Bibi harusi atoroka saloon na kwenda kumuaga mpenziwe wa zamani kwa mahaba

si vizuri kwa sasa kuyaweka wazi sana kabla mume hajafanya maamuzi kwani taarifa ulizouliza zikisambaa sana mapema na bwana harusi akijua hilo litampa shida kisaikolojia.

Ndio maana unaambiwa hii ni hadithi zaidi. Ina maana hadi sasa ndoa haijafungwa na bibi harusi bado kavaa shela?
Lazima kuna uamizi ambao hadi sasa umeshafanyika.
Kingine, ina maana hadi bibi harusi anavaa shela kuna watu wengi sana hapo, walimwachaje akaondoka?
JF is the home of great Thinkers and not Global publishers.
 


Kuna kitu kinanishawishi kuona kwamba hii ni story na hakuna uhalisia hapa....
kwenye blue inaonyesha kwamba bibi harusi alitenda tukio siku ya harusi... ukilink na hapo kwa red unatuchanganya best....
 
kama ni kweli huyo bi. harusi alienda gest kufanya mapenzi na mpenziwe wa zamani na imethibitika, mimi namshauri jamaa kwa kuwa hawajafunga ndoa amuache huyo bi harusi ili amruhusu aende akaendelee na mambo yake. Usijaribu kuoa mtu amabye hakupendi, utajuta ndugu yangu,. Nadhani kama haya ni kweli ajue Mungu anampenda na ameamua kumuonesha? Je jamaa atajuaje kama hata ujauzito kama anao ni wake na sio wa mpenzi wake wa zamani?

mm napita
 
haya ndio matatizo ya watu kufanya uasherati na watu wengi hata kabla ya kuoana, inamfany kuona akiolewa atapoteza,m hataweza kufanya uovu,

Ndugu kuja kwa ajili ya harusi sio tatizo hata kama ndo ingekuwa siku yenyewe ya harusi au wako kanisani anaruhusiwa kumwacha mara moja

gd day
 

Nakubaliana na maoni yako dadangu. Haiwezekani na haiingii akilini bii harusi atoke saloon na shela lake aende gesti mchana kweupe bila wonga akafanye ufusika. Mleta mada kaleta habari yenye mwelekeo wa kubuni zaidi kuliko uhalisia, yaani ni ya uongo mtupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…