Biashara ya Uokaji (Bakery): Mbinu, Ushauri na Changamoto Zake

Biashara ya Uokaji (Bakery): Mbinu, Ushauri na Changamoto Zake

Kuhusiana na Mtaji inategemeana unataka kutengeneza bidhaa gani na kwa kiwango gani kwa siku etc. Mfano kwa minimum hata 3 mill unaweza anaza kwa keki ndogo. Kwa kununua mixeer ya kg 5 kwa laki 9, Oven single deki ya 1.5 then laki sita ikawani pans na ingredients.

Vifaa vinavyohitajika kwa mradi wa bakery yaani unatengeneza wa keki, mikate, biscuits etc ni kama ifuatavyo commercial Oven, mixer mashine, slicer, improver, kabati, Pan/ filling, nozzels and mashine, decorations accesories, neckbag na vingine vidogo vidogo.

Maduka ya vifaa nayafahamu baadhi yako ambayo ni ya vifaa bei rahisi na mengine juu kidogo:

1. Maduka ya vifaa expensive ila vifaa vyao vina ubora wa hali ya juu. Duka la kwanza liko mtaa wa samora avenue inatazamana na PPF house, duka la pili liko posta mkabala na wizara ya sayansi na taknolojia na duka la tatu liko tazara veterani pale Penye petrol station. Haya. maduka vifaa vyao vinatoka UK, Turkey na baadhi ya nchi za Ulaya.

2. Vifaa vya at least bei rahisi ni kutoka China maduka ni moja liko Kariakoo mtaa wa agreey ukimaliza Bakhresa mbele kuja jengo lina hospitali. Pili ni maduka mawili yanatazamana na kituo cha mafuta Bigborn.

Nakaribisha uwanja wa maswali kwa jambo lolote kuhusiana na bakery.
 
Kuhusiana na Mtaji inategemeana unataka kutengeneza bidhaa gani na kwa kiwango gani kwa siku etc. Mfano kwa minimum hata 3 mill unaweza anaza kwa keki ndogo. Kwa kununua mixeer ya kg 5 kwa laki 9, Oven single deki ya 1.5 then laki sita ikawani pans na ingredients.

Vifaa vinavyohitajika kwa mradi wa bakery yaani unatengeneza wa keki, mikate, biscuits etc ni kama ifuatavyo commercial Oven, mixer mashine, slicer, improver, kabati, Pan/ filling, nozzels and mashine, decorations accesories, neckbag na vingine vidogo vidogo.

Maduka ya vifaa nayafahamu baadhi yako ambayo ni ya vifaa bei rahisi na mengine juu kidogo:

1. Maduka ya vifaa expensive ila vifaa vyao vina ubora wa hali ya juu. Duka la kwanza liko mtaa wa samora avenue inatazamana na PPF house, duka la pili liko posta mkabala na wizara ya sayansi na taknolojia na duka la tatu liko tazara veterani pale Penye petrol station. Haya. maduka vifaa vyao vinatoka UK, Turkey na baadhi ya nchi za Ulaya.

2. Vifaa vya at least bei rahisi ni kutoka China maduka ni moja liko Kariakoo mtaa wa agreey ukimaliza Bakhresa mbele kuja jengo lina hospitali. Pili ni maduka mawili yanatazamana na kituo cha mafuta Bigborn.

Nakaribisha uwanja wa maswali kwa jambo lolote kuhusiana na bakery.

Asante mkuu,angalau umetoa njia.
Sie wengine tupo Mbali, je una Idea ya Bei?
Achilia mbali na hivyo vya Mchina, nasema vile Genuine.

Tatizo Maduka yetu makubwa hata website hayana,kazi kweli.

Halafu Msaada mwingine.
Kwa Budget ya 15 - 30m,unaweza kuanza na Level ipi ya Bakery,ni Small au Mid
 
Asante mkuu,angalau umetoa njia.
Sie wengine tupo Mbali,je una Idea ya Bei?
Achilia mbali na hivyo vya mchina,nasema vile Genuine.

Tatizo Maduka yetu makubwa hata website hayana,kazi kweli.

Halafu Msaada mwingine.
Kwa Budget ya 15 - 30m,unaweza kuanza na Level ipi ya Bakery,ni Small au Mid

Kiwango cha 15 hadi 30 ni medium

Commercial oven ya gesi ni sh 9 mill deck 3 ndani ina plate 9 pale samora , mixer mashine zinaanza 3.5 mill, ukienda pale veterani oven zinaanzia sh 6.5 mill na zipo $ 15,000 - 30,000 Rotary.
 
Tatizo wengi hatufahamu tuanze kuzalisha nn na kwa kiwango gani. Ni vzr kuja ili uweze kupatanisha vifaa vyako. Mfano unataka kuzalisha Mikate 90 kwa wkt mmoja, ni vzr kuwa na mixer ya kilo25, oven inayochukua Mikate 90, makopo angalau 180, hii inasaidia kuokoa pesa, muda, kutomchosha mfanyakaz unnecessarily, atimaye ufanisi ktk kazi. Kama unataka kufanya biashara hii ni vzr ujue unataka kuzalisha nn sbb mkate pekee unaweza kukuangusha, kuna vitu kama maandazi, scons, baby(Mikate), baga, ntc.
 
Asanteni Geo na Malick.
Hapa lazima mtu atafute Consultant, la sivyo kazi ipo.

Naanza mie:
Nahityaji Consultant wa Biashara hii na ambae ameishaifanya.
Weka Bei yako hapa hapa ya ushair, no Dalali pleasee
Maana humu Jf watu kwa udalali hawajambo, maana unakuta mtu anachukua hapa aneda kuuza halafu anakula percent na muhiska mwenye unakuta kumbe ame google hana lolote kichwani.

