mtega255
Senior Member
- Mar 3, 2019
- 131
- 75
Habari wana Jamiiforums
Kwa mtu ambaye anafanya biashara ya kukopesha pesa kwa riba tunaomba atupe ikoje na hasara zake zikoje na jinsi ya kutatua izo changamoto.
Natanguliza shukrani.. Maana nimevutiwa sana natamani niifanye
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mtu ambaye anafanya biashara ya kukopesha pesa kwa riba tunaomba atupe ikoje na hasara zake zikoje na jinsi ya kutatua izo changamoto.
Natanguliza shukrani.. Maana nimevutiwa sana natamani niifanye
Sent using Jamii Forums mobile app