Kayenga jr
JF-Expert Member
- Feb 16, 2016
- 443
- 349
Sasa hivi watu watanunua nyumba na viwaja kwa bei nafuu mabenk mengi wadaiwa wao hawajarejesha mikopo waliyokopa na waliweka vitu hivyo dhamana hivyo sio biashara tu kila sehemu sasa hivi deal zimepungua watu wanaishi kwa mshahara