Hii idea iko nje ya guidelines za uzi lakini ntachangia kidogo.
Hii unanunua bidhaa zilizorudishwa nawateja, mara nyingi zinakuwa mpya lakini ile packaging imefunguluwa, kwa hiyo amazon, ebay , etsy wanaziuza kama used products kwa bei ya chini kuanzia asilimia 10-40%.
Hizi zinapatikana kwa wingi marekani kwa sababu ecommerce volume ya huko ni kubwa.
Nafikiria changamoto kubwa ni usafirishaji kutoka marekani kuleta Africa vile vile bei za vitu vinavyouzwa marekani online vinakuwa ghali zaidi kulinganisha na nchi kama china au UAE, kwa hiyo utapata discount kwa american market, lakini ukivileta africa au UAE vitakuwa haviuziki.
Hapa UAE ipo amazon online warehouse wanauza hizo used products lakini bei haziko chini sana, uae used market unapata bei za chini zaidi kuliko za amazon warehouse.
Kwa ufupi hii idea ni nzuri sana kwa market ya marekani. Kwa market za Africa bora usogee UAE au nenda Alibaba.
Kwa maelezo zaidi nunua kitabu nimekiattach na huu uzi