"Bibi Nisamehe...Najuta"

"Bibi Nisamehe...Najuta"

Daaah wagalatia ni wachapa kazi kinoma hawa chez bao
 
Wengi wnajuta. Mi nina rafiki zangu niliwaondoa mpaka fb, wananiomba msamaha. Ila mimi sijawasamehe maana walinitukana sana, wengine mpaka kusema eti nina mapepo. Ila mi nachoona mzee mamvi alitumia nguvu za giza. Maana kuna watu kama akina baergu, lisu na msigwa na akina lema ambao nilikuwa nawaamini ni wapiganaji ila wapi bwana, mamvi aliwashika akili wakawa wanafurahi.

Nimechekaje, hiyo sentensi ya mwisho.
 
Jamaa zangu wanajilaumu kwa nini walipoteza kura kumpa Lowassa.
 
wengi waliokuwa wanamshabikia lowasa walikuwa wanafata mkumbo leo nimekutana na bodaboda anasema 2020 hataki mabadiliko yeye magufuli tu lowasa alikuwa anafanya usanii wa kula kwa mama nitilie na kupanda daladala mbona kampeni imeisha harudii tena
 
Mjukuu ana hekima sana. Mwambie asirudie tena kosa la kuikataa CCM.
 
Mdini Mkubwa wewe. Sasa M-galatia unamtetea. Yes, Mla Nguruwe anatawala Tanzania....

Ohhhh, Samahani.... anaitwa Mbuzi wa Mkatoliki.

Huko hunipeleki kwa sasa. Nnaiheshimu sheria ya mtandao ya kutoeneza chuki za kidini kama ufanyavyo.

Hatum-judge mtu kwa dini yake tunam-judge mtu kwa vitendo vyake.
 
wanakera mno watu wanaoingiza mambo ya udini wakat mada inahusu mambo mengine.kila mtu asali kivyake asa mambo ya ugalatia yanatokea wap aaaaaggh stupid
 
Tujenge nchi jamani. Uchaguzi umepita. Haya majeraha inabidi tuyaache yapone. Watu wanahasira na wengine wana furaha. Si vyema kumshambulia mtu mwenye huzuni. Kama unafuraha, shereheka kimya kimya. Tujenge nchi na tulete hoja zenye kutuunganisha.

Hata mwenye hasira avumilie sio kuwaona waliochagua CCM au watu wa mkoa Fulani wajinga hivi hiyo ni sawa? Kwa ujanja gani waliokuwa nao.
 
Mdini Mkubwa wewe. Sasa M-galatia unamtetea. Yes, Mla Nguruwe anatawala Tanzania....

Ohhhh, Samahani.... anaitwa Mbuzi wa Mkatoliki.

quote_icon.png
By FaizaFoxy
Huko hunipeleki kwa sasa. Nnaiheshimu sheria ya mtandao ya kutoeneza chuki za kidini kama ufanyavyo.

Hatum-judge mtu kwa dini yake tunam-judge mtu kwa vitendo vyake.
 
wanakera mno watu wanaoingiza mambo ya udini wakat mada inahusu mambo mengine.kila mtu asali kivyake asa mambo ya ugalatia yanatokea wap aaaaaggh stupid

Hizo zote ni hasira za kushindwa uchaguzi na nyuzi kama hizi zinawakera wanajaribu kuubadilisha mjadala, lakini kwa bahati nzuri nimewastukia. Jibu langu kwao ni moja tu.
 
Canada napo wanapiga kura siku hizi??

at least umekubali unaitwa Bibi, vipi na yeye ulimkuta maggot?
 
Yani kufanya kakiziara tuwili Tu vya kushtukiza basi mnamuona anafaa, kwani vijana wameshapata ajira?? Keshajenga viwanda? VIP kuhusu kilimo Ch umwagiliagi na masoko, Mtanzania amka, maisha yetu Ni magumu mno.bado PIA hajawalipa fadhila waliomuweka pale
 
Magufuli anajaribu kuwaridhisha watanzania kuwa yeye ni tofauti na ccm tuliowazoea.Sisi tunataka maendeleo si sifa za kipuuzi.Sisi tumeamua kutulia ili tushirikiane kujenga Nchi yetu.Hivyo we kibibi tulia,kama magufuli ataleta change jua ni kwasababu ya pressure kutoka upinzani.Hivyo vote yako haina uhusiano na utendaji kazi wa Magufuli.Bila upinzani unafikiri ccm wangeshtuka?Kila mtu anamchango ndani ya Nchi hii.acha dharau,sisi sote ni watanzania.
 
Maskini hg kama bibi haelewi kuwa huwezi kucheza mpira ukiwa nje ya uwanja ukaonyesha ubora wa kiwango chako. Magufuli anaelewa hilo ndio maana anakazania elimu bure (sera ya Dr Slaa 2010) ili mkasome.
 
Ni kweli wanataka kukuingiza chaka
huko hunipeleki kwa sasa. Nnaiheshimu sheria ya mtandao ya kutoeneza chuki za kidini kama ufanyavyo.

Hatum-judge mtu kwa dini yake tunam-judge mtu kwa vitendo vyake.
 
Back
Top Bottom