Biashara yenye faida kubwa kwa mtaji wa Tsh milioni 15-20

Hiyo ya kutoa mkataba kwa boda boda kuna changamoto gani kubwa , nafikiria kuifanya mambo yakienda vizuri hivi karibuni
Usiifanye Kaka bodaboda woote ambao hawana pikipiki sio waaminifu wengi walio waaminifu tayar Wana pikipiki zao. Watakusumbua
 
Hata hivyo nakupongeza hela yako haijafa kwenye pikipiki,hiyo kazi Ina changamoto Sana kwasababu madereva wengi waaminifu Wana pikipiki zao,ukiona dereva Hana pikipiki ana matatizo niamini Mimi.
 
Wakati unatafakari biashara ya kufanya ya kudumu,, Njoo huku kilwa Nanjilinji huu ni msimu mavuno ya zao la ufuta, unanunua kwa wakulima kwa kg moja 1500, unauza kwenye mnada shs 2800 kwa kilo moja. Ndani week moja Unapata pesa yako...Ufuta hauna shida kama Korosho watu wanapiga pesa kimya kimya huku..! Au pia Fursa nyingine Nunua pikipiki ya Tairi itatu, (Maguta) unanunua mawili yenye Thamani ya Shs 12,500,00. Unakuja kupiga pesa huku, Unatoa mazao mashambani unaleta mjini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Biashara zote ulizomshauri hapa ni biashara kichaa
 
Mkuu kwani PM hata wewe si unaweza fika?AU sote hatuwezi kufika PM?
Weka hadharani watu wote wapate mwanga na pia waweze kutoa mawazo yao ili kuboresha zaidi hiyo biashara.

Kuitana pm kwa haraka hivyo haswa kwa mambo ya ngawira kunaleta kujiuliza.
 
Weka hadharani watu wote wapate mwanga na pia waweze kutoa mawazo yao ili kuboresha zaidi hiyo biashara.

Kuitana pm kwa haraka hivyo haswa kwa mambo ya ngawira kunaleta kujiuliza.
Mkuu,sio kila business idea ni kwa ajili ya Mass consumption
 
Apo kwenye ufuta tayari ishajulikana kama bei ya kuuza ni 2800 kwa kilo??
 
Upo sahihi kabisa aisee, yaan madereva wengine wanasumbua sana. Anaweza asilete rejesho hata la wiki nzima mpaka muanze kutaftana.
Hata hivyo nakupongeza hela yako haijafa kwenye pikipiki,hiyo kazi Ina changamoto Sana kwasababu madereva wengi waaminifu Wana pikipiki zao,ukiona dereva Hana pikipiki ana matatizo niamini Mimi.
 
kuna jamaa yangu mmoja alijifanya amepata hela kadhaa aanze kuimport vipodozi toka Nairobi, mwanzoni alipata faida, ila alipoingia mkenge alichofanywa TFDA/TMDA hatakuja asahau. kuna biashara zina faida ila zina risk balaa.
 
Usijaribu hii kitu utalia kilio cha mbwa mwitu...utapiga ukunga uwo mpakaa akili ikukae sawa...
 
IDO, BASE OIL, CONDI SET, SLAGE NA OIL CHAFU huko ni pesa tupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…