fundi25
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 10,378
- 11,537
Labda nikushughulikie aisee me Dume la mbegu!Vizuri Sana aisee. VIP na ww unataka kumchek akushughulikie?
Nilitaka tu kujuwa mapito mnayo pitiaga je mnaingiaga kwenye 18 za wasugua miguu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda nikushughulikie aisee me Dume la mbegu!Vizuri Sana aisee. VIP na ww unataka kumchek akushughulikie?
Heeesasambonamshakunakukamamwanamke!tafutakaziyakufanyaLabda nikushughulikie aisee me Dume la mbegu!
Hahahaha nilichotaka kukijuwa nimekijuwa kwa heri ya kuonana nilikuwa kwenye researchHeeesasambonamshakunakukamamwanamke!tafutakaziyakufanya
Leo ndiyo umejua hili? Mbona haya mambo yako muda mrefu sana.... zaidi ya miaka kumi?Juzi Kati baada ya kumaliza mizunguko yangu ya kazi nikaona nitafute Barbershop yakisasa inayoeleweka nifanye usafi wa ngozi.
Mjini Kati nikaona Barbershop matata Full Brand ikabidi nizame ndani nikakutana na vinyozi tukala story mbili tatu baada ya hapo akatokea Dada akanikaribisha katika chumba cha ndani,...
Stop snitching.Tabata bima opposite na St Mary's
Pale panaitwa Camp we sena msaada Camp unashushwa mlangoni kwny saluni𝐊𝐦 𝐮𝐧𝐚𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐤𝐢𝐦𝐚𝐧𝐠𝐚 𝐢𝐩𝐨 𝐤𝐮𝐬𝐡𝐨𝐭𝐨?
Research uwe wewe!Hahahaha nilichotaka kukijuwa nimekijuwa kwa heri ya kuonana nilikuwa kwenye research
Umesha maliza tuliza mzuka mamaResearch uwe wewe!
We inaonekana ushafika pale𝐊𝐦 𝐮𝐧𝐚𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐤𝐢𝐦𝐚𝐧𝐠𝐚 𝐢𝐩𝐨 𝐤𝐮𝐬𝐡𝐨𝐭𝐨?
Kabisa ..hakuna mbadala wa hela...hela ni hela tuTutafute tu hela
Akiyamung mmekutana!Vizuri Sana aisee. VIP na ww unataka kumchek akushughulikie?
Tbr mtaa gani, maana huwa nnaendaga.Nimekutana na hii kadhia Mwaka 2018 Tabora mjini baada ya kutafuta barbershop kali ya kisasa nijiweke sawa.Nilitoka nduki maana mfukon nilikua na hela ya kunyolea tu.[emoji16][emoji16]
Ameniboa balaa..
Tabora mitaa siijui sana nahuwa nafika huko mara chache.Ninapopajua sana ni kule wanapaita Zebra maarufu kwa kitimoto maana huwa sikosi kila nikitia maguu pande hizo.
😄😄😄Heeesasambonamshakunakukamamwanamke!tafutakaziyakufanya