Biashara yangu inaniingizia faida ya Tsh. 200,000 kila mwezi; Je, Niiache niende chuo?

Haya mambo ya kuwaza kuwa ukitoka chuo basi unaanza kupata mshahara mkubwa au lazima uanzishe biashara kubwa inayokulipa mil 10 nk ndo inawafanya graduates wanakuwa maskini wa kutupwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mara nyingine tena nimechaguliwa
Kusoma
bachelor of arts in economics pale UDSM.

Wakati naomba ushauri nilikuwa tayari nimeshatuma maombi ya kujiunga university.

SASA kulingana na ushauri wa walio wengi najiuliza hii chance ni ipige chini tena?
 
Kama una ndogo za kuajiriwa rudi shule


Kama una ndoto za kuwa mfanyabiashara pga chin shule
 
Kwa mara nyingine tena nimechaguliwa
Kusoma
bachelor of arts in economics pale UDSM.

Wakati naomba ushauri nilikuwa tayari nimeshatuma maombi ya kujiunga university.

SASA kulingana na ushauri wa walio wengi najiuliza hii chance ni ipige chini tena?

Rudi shule kaka, trust me moyo wako uko shule.
Kama ushauri umetolewa mwingi namna ile wa kukushauri uendelee kufanya ukifanyacho lkn bado unawaza shule,
Formal education is the best for you
 

Rudi shule kaka, trust me moyo wako uko shule.
Kama ushauri umetolewa mwingi namna ile wa kukushauri uendelee kufanya ukifanyacho lkn bado unawaza shule,
Formal education is the best for you
Asante kwa ushauri wako..
 

Mkuu jiunge na FOREX hiii biashara ni kiboko. Hio 200K unapiga kwa siku
 
Kuna kitabu kinaitwa Rich Dad poor Dad...kwa kusummary n hiv hakikisha hiyo biashara unayoifanya inabadilisha kipato chako Kama kiwe kinasoma Kama no ya simu Alf ndipo utaamua kusoma au uendelee kufurah maisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…