Haya Twende kazi, maana Ulaya ushauri huu unalipiwa, sasa inabidi nasie tunaotaka details za ndani kitaalam zaidi tupasuke mifuko.
Zipo Biashara za kuangalia juu juu,lakini nyingine lazima uzijue kwa kina sana
 
I seee! JF ni kiboko, ukiwa unasoma hivi tu unatoka na miradi elfu kidogo, juzi hapa nimefuatilia mradi Wa maji ya chupa ulikuwa well analysed! Sasa ona huu nao jamaa wanavyochambua! Hongera JF, hongera mwanzilishi Wa hii media!
 
I seee! JF ni kiboko, ukiwa unasoma hivi tu unatoka na miradi elfu kidogo, juzi hapa nimefuatilia mradi Wa maji ya chupa ulikuwa well analysed! Sasa ona huu nao jamaa wanavyochambua! Hongera JF, hongera mwanzilishi Wa hii media!

Mkuu mie mwenye shuhuda,
Miradi Mitatu yote nimepata humuhumu.
Maana watu watabezana mwisho wa siku akili za kuambiwa changanya na za kwako.

Mradi wa Maji tupo kwenye Mchakato na wadau,ila changamoto za kitaalma ndio naona tatizo.

Huu wa Bakery nao ni tatizo kwenye namna ya kuanzisha,ila iliwahi kuchambuliwa vizuri,maana nasikia pia leseni yake mbinde kweli,hadi uwe na Mtengenezaji sijui mpishi mwenye Degree,aisee kazi kweli.
 
Habari za mchana ndhani mtakua mnaendelea vyema

Naomba msaada
Ukitaka kuanzisha kiwanda kidogo cha kuoka mikate ni vitu gani hasa ambavyo unatakiwa kuwa navyo na may be kiasi gani cha pesa
KWA VIFAA TU NA MTAJI WA KUANZA

1.GARI YA KUSAMBAZIA IPO
2.SEHEMU YA KUFANYIA KAZI HIYO IPO
So swala hapa ni mashine na vitu gani vya kuanzia

Natanguliza shukrani
 
Ningependa kama ningepata mchanganuo kidogo, faida na hasara
 
Habari za mchana ndhani mtakua mnaendelea vyema

Naomba msaada
Ukitaka kuanzisha kiwanda kidogo cha kuoka mikate ni vitu gani hasa ambavyo unatakiwa kuwa navyo na may be kiasi gani cha pesa
KWA VIFAA TU NA MTAJI WA KUANZA

1.GARI YA KUSAMBAZIA IPO
2.SEHEMU YA KUFANYIA KAZI HIYO IPO
So swala hapa ni mashine na vitu gani vya kuanzia

Natanguliza shukrani

Hapo kwenye sehemu ya kufanyia kazi (jengo) itabidi kwanza uwaone TFDA wakague kwanza jengo lako.
TFDA wana regulations zao kuhusu ramani na 'ubora' wa majengo ya bakery.

Waone hao ili watembelee jengo lako kabla hujawekeza.
Watakuelekeza vizuri.
Ukianza kabla ya wao kuhakiki jengo lako, wakija na kukuta jengo lako halina 'ubora' watafunga bakery yako na kukuamuru urekebishe jego. Hii itakuwa ni hasara na gharama kubwa sana.

TFDA wakishapita, basi kila kitu ni rahisi kabisa..

Vifaa vya lazima kwenye bakery ni hivi hapa...

1.) Mixer (mashine ya kukandia mikate)

Spiral.jpg


2.) Oven ya kuokea mikate

Baking_Equipment.jpg


3.) Slicer (Machine ya kukatia mikate)

bc20.jpg


4.) Proofer (Machine ya kuumulia mikate)

Proffer_Bakery_Prover_Bakery_Equipment.jpg
 
Changamoto ni soko.
Soko ukiwanalo, biashara nzuri sana.

Kila la kheri..!!!

soko lipo lakini muisrael nataka kuanzisha kidogo sana ambacho kwa mara ya kwanza kitakua kinatengeneza mikate kama 500 kwa siku
embu niambie gharama kuhusu tfda sawa ila sasa nataka nianze na kama home scale hivi kuna haja ya kuwaita hao

naomba uniteneneezee gharama ambazo zitahitajika
plzzz nashukuru
 
soko lipo lakini muisrael nataka kuanzisha kidogo sana ambacho kwa mara ya kwanza kitakua kinatengeneza mikate kama 500 kwa siku
embu niambie gharama kuhusu tfda sawa ila sasa nataka nianze na kama home scale hivi kuna haja ya kuwaita hao

naomba uniteneneezee gharama ambazo zitahitajika
plzzz nashukuru

Kwa kupika mikate 500 kwa siku, ni lazima uwe na vifaa hivyo hapo juu.
Kwa ukubwa wa huo wa bakery, lazima uwaone TFDA kabla, Lazima.
Huwezi kufanyia biahsra hiyo ya bakery ya mikate 500 kwa siku halafu jamaa wasijue.
Maafisa afya wa kata wanahusika hapo pia.
Hao ndio wanaotoa certification ya kwanza kabla ya TFDA.
 
Kwa kupika mikate 500 kwa siku, ni lazima uwe na vifaa hivyo hapo juu.
Kwa ukubwa wa huo wa bakery, lazima uwaone TFDA kabla, Lazima..!!
Huwezi kufanyia biahsra hiyo ya bakery ya mikate 500 kwa siku halafu jamaa wasijue.
Maafisa afya wa kata wanahusika hapo pia.
Hao ndio wanaotoa certification ya kwanza kabla ya TFDA.

Okey nimekuelewaa muisrael
 
Back
Top Bottom