Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Ni busara kusoma na kuyaacha kama yalivyo. Baada ya muda watu watatulia na kuelewa nini kinaendelea. Unajua kupona maumivu kuna hatua miongoni mwao ni kujuta, hasira ya kwanini imekuwa vile na baadae watu hutulia.Hata mwenye hasira avumilie sio kuwaona waliochagua CCM au watu wa mkoa Fulani wajinga hivi hiyo ni sawa? Kwa ujanja gani waliokuwa nao.
sisi dodoma tuliichinja ukawa kisawasawa ni watu wemye upeo wa hali ya juu sana
Dodoma mko juu.
yani najiuliza na sipati jibu mgogo nae anajitambulisha kuwa ni mgogo?!
Nyie ndy ombaomba #1 nyambav zenu!nyie mm huwa nawachapa makof tuu
huyo mjukuu wako amekosa ELIMU kama wewe ulivyoikosa
"mwambie asiteme big G kwa karanga za kuonjeshwa"
sisi Emu ni ile ile ndio maana hata Mkurugenzi wa Muhimbili baada ya kuboronga amehamishiwa Wizarani
Ushoga mtup
Tulianza na dhanna ya kujivua gamba waliotuelewa wamejivua, sasa ni ukurasa mwingine, asiejivua na asiyeweza kufanya kazi tutakavyo tunamvua kwa nguvu.
Jamani naomba tumuhurumie huyu mzee inasema hasara alioingia katika kuusaka uraisi tangu 2005 hadi 2015 ni takriban Bil 200, ameuza ng`ombe zaidi ya 2000 na baadhi ya Vijanja vyake, ni hasara kubwa mno! anaugulia mengi mwenzenu
Kwani lowasa alikua rais lini na hatimaye u conclude Magufuli ni bora kuliko lowasa?