Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
Nisiwachoshe bure nitaandika kifupi sana. Kuna tangazo limepata airtime kubwa kwenye ITV kuhusu Vanilla International inayo promote kilimo cha vanilla wilayani Njombe. Bottom line ni bei ya soko ya kilo moja kuwa ni Tsh 850,000.
Wasiwasi wangu:
1. Kama faida ni kubwa hivyo kwa nini wasilime wenyewe kwa vile wanajuwa soko lilipo?
2. Ile methali ya kizuri chajiuza, na kibaya chajitembeza, je ina apply hapa?
3. Kuna watu wanalima vanilla Mkoa wa Kagera wanadai kuwa hata mteja wa kumuuzia kilo moja kwa Tsh 50,000 hawampati.
4. Kwa nini wanatangaza "faida" tu mfano bei nzuri na hawatangazi "changamoto" zinazoendana na biashara hii?
5. Naiona kama DESI watu wanaweza kupigwa hela hapa.
Wajuzi tufahamisheni
Wasiwasi wangu:
1. Kama faida ni kubwa hivyo kwa nini wasilime wenyewe kwa vile wanajuwa soko lilipo?
2. Ile methali ya kizuri chajiuza, na kibaya chajitembeza, je ina apply hapa?
3. Kuna watu wanalima vanilla Mkoa wa Kagera wanadai kuwa hata mteja wa kumuuzia kilo moja kwa Tsh 50,000 hawampati.
4. Kwa nini wanatangaza "faida" tu mfano bei nzuri na hawatangazi "changamoto" zinazoendana na biashara hii?
5. Naiona kama DESI watu wanaweza kupigwa hela hapa.
Wajuzi tufahamisheni