mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Chokaa ni 4500Hiyo Chokaa in kg ngapi kwa mfuko?
Ameuliza huo mfuko unaouzwa Tsh4500 una Kilogram(uzito) kiasi gani?Chokaa ni 4500
DuuuNi vizur ukaanza na milion 50 nje ya malipo ya pango if untaka benefit kubwa
Ahsante sana mkuu. Mm nipo DarUpo wapi?:
Kama upo Dar.
Cement utapata wazo Twiga cement. GSM wao wana Kilimanjaro Cement.
Nondo : Nenda Kamaka Mandela Road.
Nondo : Sita kwa hiten Shah ,Kamal steel au AIM steel. au kwa yuri Mrusi.
Zingine nenda Changombe ,Kariakoo au kwa JK sukita.
Bidhaa za nyumbani nenda Kichangani.
Hivi cement huwa hazina expire date(haziharibiki)? Kama zinaharibika,basi heri mtu uwe wakala ili zikiharibika wabebe mizigo yao other wise hasara atabeba muuzajiUsimwogopeshe bhana!
Iko hivi;
Kuna uwakala mkubwa na uwakala mdogo.
Kama unataka kuwa wakala mkubwa unatakuwa ume na kampuni yenye usajili wa kisheria(hii inafahamika, Brela, TIN, Leseni kutoka manispaa)
Unatakiwa uwe na magari nakubwa ya kubebea. Pia uwe na vituo vya kusambazia si chini ya 60.
Ukiwa na vigezo hivyo unaenda moja kwa moja kiwandani (Nazungumzia wazo-Twiga cement wengine sijui vigezo) ukifika ni faster tu hata uchekeweshwi.
Wakala mdogo
Wtanunua kwa mawakala wakubwa. Minimum unanua tani moja ambapo kama bei hazijabadikija ni Tshs10500/ kwa mfuko.
Huenda ni perving block mkuu usicheke tuhii kiboko aisee yaani mfuko mmoja wa saruji utoe tofali 55 hadi 60 !!![emoji2][emoji2]
hii nyumba ikinyeshewa na mvua inamong'onyoka aisee...kwavile ni nyumba ya mchanga hii
Naunga mkono hojaLakini kiujumla bado biashara ya hardware inalipa
Hivi ni hardware gani ambayo mtaji wake angalau ni mdogo kidogo!? Ukilinganisha na hardware zingine!!
Hivi ni hardware gani ambayo mtaji wake angalau ni mdogo kidogo!? Ukilinganisha na hardware zingine!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Vifaa vya umemeHivi ni hardware gani ambayo mtaji wake angalau ni mdogo kidogo!? Ukilinganisha na hardware zingine!!
Sent using Jamii Forums mobile app