Biashara za mitandao (kuunganishana) zinavyowaliza first year vyuoni

[emoji23][emoji23][emoji23]kwamba huwa upo upo tu hapa town ila yeye ndiye mjanja zaidi[emoji3][emoji3]sijui huwa wanafikiriaje,aliye nipeleka nimemtangulia hapa mjini miaka saba yeye kaja mwaja juzi.

nikahisi kabisa huyu amenidharau[emoji2]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] hii ni zaidi ya dharau kwamba yeye katoka bush juzi kawa mjanja zaidi yako.
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] hii ni zaidi ya dharau kwamba yeye katoka bush juzi kawa mjanja zaidi yako.
Kun dogo first year alijiunga n alliance, ada yak lki tano akpelka uko mwsho wa siku akabaki analia tu na mda wa ue umefika[emoji16]
 
kuna mdada nasoma nae yeye alijiunga na wengne nazan wanaitwa travexers kiinglio chake n km 25elfu ,hawa wenyewe kila wiki unacheza kwa huweka hela unavyocheza mara nyng na kuwaongeza member wengne ndo kiwango chako kinapanda, bahati nzuri kwangu nikawa sina hela ya kujiunga...baada ya muda akaweka km lak na25 hv mala admn wagroup lao la whtsapp akalifnga wakpga simu hapatkan hela zikawa zmepigwa hvyo
 
Watu wanapesa za kuchezea...

Na hao wote wanao fanya mambo ya ajabu ajabu sidhani kama hizo fedha wamezitolea jasho. Mfano hao wa vyuoni kwakuwa ni pesa za kupewa tu hawaoni uchungu kuzitoa.
 
Kun dogo first year alijiunga n alliance, ada yak lki tano akpelka uko mwsho wa siku akabaki analia tu na mda wa ue umefika[emoji16]
Hyo kawaida sana chuo mm mpaka kuna manzi tuliachana.
Kachukua bum lote kapeleka global halafu hata hela ya kula hana.
Nikaona siwezi kua na dem mjinga kiasi hichi.
 
Usi
K
a
 
Usiche
Huyo uncle wako keshadanganywa anataka kuwaingiza mkenge wazazi wake, wazuie haraka sana hao jamaa ni wezi me mwenyewe nineshawai pigwa na hao wezi wa mtandaoni, tena narudia tena waambie huo ni utapeli hivyo vitu vinavyoonyeshwa kama ni mafanikio ya watu waliojiunga hiyo kitu ni uongo mtupu wanataka watu waingie king wawapige
 
Kuna upuuzi mwingine unaitwa worldventures. Halafu aliyenijulisha kuhusu worldventures ni mzee mmoja wa kanisa
Moyoni nkawa najisemea kweli kanisa limeingiliwa na matapeli
 
Kuna demu alijidai rafiki yangu kweli nilikuwa 3rd year yeye festiyia akanambia kuna kitu nataka nikwambie twende town. Nilifikiri naenda kupewa ofa kumdadisi akanambia kuna ofisi tutaenda hatutokaa sana nikagundua hii ni network marketing.

Nikamwambia ntakuja geto kwako unipe maelezo kwa kirefu akakubali kufika kanipokea vizuri nikapiga menu safi kabisa, akanielezea nikajidai nimemuelewa akafurahi sana na papuchi nikapiga. Siku ya kwenda ikafika kanitafuta tuelekee nikamjibu sina pesa za mchezo ananichukia mpaka leo😂
 
Nashukuru sana mkuu. Ni kwamba shemeji yangu amekataa kumpa pesa huyo mpwa wangu baada ya mimi kupata maoni ya watu humu na kumueleza

Mtoto bado anasisitiza kua ni biashara genuine kabisa na imekua kama amelishwa kitu gani sijui maana asili yake ni mpole lakini amekua stubborn sana akitaka wazazi wake wajiunge!

Bahati mbaya dada yangu kama anamuonea huruma hivi mtoto eti labda wajaribu kuingia nashukuru lakini shemeji kakataa na mimi namuunga mkono
 
Hyo kawaida sana chuo mm mpaka kuna manzi tuliachana.
Kachukua bum lote kapeleka global halafu hata hela ya kula hana.
Nikaona siwezi kua na dem mjinga kiasi hichi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
D
Dah mkuu! Ulitumia mbinu za kijasusi kabisa hizo🤣🤣🤣
 
Umesahau kusema ule ukichaa unaowapa watu baada ya kugundua kwamba sio kazi rahisi kuwa millionea ya kwamba ndio ukichaa unaowadrive kutaka kuunga wengine ili wawe vichaa kama wao chain ya vichaa inaendelea tu
 
Umesahau kusema ule ukichaa unaowapa watu baada ya kugundua kwamba sio kazi rahisi kuwa millionea ya kwamba ndio ukichaa unaowadrive kutaka kuunga wengine ili wawe vichaa kama wao chain ya vichaa inaendelea tu
Sio ukichaa mkuu wanakuwa motivated to the highest point sema hata umaskini ni ukichaa trust me
 
Qnet ni mwendo wa kupigwa tu, na ukipigwa inabidi ukomae na wewe kutafuta wengine wa kuwapiga.

Good morning!!!!
Haha haha haha jamaa alinikaribisha kwenye ofisi zao karibu na Bodi ya Mikopo pale Mwenge...jioni saa kumi nikapokelewa na Good Morning! Kuanzia pale tu hata kabla hawajaanza kuongea na kujitambulisha nilijua ni utapeli....

Cha pili baada ya somo la namna wanavyoendesha business zao hawakutaka kabisa kusema bei za bidhaa zao...

Good Morning!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…