Matendo Andrew
JF-Expert Member
- Apr 1, 2014
- 748
- 367
Usiifanye Kaka bodaboda woote ambao hawana pikipiki sio waaminifu wengi walio waaminifu tayar Wana pikipiki zao. WatakusumbuaHiyo ya kutoa mkataba kwa boda boda kuna changamoto gani kubwa , nafikiria kuifanya mambo yakienda vizuri hivi karibuni
Hata hivyo nakupongeza hela yako haijafa kwenye pikipiki,hiyo kazi Ina changamoto Sana kwasababu madereva wengi waaminifu Wana pikipiki zao,ukiona dereva Hana pikipiki ana matatizo niamini Mimi.Habari wakuu,
Naomba ushauri wa biashara nzuri kwa mtaji wa sh ml.15 mpaka 20.
Mara ya kwanza nilikuwa nafanya biashara ya bodaboda kwa mkataba, nanunua nawapa vijana baada ya miezi 12 inakuwa ya kwake, hii biashara kwangu ishakuwa changamoto sana.
Naombeni mawazo yenu mbali mbali kwa biashara ipi naweza kufanya maana mimi sio mzoefu ya biashara nyingi nilikuwa kwenye biashara moja tu, najua kwa ushauri wenu naweza kupata pakuanzia na kila changomoto kwa biashara husika.
Asanteni
Nakushauri chukua ushauri huu,hutojutiaNunua Vipande vya UTT-AMIS.
Naunga mkono hoja. cc baharia 1Ila kwa kua ulikua na pikipiki 10, unaelewa kidogo kuhusu pikipiki, kata huo mtaji mara 3 waulize vijana wako pikipiki zinakufa zaidi nini. Au fanya research zako then fungua duka la spea. Tumia hao vijana kuleta Wateja na Wateja
Biashara zote ulizomshauri hapa ni biashara kichaakama unaweza fungua ka microfinance kadogo ukopeshe mfano
100k kwa asilimia 30-40 inadependi na wewe mwenyewe hawa wanarejesha kila siku 4500 au 4000 inalipa (haikosi changamoto)
au
fungua wakala wa bank na mitandao (tafuta location nzuri huko ulipo unaweza ukapata hapa location mbili... upae vijana waamifu na uee makini unaweza weka na gesi hapo hapo
au
kama uko dar fungua duka la nafaka kama ni mkoani mkoa ulipo anza kusafirisha mchele to dar ila uwe makini nayo
fungua duka ka spea za pikipiki na vifaa vingine
au
kanunue bond UTT au BOT
au kaweke Fixed kwenye bank inayotoa commision nono
Weka hadharani watu wote wapate mwanga na pia waweze kutoa mawazo yao ili kuboresha zaidi hiyo biashara.Mkuu kwani PM hata wewe si unaweza fika?AU sote hatuwezi kufika PM?
Mkuu,sio kila business idea ni kwa ajili ya Mass consumptionWeka hadharani watu wote wapate mwanga na pia waweze kutoa mawazo yao ili kuboresha zaidi hiyo biashara.
Kuitana pm kwa haraka hivyo haswa kwa mambo ya ngawira kunaleta kujiuliza.
Aise wewe mweye akili kubwa ndio nilikuwa nakutafuta. sasa mwanawane mie nataka nikupe mil 10 kila mwezi uniingizie milion mbili. vipi unaweza kufanya hilo?Uwekezaji wa wenye akili ndogo
vinanunuliwa wapi jamani na sie wa kaliua tupate japo vijisentiNakushauri chukua ushauri huu,hutojutia
ingia website yao utaona kila kituvinanunuliwa wapi jamani na sie wa kaliua tupate japo vijisenti
Apo kwenye ufuta tayari ishajulikana kama bei ya kuuza ni 2800 kwa kilo??Wakati unatafakari biashara ya kufanya ya kudumu,, Njoo huku kilwa Nanjilinji huu ni msimu mavuno ya zao la ufuta, unanunua kwa wakulima kwa kg moja 1500, unauza kwenye mnada shs 2800 kwa kilo moja. Ndani week moja Unapata pesa yako...Ufuta hauna shida kama Korosho watu wanapiga pesa kimya kimya huku..! Au pia Fursa nyingine Nunua pikipiki ya Tairi itatu, (Maguta) unanunua mawili yenye Thamani ya Shs 12,500,00. Unakuja kupiga pesa huku, Unatoa mazao mashambani unaleta mjini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata hivyo nakupongeza hela yako haijafa kwenye pikipiki,hiyo kazi Ina changamoto Sana kwasababu madereva wengi waaminifu Wana pikipiki zao,ukiona dereva Hana pikipiki ana matatizo niamini Mimi.
Usijaribu hii kitu utalia kilio cha mbwa mwitu...utapiga ukunga uwo mpakaa akili ikukae sawa...Nenda mbeya wilaya ya mbalizi kijiji kinaitwa ISUTO, nunua kahawa wanauza donya moja 300 , debe 7000 mbichi na zilizokauka 10000 , nunua mashine ndogo ya kuzibangua then uza kwa 50 elfu mpka 60 kwa kampuni ya Olden iliyoko mkoa wa songwe kijiji cha Iwowo.
Ushauri tu.
TEKERI.
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Ndio Mkuu ulipigwa mnada 2850 kwa kilo moja..na tarehe 11 unapigwa mnada tenaApo kwenye ufuta tayari ishajulikana kama bei ya kuuza ni 2800 kwa kilo??
IDO, BASE OIL, CONDI SET, SLAGE NA OIL CHAFU huko ni pesa tupuHabari wakuu,
Naomba ushauri wa biashara nzuri kwa mtaji wa sh ml.15 mpaka 20.
Mara ya kwanza nilikuwa nafanya biashara ya bodaboda kwa mkataba, nanunua nawapa vijana baada ya miezi 12 inakuwa ya kwake, hii biashara kwangu ishakuwa changamoto sana.
Naombeni mawazo yenu mbali mbali kwa biashara ipi naweza kufanya maana mimi sio mzoefu ya biashara nyingi nilikuwa kwenye biashara moja tu, najua kwa ushauri wenu naweza kupata pakuanzia na kila changomoto kwa biashara husika.
Asanteni
Duu bei nzuri aisee ,,Ndio Mkuu ulipigwa mnada 2850 kwa kilo moja..na tarehe 11 unapigwa mnada tena
Sent using Jamii Forums mobile app