Biashara ya ukopeshaji pesa kwa riba

Biashara ya ukopeshaji pesa kwa riba

mtega255

Senior Member
Joined
Mar 3, 2019
Posts
131
Reaction score
75
Habari wana Jamiiforums

Kwa mtu ambaye anafanya biashara ya kukopesha pesa kwa riba tunaomba atupe ikoje na hasara zake zikoje na jinsi ya kutatua izo changamoto.

Natanguliza shukrani.. Maana nimevutiwa sana natamani niifanye

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mother wangu anafanya hiyo biashara mfano anakukopesha laki moja unalipa laki na 50 kwa mwezi na anamikataba unaandik piah saini ya mjumbe wako dhaman ya kitu , hasara zipo kuna wengin wanadhurum kutokulip kwa wakat sometimes kesi zinaendag hadi mahakamn
 
ila kama nshaanza kupata wogaa ii ishuu iii
Mother wangu anafanya hiyo biashara mfano anakukopesha laki moja unalipa laki na 50 kwa mwezi na anamikataba unaandik piah saini ya mjumbe wako dhaman ya kitu , hasara zipo kuna wengin wanadhurum kutokulip kwa wakat sometimes kesi zinaendag hadi mahakamn

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom