Biashara za wanawake kujiuza zimehamia kwenye Saloon za kiume

Tabata bima opposite na St Mary's
Ni nyingi tu kuna moja naijua ipo Kariakoo Una nyolewa chini halafu unaambiwa panda juu kuna ngazi huko ndio unaenda kuosha kichwa na huduma za scrubbing.
Unaweza kabisa ukapiga mashine hata kichwa usioshe wala scrubbing usifanye .
Kwa buku tano tu unapiga kimoja cha fasta
 

Weka location vizuri, kariakoo kubwa
 
Sasa muoshaji moja apigwe mashine na wateja wenye nia hiyo atawamudu wote?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…