Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apo mtoto kashajiunga kazi itakua kupata watu wengine kuwashawish ili na yy apate iyo commission ya usd 200, kazi ni kupata hao Watu watakao weza kutoa izo ml 5Asante sana mkuu nitafanya hivyo. Dakika chache zilizopita sister katoka kunipigia, kumbe kuna pesa 4.5m walishalipa kwa ajili ya degree course(undergraduate) ya online inayoendeshwa na na University moja inaitwa Quest University ipo Malaysia( ambayo ni Education Institution ya iliyo chini ya hao Qnet). Mtoto wa sister yupo UD mwaka wa kwanza sasa anataka kusoma online degree nyingine through hao Qnet
Kanitumia risiti ya hela waliyolipa bank naona kama ni malipo ya manunuzi ya commodities yaani hata haieleweki. Sasa mtoto ndio anawashinikiza wazazi wajiunge kununua products ili eti watengeneze pesa!
Ha haaaaaMimi nilikoswakoswa, jamaa yangu aliniambia ukiweka M10 utapata faida kubwa na kwenye maisha yako hutonisahau. Lakn hadi leo yeye ni bodaboda. Huwa najiuluza nisingemsahau kwa hasara aliyonipa. Juz juz anakuja nimuazime kilo 1.
Ukiwa na tamaa ya pesa ,unaweza ukajiunga ,Ila kazi ipo hapo kwenye kutafuta hao watu wawili watakao toa hizo milioni 5 kila mmojaHalafu wanaongea sana,
Achana nazo kama unapesa bora ukasaidie ndugu zako au wazaz wako upate baraka.Jaman mm nimebakia tu kujiunga na ALLINCE IN MOTION GLOBAL na anaenshawishi ni class mate wangu nliegraduate nae. Ananambia iko poa sana na nimehudhuria semina na mafunzo yao kibao na bidhaa zao nazijua A - Z asa nlikosa pesa tu mana ada yao ni laki 5. Jaman mpaka saiv anaendelea kunshawishi ila ni pesa tu sikuwa nazo, jaman hebu anaefaham kidogo pia nae aniokoe hapa nsitumbukie.
Nilipigwa na Deci kipindi hicho niko mwaka wa pili sitasahau. Halafu mbaya Zaidi nilikosa hadi nauli ya kunirudisha mkoa. Hadi leo ninazo tiketi tano za desi nilizolipia elfu hamsini CRDB posta.Habari, karibu ndugu msomaji Leo tutaangazia kwa uchache namna biashara za kuunganishana ( biashara za mitandaoni kama wanavyoziita wao)
Hizi sio zile zakuuza bidhaa online kama wafanyavyo Al-Baba, Amazon, E-bay au jumia Bali hizi nizamifumo ya kuunganishana na zitakuwa pyramid in shape yani nikijiunga Mimi nakushawishi na wewe unajiunga chini yangu.
Kwa baadhi ya nchi ni haziruhusiwi na niharamu, kama ilivyo kwa michezo ya kubahatisha, na hata matangazo yake hayaruhusiwi kutangazwa katika vitengo vya matangazo ya mitandao mikubwa kama Facebook ads na google AdWords.
Unachotakiwa kufanya nikujiunga na kisha kutafuta watu wakujiunga chini yako na Mara nyingi kiasi cha kujiunga huwa nikikubwa hadi kufikia 600,000+
Ukishajiunga unaanza kuhangaika kutafuta watu wakuwaunganisha na kuwadanganya kama ulivyo danganganywa. Simaanishi kuwa ni utapeli Bali ni mfumo mgumu na unaoumiza na unaendeshwa kwa uongo yani nilazima udanganye ili upate wafuasi mfano " nimejiunga Nina wiki mbili maisha yangu yamebadilika kabisa na hapo umevaa suti yakuazima na hujui Utakuta nini maana siwashachomoka na na Laki zako haha!
Sasa hawa jamaa wamejikita sana vyuoni na kuwasubiri wale mwaka wakwanza ili kuwaingiza mkenge na kuwaacha wakilia.
Ushawishi mkubwa hutumika kuwadanganya Bila kueleza wazi ugumu wa mfumo.
Watakwambia baada ya mwezi utanunua gari. Haha!
Na mengineyo mengi kukutamanisha. Ukisha jiunga sasa ndio utaanza kuonja joto yajiwe.
Wito kwa watanzania
Anayekushawishi kujiunga na kitu chochote mwambie akwambie madhara yake tuu faida utazipata kwa kutafuta taarifa zingine wewe mwenyewe.
Namshukuru sana padri simplis wa france, maana Mimi nilishawishiwa kidogo niingie mkenge lakini Huyu father alinieleza hii ni black market na anayefanikiwa ni yule wa mwanzo( jaribu kuchora pyramid utaelewa nachoeleza)
Wito kwa serikali.
