Biashara ya Uokaji (Bakery): Mbinu, Ushauri na Changamoto Zake

Biashara ya Uokaji (Bakery): Mbinu, Ushauri na Changamoto Zake

Attachments

  • 1420887740800.jpg
    1420887740800.jpg
    34.1 KB · Views: 511
Munkari bestito naomba uje hapa utajifunza mengi zaidi kuhusu kutaka kufahamu keki na uokaji wote

Kuhusiana na Mtaji inagemeana unataka kutengeneza bidhaa gani na kwa kiwango gani kwa siku etc..Mfano kwa minimum hata 3 mill unaweza anaza kwa keki ndogo . Kwa kununua mixeer ya kg 5 kwa laki 9, Oven single deki ya 1.5 then laki sita ikawani pans na ingredients.
Vifaa vinavyohitajika kwa mradi wa bakery yaan unatengeneza wa keki, mikate, biscuits etc ni kama ifuatavyo commercial Oven, mixer mashine, slicer, improver, kabati, Pan/ filling, nozzels and mashine, decorations accesories, neckbag na vingine vidogo vidogo.

Maduka ya vifaa nayafahamu baadhi ,yako ambayo ni ya vifaa bei rahisi na mengine juu kidogo.
1.Maduka ya vifaa expensive ila vifaa vyao vina ubora wa hali ya juu. Duka la kwanza liko mtaa wa samora avenue inatazamana na ppf house, duka la pili liko posta mkabala na wizara ya sayansi na taknolojia na duka la tatu liko tazara veterani pale Penye petrol station.Haya. maduka vifaa vyao vinatoka UK, turkey na baadhi ya nchi za ulaya.
2.vifaa vya at least bei rahisi ni kutoka China maduka ni moja liko kariakoo mtaa wa agreey ukimaliza bakhresa mbele kuja jengo lina hospitali. Pili ni maduka mawili yanatazamana na kituo cha mafuta bigborn....
Nakaribisha uwanja wa maswali kwa jambo lolote kuhusiana na bakery.
 
Last edited by a moderator:
Kuhusiana na Mtaji inagemeana unataka kutengeneza bidhaa gani na kwa kiwango gani kwa siku etc..Mfano kwa minimum hata 3 mill unaweza anaza kwa keki ndogo . Kwa kununua mixeer ya kg 5 kwa laki 9, Oven single deki ya 1.5 then laki sita ikawani pans na ingredients.
Vifaa vinavyohitajika kwa mradi wa bakery yaan unatengeneza wa keki, mikate, biscuits etc ni kama ifuatavyo commercial Oven, mixer mashine, slicer, improver, kabati, Pan/ filling, nozzels and mashine, decorations accesories, neckbag na vingine vidogo vidogo.

Maduka ya vifaa nayafahamu baadhi ,yako ambayo ni ya vifaa bei rahisi na mengine juu kidogo.
1.Maduka ya vifaa expensive ila vifaa vyao vina ubora wa hali ya juu. Duka la kwanza liko mtaa wa samora avenue inatazamana na ppf house, duka la pili liko posta mkabala na wizara ya sayansi na taknolojia na duka la tatu liko tazara veterani pale Penye petrol station.Haya. maduka vifaa vyao vinatoka UK, turkey na baadhi ya nchi za ulaya.
2.vifaa vya at least bei rahisi ni kutoka China maduka ni moja liko kariakoo mtaa wa agreey ukimaliza bakhresa mbele kuja jengo lina hospitali. Pili ni maduka mawili yanatazamana na kituo cha mafuta bigborn....
Nakaribisha uwanja wa maswali kwa jambo lolote kuhusiana na bakery.
....stand by HD generator, chumba, gharama za TFDA etc .....wawe angalau na 50-80m
 
Kuhusiana na suala la vifaa unaweza kucheki kwenye hii PDF pamoja na vifaa cost zote mpaka za ushauri nasaha wa aina za recipe za mikate-Kuna mikate aina nyingi sana ambayo kwa sasa sokoni mingi haipo ni inovative mojawapo kuingia sokoni kwa kishindo.Tumekuandalia seting ya mini bekary yenye uwezo wa kuzalisha tani moja kwa shifti moja yenye masaa 10 pia unaweza kufanya shifti ya usiku hiyo nii juu yako

Kama kutakuwa na swali au umeshindwa kudownload basi nicheki anthony@ugalla.com
nitakutumia moja kwa moja kwa email yako

Pia niwieni radhi kutokana na vifaa vingi kukosa tasfiri ya kiswahili basi nimeona doc yote iwe ya kizungu
 

Attachments

Wakuu naomba msaada wa kujua vifaa vinavyohitajika ili kuanza hii biashara!! Nataka kuanza katika small scale na kuajiri watu wachache pia kupata vifaa ambavyo siyo complicated, Je mtaji kiasi gani utatosha?
 
Wakuu naomba msaada wa kujua vifaa vinavyohitajika ili kuanza hii biashara!! Nataka kuanza katika small scale na kuajiri watu wachache pia kupata vifaa ambavyo siyo complicated, Je mtaji kiasi gani utatosha?


Mkuu hapo juu niliattach list ya vifaa kwa bekarindogo yenye uwezo wa kuzalisha tani moja kwa shifti moja...kwa kawaida gharama za kuanzisha bekari kamahii ni kama mil 50 to 60 inategemea na eneo husika...kwa kawaidabekari kama hii kwa siku faida yakeni kama milioni moja kwa hivyo ndani ya miezi miwili rahisi kurudisha pesa wakati miezi mingine ni kufikiria upanuzi wa biashara
 
Hongera kwa Kuthubutu.
kupata baker mzuri siyo jambo rahisi,ila inawezekana kumuiba mmoja kutoka ktk bakery nyingine,hapo inabidi utembelee bakery nyingine ujue average ya mishahara ,then uanze zoezi la kupata a good baker.uichukue unemployed baker ,tafuta aliyekazini umuamishe.

2.distribution nzuri ni via watu wa baiskeli/pikipiki.hapo ukifanikiwa kinachobaki ni smiles all the way to the bank
mkuu hongera kwa kuthubutu ,jali ubora wamikate ,muonekano ,ujazo ,na taarehe za kuisha kwa matumizi ,yaani expire date .pia zingatia sana usafi ukijua kuwa unadeal na afya za mtu zaidi ya mmoja kosa moja litakugharimu ,na pia distibution yako pia uwe na network nzuri usiwaze super market baadhi wanatengeneza bidhaa zao wenyewe ,angalia maduka ya kawaida ,n.k
 
Hongera sana mkuu, Mungu akutangulie.

Changamoto kubwa hapo ni umeme na machine maintenance. Na imani umejipanga vyema.
 
Back
Top Bottom