Biashara yangu imedorora sana, hali hii ni kwangu tu au wote?

Na ww unaona fahari kuitwa mama wa nyumbani?
Nashukuru kuwa mama wa nyumbani nawaleoa watoto vizuri nauonaukuaji wake vizuri na changamoto zinazowakabiri watoto tumegawana majukumu .nimehepuka watoto kuwekwa kwenye friji au kufanywa Mpira wa kombolela na wadada wa kazi.
 
Hata wateja wangu wa bodaboda cku hizi hawapandi tena wanatembea kwa miguu maafande wenyewe wakikunyaka ndo balaa zaidi kosa dogo tu wanataka hela za maji elfu 20.
Ama kweli tunaisoma namba!!!!
 
Mkuu mauzo yake sio mazuri, shilingi elfu 40 akishalipia kodi ndio biashara itaenda vizuri.?

Me ningemshauri abadilishe biashara kwa kuuza bidhaa za vyakula kipindi watu wakiwa na kipato kidogo. Kuliko kuendelea kuuza mashuka na mapazia.

Ndugu....kwa sasa biashara ya kufanya ni ya chakula....mambo mengine watu hawana uwezo nayo kwa sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…