpk w chuo na wanajeshi" hawakauki humo.
Eh mkuu embu nipe direction nifike na mm Niko na dodoso langu nataka niwapelekee madada poa wajaze
 
Panda gari za makumbusho. Ukifika mwananyamala "komakoma" kwa wachonga majeneza shuka. Ulizia tu au njoo "five N" mkabala n mlimani city hapa saa 4 usiku wapo
 
MKUU MI JUZI NIMESHUHUDIA KIGOMA KINAPITA MCHANA KWEUPE KUNA DADA AKAVUA NGUO AKANYANYUA MIGUU JUU WAKAMJAZA MAZIWA KWENYE PAPUCHI KISHA MTU ANAEPENDA ANAKWEND KUYANYONYA MAZIWA YALE
Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni!!!
 
MKUU MI JUZI NIMESHUHUDIA KIGOMA KINAPITA MCHANA KWEUPE KUNA DADA AKAVUA NGUO AKANYANYUA MIGUU JUU WAKAMJAZA MAZIWA KWENYE PAPUCHI KISHA MTU ANAEPENDA ANAKWEND KUYANYONYA MAZIWA YALE
Kuna mabaharia hapo wanaweza kupanga foleni kunywa hayo maziwa..
 
Natarajia kutoka mkoani kuja dar lazima nitapitia Zambezi kula bia, Mimi kiukweli Kama ninavyopenda kutazama Hawa watu ,nitakuja kuangalia huwa nafurahia kuwatazama sana umenikumbusha kitambo sana ,Ila Ni Kama mnatangaza biashara hivi,mjue kuwa Kuna watu tupo smart
 
Umenielimisha. Kumbe Riverside nako Kuna utamu?
Na hapo Tiptop ndio pazuri zaidi kumbe hakuna Cha gesti Wala Nini.
Mkuu hukuweka Bei elekezi hapo Tiptop.
 
Back
Top Bottom