Hizi biashara zinapaswa kuundiwa bodi ya udhibiti kama ilivyo betting Tena pengine yenye nguvu zaidi
Onyo Kwako usisikie maneno kuwa " Nina project nahitaji watu 20 wanafanya nao kazi hahaha! Au kuna project sijui ikishirikiana na nmb
Fanya real business utafanikiwa
Kwaheri
Share ujumbe kwa watu wako wanguvu.
Post yako imenipa mwanaga na kunifungua macho mkuu. Nimepata nondo za kwenda kuongea na shemeji, sister na huyo binti mpwa wangu ili kum discourage aachane kabisa na hiyo habari aweke nguvu kwenye masomo yake, shukran sana mkuu1. NI WAONGO SANA.
2. KAMWE HAWAKUELEZI UHALISIA WA BIASHARA.
3. QNET SIO BIASHARA YA MTANDAO (ONLINE BUSINESS) KAMA WANAVYODAI. NI BIASHARA YA KUTEMBEA KWA MIGUU MTAA KWA MTAA UKIPIGWA NA VUMBI HUKU UKITAFUTA WATU WA KUJIUNGA KWENYE BIASHARA.
4. MATAJIRI WANAOWATOLEA MFANO MARA ZOTE WAMEFANIKIWA KWA KUPITIA NJIA NYINGINE NA KAMWE SIO QNET.NI KWELI KUNA ONLINE BUSINESS LAKINI SIO QNET. NI KWELI NI MATAJIRI WAKUBWA SANA DUNIANI LAKINI HAWAKUFANIKIWA KUPITIA QNET.
5. HUWEZI UKAKUTANA NA MTU WA QNET AKAKUPA HATA SHILINGI 1000 AU AKAKUSAIDIA FEDHA KIASI FULANI AU HATA KUKUNULIA SODA. HAWANA HELA NA KAMA WANAZO ZIMETOKANA NA SHUGHULI NYINGINE.
7. WENGI WAO WANADAI WALIACHA KAZI NZURI SANA NA KUJIUNGA NA QNEI. SIO KWELI HATA KIDOGO KWANI WENGI WALIACHISHWA KAZI AU MKATABA KUISHA AU KUPATA CHANGAMOTO NYINGINE KAZINI.
USIDANYANYIKE UKAACHA KAZI YAKO HATA SIKU MOJA.
9. WAKIKUITA KWENYE PRESENTATION ZAO NENDA WASIKILIZEA LAKINI WAULIZE MASWALI YA AKILI( LOGICAL QUESTIONS)
9. OFISI ZAO HATA SIKU MOJA HAZINA BANGO AU ALAMA YEYOTE, HAZINA ANUANI WALA NAMBA ZA SIMU.
10. QNET NDIYO KAMPUNI INAYOOGOZA KWA KASHFA ZA UTAPELI DUNIANI,M UHALIFU KAMA TUHUMA ZA MAUAJI, UTEKAJI NYARA N.K. BAADHI YA MAAFISA WAMEKAMATWA, KUSHTAKIWA NA KUFUNGWA.
11. QNET IMEPIGWA MARUFUKU NCHI NYINGI DUNIANI
Hii ishu mwishowe ni kujenga uadui na hao jamaa endapo wakikupiga sound ukachomoa,Hizi mambo zilinikosanisha na watu..
Mimi niliungwa nikatoa pesa yangu. Na mimi nikatafuta wanyonge wangu watano nikawaunga wakanipa pesa.
Sasa tatizo likaja pale kwa wale watano niliowaunga wao wakakosa watu..
Baada ya muda wakaona mimi ndo tapeli nimewapiga wakaanza kunidai..
Mimi mwenyewe siwezi kuwapa pesa yao sababu na mimi niliungwa nikatoa pesa
Inamaana ningelipa mimi ndio ningekula loss.
Basi nikawa mbuzi tu sikuwalipa.. waliniandama kinoma lakini mwisho wa siku wakabaki kununa tu na hela nikaitafuna.
Baada ya hapo nikisikiaga mambo ya biashara za hivyo huwa hata siwasikilizi na wakikomaa nawatukana kabisa
You are right kabisa mkuu, si vema kumuacha mwenzio akaingia kwenye shimo eti kwa sababu na wewe uliwahi kutumbukia humoNaamini humu wapo member ambao wapo kwenye hizo biashara, lakini hatuoni positive comments, zaidi ya Negative comments kuhusu hizo biashara.
Mwenye macho haambiwi tazama, sisi tulio salimika tuwe vinara kuwafungua macho ambao hawana elimu yoyote kuhusu hizi biashara za kihuni.
