Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,287
vipi usafiri upo mwingi?,gharama zake zikoje?wilaya ya tukuyu..sehemu Kama kikondo..swaya..na wilaya ya mbeya kijijin maeneo umalila..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
vipi usafiri upo mwingi?,gharama zake zikoje?wilaya ya tukuyu..sehemu Kama kikondo..swaya..na wilaya ya mbeya kijijin maeneo umalila..
Naomba mawasiliano yakomm ni mkulima wa viaz huku mbeya kwa hyo lak 8 ni ndogo sana mkuu..embu fiki gunia la kiaz unanua kwa mkulima elf 50..gar inapakia gunia 100 kwa hyo hapo kwa hyo hela unanua gunia kama 16 hv..bado ujatoa hela ya kushonea..advance ya mwenye gar...karibu mkuu mbeya tunalima sana kiaz
Naomba mawasiliano yakoApana mkuu usafiri hujaweka apo mara nyingi huwa wanaitaji advance siyo zaidi ya lak 3 kwenye usafiri, izoo gharama zingine za usafiri unalipa baada yaa mauzo kufanya ata dalali analipwa baada yaa mzigo kuuzwa,
Bei huwa zina range kati yaa 26,000-32,000 kutegemeana na wapi na aina ya kiazi iyo bei ni guniaa ad liko ndani yaa gari, au kwa maana nyingine umelipa wapakiaji,ushuru, na gunia na kambaa
Kuwa mbunifu kenge ww sio kila kitu n kuiga tuMkuu ulifanikiwa katika hili? na je bado unaendelea.... Naomba msaada wako kwani na mimi nataka kufanya hii kitu. Asante
asante kwa ushauriKuwa mbunifu kenge ww sio kila kitu n kuiga tu
Matusi ya nini sasa??? Ungetumia lugha nzuri ungeeleweka na kuheshimika kuliko lugha chafu kama hiyo ndugu.Kuwa mbunifu kenge ww sio kila kitu n kuiga tu
PM namba yako plsmm ni mkulima wa viaz huku mbeya kwa hyo lak 8 ni ndogo sana mkuu..embu fiki gunia la kiaz unanua kwa mkulima elf 50..gar inapakia gunia 100 kwa hyo hapo kwa hyo hela unanua gunia kama 16 hv..bado ujatoa hela ya kushonea..advance ya mwenye gar...karibu mkuu mbeya tunalima sana kiaz
Ni pm namba yakomm ni mkulima wa viaz huku mbeya kwa hyo lak 8 ni ndogo sana mkuu..embu fiki gunia la kiaz unanua kwa mkulima elf 50..gar inapakia gunia 100 kwa hyo hapo kwa hyo hela unanua gunia kama 16 hv..bado ujatoa hela ya kushonea..advance ya mwenye gar...karibu mkuu mbeya tunalima sana kiaz
Upo mbeya sehem ganmm ni mkulima wa viaz huku mbeya kwa hyo lak 8 ni ndogo sana mkuu..embu fiki gunia la kiaz unanua kwa mkulima elf 50..gar inapakia gunia 100 kwa hyo hapo kwa hyo hela unanua gunia kama 16 hv..bado ujatoa hela ya kushonea..advance ya mwenye gar...karibu mkuu mbeya tunalima sana kiaz
Sawa mkuuNichek 0658047048
Sawa...lakin mm niko mbeya mkuuVinapatikana sana Lushoto, Tanga.
Mkuu hii location ungeiweka kwenye introduction post.Sawa...lakin mm niko mbeya mkuu