Biashara yenye faida kubwa kwa mtaji wa Tsh milioni 15-20

Biashara yenye faida kubwa kwa mtaji wa Tsh milioni 15-20

hii pesa ni nyingi sana kiasi kwamba kwa mwezi inaweza ingiza ml 3 kwa makadilio ya chini kama utaanzisha biasharq yq nafaka kwa kununua na kuuza kwa bei ya jumla! ninaifanya na ninaona matunda yake, mm ni mfanyakazi hvyo siend kununua mm ila kuna jamaa anafata mzgo analeta tunauza ni mwz wa pil sasa na nmeanza tayar bei ikiwa juu lkn nashukuru mungu sana
Fafanua vzr mkuu hyo biashara ya nafaka inakuwaje
 
Hii idea iko nje ya guidelines za uzi lakini ntachangia kidogo.
Hii unanunua bidhaa zilizorudishwa nawateja, mara nyingi zinakuwa mpya lakini ile packaging imefunguluwa, kwa hiyo amazon, ebay , etsy wanaziuza kama used products kwa bei ya chini kuanzia asilimia 10-40%.
Hizi zinapatikana kwa wingi marekani kwa sababu ecommerce volume ya huko ni kubwa.
Nafikiria changamoto kubwa ni usafirishaji kutoka marekani kuleta Africa vile vile bei za vitu vinavyouzwa marekani online vinakuwa ghali zaidi kulinganisha na nchi kama china au UAE, kwa hiyo utapata discount kwa american market, lakini ukivileta africa au UAE vitakuwa haviuziki.
Hapa UAE ipo amazon online warehouse wanauza hizo used products lakini bei haziko chini sana, uae used market unapata bei za chini zaidi kuliko za amazon warehouse.
Kwa ufupi hii idea ni nzuri sana kwa market ya marekani. Kwa market za Africa bora usogee UAE au nenda Alibaba.
Kwa maelezo zaidi nunua kitabu nimekiattach na huu uzi

Etsy unanunua nn? Bei za Etsy unazijua unazisikia. Wallet moja inauzwa laki mbili. Enhe huku utaiuza sh ngapi?[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Habari wakuu,

Naomba ushauri wa biashara nzuri kwa mtaji wa sh ml.15 mpaka 20.

Mara ya kwanza nilikuwa nafanya biashara ya bodaboda kwa mkataba, nanunua nawapa vijana baada ya miezi 12 inakuwa ya kwake, hii biashara kwangu ishakuwa changamoto sana.

Naombeni mawazo yenu mbali mbali kwa biashara ipi naweza kufanya maana mimi sio mzoefu ya biashara nyingi nilikuwa kwenye biashara moja tu, najua kwa ushauri wenu naweza kupata pakuanzia na kila changomoto kwa biashara husika.

Asanteni
Fungua duka la spea za pikipiki kwa mtaji huo itakulipa sn.Kama utahitaji ushauri zaidi kuhusu biashara hii nitakupa maana ndo biashara yangu
 
Habari wakuu,

Naomba ushauri wa biashara nzuri kwa mtaji wa sh ml.15 mpaka 20.

Mara ya kwanza nilikuwa nafanya biashara ya bodaboda kwa mkataba, nanunua nawapa vijana baada ya miezi 12 inakuwa ya kwake, hii biashara kwangu ishakuwa changamoto sana.

Naombeni mawazo yenu mbali mbali kwa biashara ipi naweza kufanya maana mimi sio mzoefu ya biashara nyingi nilikuwa kwenye biashara moja tu, najua kwa ushauri wenu naweza kupata pakuanzia na kila changomoto kwa biashara husika.

Asanteni
Kumbe hizo Boda nazo pasua kichwa
 
kama unaweza fungua ka microfinance kadogo ukopeshe mfano
100k kwa asilimia 30-40 inadependi na wewe mwenyewe hawa wanarejesha kila siku 4500 au 4000 inalipa (haikosi changamoto)

au
fungua wakala wa bank na mitandao (tafuta location nzuri huko ulipo unaweza ukapata hapa location mbili... upae vijana waamifu na uee makini unaweza weka na gesi hapo hapo

au
kama uko dar fungua duka la nafaka kama ni mkoani mkoa ulipo anza kusafirisha mchele to dar ila uwe makini nayo

fungua duka ka spea za pikipiki na vifaa vingine
au
kanunue bond UTT au BOT

au kaweke Fixed kwenye bank inayotoa commision nono
Safi sana
 
samahan boss .. nulikua nahitaji kufahamu zaidi kuhusu biashara ya kuuza compyuta pamoja na simu katika duka moja. ila nahitaji kupewa ata mwanga kuhusu iyo biashara katika vipengele vifuatavyo
1. kiasi cha mtaji kinachofaa kuanzia biashara hiyo
2. mkoa au eneo linalofaa kwa hiyo biasahara
3. Eneo la kupata mzigo.
na vitu vingine naomba unielekeze tu nduguydngu kama utakua naufaham kuhusu ilo ndugu
 
samahan boss .. nulikua nahitaji kufahamu zaidi kuhusu biashara ya kuuza compyuta pamoja na simu katika duka moja. ila nahitaji kupewa ata mwanga kuhusu iyo biashara katika vipengele vifuatavyo
1. kiasi cha mtaji kinachofaa kuanzia biashara hiyo
2. mkoa au eneo linalofaa kwa hiyo biasahara
3. Eneo la kupata mzigo.
na vitu vingine naomba unielekeze tu nduguydngu kama utakua naufaham kuhusu ilo ndugu
 
Back
Top Bottom