Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,353
- 1,234
si vizuri kwa sasa kuyaweka wazi sana kabla mume hajafanya maamuzi kwani taarifa ulizouliza zikisambaa sana mapema na bwana harusi akijua hilo litampa shida kisaikolojia.
Ndio maana unaambiwa hii ni hadithi zaidi. Ina maana hadi sasa ndoa haijafungwa na bibi harusi bado kavaa shela?
Lazima kuna uamizi ambao hadi sasa umeshafanyika.
Kingine, ina maana hadi bibi harusi anavaa shela kuna watu wengi sana hapo, walimwachaje akaondoka?
JF is the home of great Thinkers and not Global publishers.