Wakati unatafakari biashara ya kufanya ya kudumu,, Njoo huku kilwa Nanjilinji huu ni msimu mavuno ya zao la ufuta, unanunua kwa wakulima kwa kg moja 1500, unauza kwenye mnada shs 2800 kwa kilo moja. Ndani week moja Unapata pesa yako...Ufuta hauna shida kama Korosho watu wanapiga pesa kimya kimya huku..! Au pia Fursa nyingine Nunua pikipiki ya Tairi itatu, (Maguta) unanunua mawili yenye Thamani ya Shs 12,500,00. Unakuja kupiga pesa huku, Unatoa mazao mashambani unaleta mjini.
Sent using
Jamii Forums mobile app