Alietoa pesa zake ni ngumu kukiri mbele yako wewe, maana tayari kwa muda huo wewe ni fursa kwake kupoza machungu ya pesa aliyo toa.You are right kabisa mkuu, si vema kumuacha mwenzio akaingia kwenye shimo eti kwa sababu na wewe uliwahi kutumbukia humo
Ni vizuri kupeana taarifa kama hizi kwa wenye experience maana inavyoonekana watu waliowahi kujiunga kwenye network marketing kama hizi na wakatapeliwa huwa hawataki kabisa kuzungumzia mambo ya hizo biashara positively or negatively, wananyamaza utafikiri wamelishwa kiapo cha damu wasiseme
Hawa ni alliance ukielewa hii video.You are right kabisa mkuu, si vema kumuacha mwenzio akaingia kwenye shimo eti kwa sababu na wewe uliwahi kutumbukia humo
Ni vizuri kupeana taarifa kama hizi kwa wenye experience maana inavyoonekana watu waliowahi kujiunga kwenye network marketing kama hizi na wakatapeliwa huwa hawataki kabisa kuzungumzia mambo ya hizo biashara positively or negatively, wananyamaza utafikiri wamelishwa kiapo cha damu wasiseme
Habari, karibu ndugu msomaji Leo tutaangazia kwa uchache namna biashara za kuunganishana ( biashara za mitandaoni kama wanavyoziita wao)
Hizi sio zile zakuuza bidhaa online kama wafanyavyo Al-Baba, Amazon, E-bay au jumia Bali hizi nizamifumo ya kuunganishana na zitakuwa pyramid in shape yani nikijiunga Mimi nakushawishi na wewe unajiunga chini yangu.
Kwa baadhi ya nchi ni haziruhusiwi na niharamu, kama ilivyo kwa michezo ya kubahatisha, na hata matangazo yake hayaruhusiwi kutangazwa katika vitengo vya matangazo ya mitandao mikubwa kama Facebook ads na google AdWords.
Unachotakiwa kufanya nikujiunga na kisha kutafuta watu wakujiunga chini yako na Mara nyingi kiasi cha kujiunga huwa nikikubwa hadi kufikia 600,000+
Ukishajiunga unaanza kuhangaika kutafuta watu wakuwaunganisha na kuwadanganya kama ulivyo danganganywa. Simaanishi kuwa ni utapeli Bali ni mfumo mgumu na unaoumiza na unaendeshwa kwa uongo yani nilazima udanganye ili upate wafuasi mfano " nimejiunga Nina wiki mbili maisha yangu yamebadilika kabisa na hapo umevaa suti yakuazima na hujui Utakuta nini maana siwashachomoka na na Laki zako haha!
Sasa hawa jamaa wamejikita sana vyuoni na kuwasubiri wale mwaka wakwanza ili kuwaingiza mkenge na kuwaacha wakilia.
Ushawishi mkubwa hutumika kuwadanganya Bila kueleza wazi ugumu wa mfumo.
Watakwambia baada ya mwezi utanunua gari. Haha!
Na mengineyo mengi kukutamanisha. Ukisha jiunga sasa ndio utaanza kuonja joto yajiwe.
Wito kwa watanzania
Anayekushawishi kujiunga na kitu chochote mwambie akwambie madhara yake tuu faida utazipata kwa kutafuta taarifa zingine wewe mwenyewe.
Namshukuru sana padri simplis wa france, maana Mimi nilishawishiwa kidogo niingie mkenge lakini Huyu father alinieleza hii ni black market na anayefanikiwa ni yule wa mwanzo( jaribu kuchora pyramid utaelewa nachoeleza)
Wito kwa serikali.
Hizi biashara zinapaswa kuundiwa bodi ya udhibiti kama ilivyo betting Tena pengine yenye nguvu zaidi
Onyo Kwako usisikie maneno kuwa " Nina project nahitaji watu 20 wanafanya nao kazi hahaha! Au kuna project sijui ikishirikiana na nmb
Fanya real business utafanikiwa
Kwaheri
Share ujumbe kwa watu wako wanguvu.
Forever living
Alliance in Motion
Q net nk
Nikisikia tu habari zao, maongezi yanaishia hapo, na walio ingia wana shawishi balaaa ukiwa na kichwa chepesi na tamaa unaingia mkenge.
ng'ombe haziishi pamoja na kuchinjwa zinazaliwa zingine.Naamini humu wapo member ambao wapo kwenye hizo biashara, lakini hatuoni positive comments, zaidi ya Negative comments kuhusu hizo biashara.
Mwenye macho haambiwi tazama, sisi tulio salimika tuwe vinara kuwafungua macho ambao hawana elimu yoyote kuhusu hizi biashara za kihuni.
[emoji23][emoji23][emoji23]kwamba huwa upo upo tu hapa town ila yeye ndiye mjanja zaidi[emoji3][emoji3]sijui huwa wanafikiriaje,aliye nipeleka nimemtangulia hapa mjini miaka saba yeye kaja mwaja juzi.Kweli kabisa ndugu, hawa madogo wanatakiwa waelimishwe kuhusu hizo business ni bora hizo pesa wawe wananunua hata assets tu. Sasa kuna dogo yy ni first year amejiunga na hizo Network marketing alafu anataka kuniokota na mm ambae nimeshamaliza 4th year kabsa chuoni.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]