Biashara za wanawake kujiuza zimehamia kwenye Saloon za kiume

Biashara za wanawake kujiuza zimehamia kwenye Saloon za kiume

Sio saluni zote za kiume, kuna saluni zingine wadada wa scrub hawatoi hata namba
 
Sio kwamba napinga supposition yako..., ila technically sample ya hii barbershop moja haimaanishi barbershop zote /nyingi za kiume zinafanya hii kitu...., Ushauri; Ongeza utafiti zaidi ili kupata sample zitakazoleta uhakika wa conclusion....
Noted
 
Kuna siku nimeenda kunyoa, tulivyomaliza nikaambiwa niingie kuosha, dada akaanza tunafanyaje? Nikamwambia tunaosha nywele, akasema, scrub, dawa ya mba sijui steam takataka gani huku ananishika shika mgongoni na kichwani....nikamwambia chukua kitamaa kiloweke, kamua nifute kichwani. Hivyo tu!

Nikalipa na kumwachia elfu mbili (2,000/-) nikaondoka zangu.

Sio kila anaeenda kunyoa anahitaji huduma za ziada.
 
We ungekuwa mwanamziki ungekuwa unaimba Hip hop una element za ugumu
Kuna siku nimeenda kunyoa, tulivyomaliza nikaambiwa niingie kuosha, dada akaanza tunafanyaje? Nikamwambia tunaosha nywele, akasema, scrub, dawa ya mba sijui steam takataka gani huku ananishika shika mgongoni na kichwani....nikamwambia chukua kitamaa kiloweke, kamua nifute kichwani. Hivyo tu!

Nikalipa na kumwachia elfu mbili (2,000/-) nikaondoka zangu.

Sio kila anaeenda kunyoa anahitaji huduma za ziada.
 
Wanasaikolojia ya kusoma status ya mtu , hoe hae namba upewe ya nini
😀😀😀Mwanaume mwenye hela hata kwenye picha anaokena tu anazo...anakua na confindence balaa...hata akienda saloon hata akute Taulo yeye atalikalia...hajali...asiyenazo atalinyanyua au alipakate kabisa au akalianike nje kabisa!..
Haulizi Kuna foleni yeye anakuambia nataka kunyoa
 
Kuna siku nimeenda kunyoa, tulivyomaliza nikaambiwa niingie kuosha, dada akaanza tunafanyaje? Nikamwambia tunaosha nywele, akasema, scrub, dawa ya mba sijui steam takataka gani huku ananishika shika mgongoni na kichwani....nikamwambia chukua kitamaa kiloweke, kamua nifute kichwani. Hivyo tu!...
Wapuuzi kuna siku nilitaka kumlamba binti mabanzi na hiyo sehemu marufuku kwenda tena!
 
Alafu wana kutuliza kwa macho ana kushika kichwa uku mna angaliana kupitia kioo anazungusha jicho 360° lina chungulia adi kwenye wallet na msg kwenye simu!

Ana gusa sikio kidogo kuku pima acceleration ya mapigo ya abdala kichwa wazi ipo je? Ole wako utikise mguu ana juwa network ina hitaji booster kidogo ifike 4G[SUP]H+[/SUP] apo jiandae kufunguliwa Kifungo cha kwanza cha shati na kusifiwa kidogo uku umebanwa na macho angle zote kama ya kinnyonga
images(3).png

Ukisikia vua shati litachafuka juwa umeshaingizwa kwenye 18 mamaeee Mungu ana waona 😂
 
Ila mnapenda wenyewe kufanyiwa mauchafu hayo na kunyofolewa hela zenu...Kuna mkongo alikuaga Hapo maeda enzi za jk...alikua anajua Sana ishu za nywele kusuka na kushona weaving balaa aisee. Basi kumbe alikua "baharia". .anakusuka anakukalisha chini..kichwa Cha msukwaji anakibananisha kwenye zip Yale( wasukwaji mtaelewa position hii) yaan unakua unaona mbona jamaa anasuka taratibu then anahema balaa anatoa kbs miguno..hapo anakusifia oh una joto Sana we kichwani.mara una mguu mzuri...lahaulaa hapo hapo unaskia abdala kichwa wazi kaamka...ghaflq unaskia kuloa shingoni.

Sasa nikaja gundua anapiga bao shingoni kwa wanawake..akimaliza kukusuka anakuambia Kuna massage for free...ukizingatia maisha ya chuo then unaambiwa kitu free uniazama room anakumassage kama ndo mnajiandaa kusex..yaan yule mkongo naskia alizalisha wake za watu Kama 7!.. ukiona hapafai wewe usirudi Tena..Mara ya mwisho nimeenda saloom kwake ndo nikakuta ugomv wanawake wanachambana kisa mkongo😆😆😆!
 
Back
Top Bottom