Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
20,000 kwa siku
Kazi kweli
Jamii forum siku hizi watu hadi ushauri wanauza.
Maana Pm kibaoo bila majibu.
Akili kumkichwa
bajaji ni laana, pikipiki ni laana,
utaishia kujuta.
1. Asilimia kubwa anapata dereva anakusanya 50000/= anakupa 20000/=
2. Ni lazima umuachie makusanyo siku mbili tatu ili aifanyie service ya uhakika, ukiwa mbishi itafanywa tambala bovu. Service mara mbili kw mwez, au moja, mbili ni bora zaid
3. Asilimia 90 Hazirejeshi bei ya manunuzi. Buni bisshars tofaut
Chukuwa TVS,
Fanya hivi ingia na mtu mkataba wa mwaka mmoja. Baada ya mwaka unamwachia. Terms ni kwamba kila siku lazima alete pesa endapo ikifika week hajaleta mnamnyang'anya. Matengenezo yoyote juu yake. Kila siku anakuletea 30k. 30,000*30*12=10,800,000
Una kifua ? Unamaana gani mkuu?
Naomba uniunganishe mkuu. Namba yangu 0786 69 33 39
Biashara pasua kichwa hyo. Ndio nlicho maanisha. Kupata kijana mstaarab na mwaminifu ni bahati sanaa. Wapo vijana ukimpa bajaj yako hutakaa usikie ikiharibika ovyo (nidham ya matumizi/uendeshaji)...ila wengine kila siku utafanya kutafuta spare kkoo/ilala alaf returns za kipuuzi.
Kama mtu ana kimtaji chake anataka kukaza kivyake hapo sawa itamtoa big tym (wapo watu wamejenga from bajaj)....hata uendeshaji wako utakua wa adabu.
- itaharibika mara ngapi mwaka mzima?
- haitafanya kazi mara ngapi kwa sababu ya dereva mgonjwa au safari binafsi(lets say matatizo)
-utatumia wewe kwa matumizi yako binafsi mara ngapi.?
-itakamatwa na polisi mara ngapi(kutoa rushwa)
- etc..
Baada ya mwaka unasema unamwachia,bajaji umenunua mil 5 mwisho wa mwaka umepata mil 10 na bajaji umemwachia mtu huoni faida inakuwa ni chini ya mil 5 mwaka mzima? Na umempa mtu mil 5 hivi hivi? Halafu utanunua mpya au??????