Biashara ya uwakala wa simu na benki (M-Pesa, Airtel Money, Tigo Pesa, fahari huduma na NMB Wakala) unaweza kuanza kwa mtaji wa shilingi ngapi?

Biashara ya uwakala wa simu na benki (M-Pesa, Airtel Money, Tigo Pesa, fahari huduma na NMB Wakala) unaweza kuanza kwa mtaji wa shilingi ngapi?

Habari
Nataka kuanzisha biashara hii ya uwakala wa mitandao na bank:Mtaji 2.2 m
Naomba kuuliza biashara hii inalipa au hasara tupu?

Inalipa ila inategemea na location.
Ushauri.
1. Tafuta eneo/location yenye pilikapilika (watu wengi)
2. Anza na mitandao ya Simu (Tigo, Voda, Halotel na Airtel)
3. Pata semina ya UTAPELI (kutoka kwa hao watakao kupatia TILL za uwakala)
4. Hiyo frame uweke na vitu nyengine vya kuzalisha pesa. Weka hata pombe zile Take Away au kengine cha kutoka fasta.

Mengine tutajuzana kwenye comment...

#YNWA
 
Nilikuwa natamani biashara hii ya huduma za kifedha Ila upande wa  risk hapana kwakweli unaweza  kufa etiii 😥😥😥 wezi wakaniua na Ela yangu wakachukua 😭.
 
Hii biashara nilishasemaga ni ya watu wavivu kufikiri! Kuna mtu alininanga ila nilikuwa nishampa ukweli!

Its useles ku risk million 10 kwa mwezi mzima kwa returns za 1.5M ambayo ni makadirio ya juu sana unaweza pata chini ya hapo! Kuna kupigwa risasi na sahizi Magufuli hayupo maana ujambazi utakuwa nje nje! Kuna chumaulete pia! Its surely a risky bet
kwani wanaofanya biashara nyingine hawapigwi risasi?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii biashara nilishasemaga ni ya watu wavivu kufikiri! Kuna mtu alininanga ila nilikuwa nishampa ukweli!

Its useles ku risk million 10 kwa mwezi mzima kwa returns za 1.5M ambayo ni makadirio ya juu sana unaweza pata chini ya hapo! Kuna kupigwa risasi na sahizi Magufuli hayupo maana ujambazi utakuwa nje nje! Kuna chumaulete pia! Its surely a risky bet
Acha uwoga kijana 1.5ml kwa mwez sio ndogo na kumbuka ndan ya ofis waeza fanya na ishu nyingine tatizo la vijana wa leo mnataka mafanikio ya haraka hakuna iyo
 
Back
Top Bottom