Biashara ya Vifaa vya Ujenzi (Hardware Store): Ushauri wa Mtaji, Uendeshaji, Changamoto na Faida


Hakika umebarikiwa hongera na asante maana hata mimi nimejifunza kitu.
 
Ubarikiwe sana nimejifunza kitu hapa yaani umelelezea kwa ufasaha sana
 
Nami pia umenielewesha sana mkuu. Ubarikiwe kwa hilo
 
Maisha kwl ni kutafuta but changamoto ni kubwa ebu nipe fursa mkuu hata moja huko mambeleeee
 

Hujasema bei ya mfuko ni bei gani dh ngapi huko dubai na koteina ya ft ngapu inaingia mifuko mia container kutuma bei gani
 
Nenda Lake cement wazalishaji wa Nyati cement na hutojutia uamuzi wako mkuu,,ofisi zao ziko jengo la atcl town
 
Hivi biashara hii huwa ikoje?

Faida zikoje?

Changamoto zikoje?

Kwa sasa mfuko wa cement ni sh. 19000 huku kigoma na chokaa 4500. Nataka nifungue duka huku kigoma mjini
 
Hii biashara ni mhimu mno. Maana kila siku watu wanajenga hasa hii mikoa inayoendelea kujengwa ili ikue
 
Mkuu uhakikishe uwe na mtaji wa kutosha. Me nipo Kasulu nilikuwa nataka nifungue duka la vifaa vya ujenzi hilo ndo wazo langu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…