Biashara ya viazi mviringo

Biashara ya viazi mviringo

Soko lipo vizuri, kama unavyoona watu kila siku wanazidi kupenda chips na matumizi ya viazi yanaongezeka cha muhimu ni uchaguzi mzuri wa viaz kule shamban, hakikisha unachagua kiaz kizuri na kiwe kikubwa soko zuri ni buguruni na mabibo ilala siyo wazuri sana
Kuhusu usafiri kama unachukua mzigo njombe kulee kuna shida kidogo ya usafiri lakini tofauti na mbeya usafiri hausumbui sana maana semi tyler nyinyi zinatoka zambia kuja dar zingine zinakuwa tupu soo deal kaa izo hawawez kuacha

Asante sana mkuu, nimekuelewa vyema ngoja nijikisanye ili niongeze mtaji japo nianze mdogo mdogo. Vip wapi ni bora zaidi kati ya mbeya na njombe kwa ubora wa viazi, bei na accessibility ya usafiri.
 
Mbeyaa ni vyema zaidi lakini vina msimu wake njombe ni kuanzia june adi december vinakuwa vimeishaa apo vinaanza mbeyaa kuanzia november adi may

Asante sana mkuu kwa msaada wako sasa nimepata pa kuanzia, for any case takutafuta tena maana natamani sana nifanikiwe kupitia biashara hiyo.
 
asante sana mkuu, nimekuelewa vyema ngoja nijikisanye ili niongeze mtaji japo nianze mdogo mdogo.
vp wapi ni bora zaidi kati ya mbeya na njombe kwa ubora wa viazi, bei na accessibility ya usafiri
Mkuu ni PM au nipigie kwnye 0753543236 tufanye hiyo biashara.
 
Mimi nimefanya hii biashara, naijua vizur sana ni biashara nzuri sana, nilisimama kwa muda kutokana na kubanwa na masomo nategemea kurudi kwenye hii biashara mwezi wa kumi mwaka huu, kwa laki 8 kweli ni ndogo mkuu atleast uwe na kama 3milion ndoo utaona faida ya hii biashara

Kwani gari ya chini huwa n fuso yenye uwezo wa kubeba magunia 75 kujaza mzigo siyo pungufu ya 2.4m ni bora ufanye ivo kuchukua gari yako kuliko kushare maana itakugharimu sana kwenye usafirishaji

Nakaribisha tuungane mkuu kama kuna swali waitaji kujua waweza kuuliza apa apa ntakujibi
Hii ndiyo michango yenye tija!!!
 
Mimi nimefanya hii biashara, naijua vizur sana ni biashara nzuri sana, nilisimama kwa muda kutokana na kubanwa na masomo nategemea kurudi kwenye hii biashara mwezi wa kumi mwaka huu, kwa laki 8 kweli ni ndogo mkuu atleast uwe na kama 3milion ndoo utaona faida ya hii biashara

Kwani gari ya chini huwa n fuso yenye uwezo wa kubeba magunia 75 kujaza mzigo siyo pungufu ya 2.4m ni bora ufanye ivo kuchukua gari yako kuliko kushare maana itakugharimu sana kwenye usafirishaji

Nakaribisha tuungane mkuu kama kuna swali waitaji kujua waweza kuuliza apa apa ntakujibi

Mkuu naomba nikutafute siku nikipata nafasi...naomba ni PM number yako..umetoa maelezo muhimu sana.
 
Mimi nimefanya hii biashara, naijua vizur sana ni biashara nzuri sana, nilisimama kwa muda kutokana na kubanwa na masomo nategemea kurudi kwenye hii biashara mwezi wa kumi mwaka huu, kwa laki 8 kweli ni ndogo mkuu atleast uwe na kama 3milion ndoo utaona faida ya hii biashara

Kwani gari ya chini huwa n fuso yenye uwezo wa kubeba magunia 75 kujaza mzigo siyo pungufu ya 2.4m ni bora ufanye ivo kuchukua gari yako kuliko kushare maana itakugharimu sana kwenye usafirishaji

Nakaribisha tuungane mkuu kama kuna swali waitaji kujua waweza kuuliza apa apa ntakujibi
Bado unafanya hii biashara mkuu
 
Kwa wanaohitaji mashine za kumenyea viazi inapatikana sasa jijini dar kwa bei nafuu ya milioni 5.5 mashine uwezo wake ni kilo 300 kwa lisaa, usichelew zipo chache saana, na hazili nyama, zinatoa ganda tuu. Wapige kwa mhusika 075282714
Mkuu bado unafanya hii biashara
 
Mimi nimefanya hii biashara, naijua vizur sana ni biashara nzuri sana, nilisimama kwa muda kutokana na kubanwa na masomo nategemea kurudi kwenye hii biashara mwezi wa kumi mwaka huu, kwa laki 8 kweli ni ndogo mkuu atleast uwe na kama 3milion ndoo utaona faida ya hii biashara

Kwani gari ya chini huwa n fuso yenye uwezo wa kubeba magunia 75 kujaza mzigo siyo pungufu ya 2.4m ni bora ufanye ivo kuchukua gari yako kuliko kushare maana itakugharimu sana kwenye usafirishaji

Nakaribisha tuungane mkuu kama kuna swali waitaji kujua waweza kuuliza apa apa ntakujibi
Asante mkuu
 
Mimi ni mkulima wa viaz huku mbeya kwa hyo lak 8 ni ndogo sana mkuu..embu fiki gunia la kiaz unanua kwa mkulima elf 50..gar inapakia gunia 100 kwa hyo hapo kwa hyo hela unanua gunia kama 16 hv..bado ujatoa hela ya kushonea..advance ya mwenye gar...karibu mkuu mbeya tunalima sana kiaz.
 
mm ni mkulima wa viaz huku mbeya kwa hyo lak 8 ni ndogo sana mkuu..embu fiki gunia la kiaz unanua kwa mkulima elf 50..gar inapakia gunia 100 kwa hyo hapo kwa hyo hela unanua gunia kama 16 hv..bado ujatoa hela ya kushonea..advance ya mwenye gar...karibu mkuu mbeya tunalima sana kiaz
Sorry...hivi hapo mbeya mnalima viazi wilaya gani hasa?
 
Back
Top Bottom