Fafanua vzr mkuu hyo biashara ya nafaka inakuwajehii pesa ni nyingi sana kiasi kwamba kwa mwezi inaweza ingiza ml 3 kwa makadilio ya chini kama utaanzisha biasharq yq nafaka kwa kununua na kuuza kwa bei ya jumla! ninaifanya na ninaona matunda yake, mm ni mfanyakazi hvyo siend kununua mm ila kuna jamaa anafata mzgo analeta tunauza ni mwz wa pil sasa na nmeanza tayar bei ikiwa juu lkn nashukuru mungu sana
😀😀😬😬Uwekezaji wa wenye akili ndogo
Hii idea iko nje ya guidelines za uzi lakini ntachangia kidogo.
Hii unanunua bidhaa zilizorudishwa nawateja, mara nyingi zinakuwa mpya lakini ile packaging imefunguluwa, kwa hiyo amazon, ebay , etsy wanaziuza kama used products kwa bei ya chini kuanzia asilimia 10-40%.
Hizi zinapatikana kwa wingi marekani kwa sababu ecommerce volume ya huko ni kubwa.
Nafikiria changamoto kubwa ni usafirishaji kutoka marekani kuleta Africa vile vile bei za vitu vinavyouzwa marekani online vinakuwa ghali zaidi kulinganisha na nchi kama china au UAE, kwa hiyo utapata discount kwa american market, lakini ukivileta africa au UAE vitakuwa haviuziki.
Hapa UAE ipo amazon online warehouse wanauza hizo used products lakini bei haziko chini sana, uae used market unapata bei za chini zaidi kuliko za amazon warehouse.
Kwa ufupi hii idea ni nzuri sana kwa market ya marekani. Kwa market za Africa bora usogee UAE au nenda Alibaba.
Kwa maelezo zaidi nunua kitabu nimekiattach na huu uzi
Fungua duka la spea za pikipiki kwa mtaji huo itakulipa sn.Kama utahitaji ushauri zaidi kuhusu biashara hii nitakupa maana ndo biashara yanguHabari wakuu,
Naomba ushauri wa biashara nzuri kwa mtaji wa sh ml.15 mpaka 20.
Mara ya kwanza nilikuwa nafanya biashara ya bodaboda kwa mkataba, nanunua nawapa vijana baada ya miezi 12 inakuwa ya kwake, hii biashara kwangu ishakuwa changamoto sana.
Naombeni mawazo yenu mbali mbali kwa biashara ipi naweza kufanya maana mimi sio mzoefu ya biashara nyingi nilikuwa kwenye biashara moja tu, najua kwa ushauri wenu naweza kupata pakuanzia na kila changomoto kwa biashara husika.
Asanteni
nifafanueje mkuuFafanua vzr mkuu hyo biashara ya nafaka inakuwaje
Asisahau kumuweka fundFungua duka la spea za pikipiki kwa mtaji huo itakulipa sn.Kama utahitaji ushauri zaidi kuhusu biashara hii nitakupa maana ndo biashara yangu
Kumbe hizo Boda nazo pasua kichwaHabari wakuu,
Naomba ushauri wa biashara nzuri kwa mtaji wa sh ml.15 mpaka 20.
Mara ya kwanza nilikuwa nafanya biashara ya bodaboda kwa mkataba, nanunua nawapa vijana baada ya miezi 12 inakuwa ya kwake, hii biashara kwangu ishakuwa changamoto sana.
Naombeni mawazo yenu mbali mbali kwa biashara ipi naweza kufanya maana mimi sio mzoefu ya biashara nyingi nilikuwa kwenye biashara moja tu, najua kwa ushauri wenu naweza kupata pakuanzia na kila changomoto kwa biashara husika.
Asanteni
Safi sanakama unaweza fungua ka microfinance kadogo ukopeshe mfano
100k kwa asilimia 30-40 inadependi na wewe mwenyewe hawa wanarejesha kila siku 4500 au 4000 inalipa (haikosi changamoto)
au
fungua wakala wa bank na mitandao (tafuta location nzuri huko ulipo unaweza ukapata hapa location mbili... upae vijana waamifu na uee makini unaweza weka na gesi hapo hapo
au
kama uko dar fungua duka la nafaka kama ni mkoani mkoa ulipo anza kusafirisha mchele to dar ila uwe makini nayo
fungua duka ka spea za pikipiki na vifaa vingine
au
kanunue bond UTT au BOT
au kaweke Fixed kwenye bank inayotoa commision nono
Mkuu naomba nije pm kwa ajili ya ushauri[emoji120]Fungua duka la spea za pikipiki kwa mtaji huo itakulipa sn.Kama utahitaji ushauri zaidi kuhusu biashara hii nitakupa maana ndo biashara yangu
Fungua duka la spea za pikipiki kwa mtaji huo itakulipa sn.Kama utahitaji ushauri zaidi kuhusu biashara hii nitakupa maana ndo biashara yangu