"Bibi Nisamehe...Najuta"

"Bibi Nisamehe...Najuta"

Pombe ikikulewesha unatenda kinyume na utashi wako.......sasa hivi ni zamu ya bibi kumwomba mjukuu msamaha.
db5c9d51baec4d713e47ca534a0503c8.jpg
mimi FaizerFix nasema Chichiemu mbele kwa mbele
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
db5c9d51baec4d713e47ca534a0503c8.jpg
imi FaizerFix nasema Chichiemu mbele kwa mbele
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
😀😀😀😀........huo ni utani wa ngumi mkuu.......FF katulia tuli, awamu hii hana cha kupigia debe.
 
😀😀😀😀........huo ni utani wa ngumi mkuu.......FF katulia tuli, awamu hii hana cha kupigia debe.
FaizerFix kuja hapa
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
......
 
Chama cha wachagga.

Kama wewe si mchagga kikimbie kama ukimwi
 
Hayo ni maneno ya msaidizi wangu wa nyumbani aka hg.

Nikamuuliza kwanini?

"Aaah bibi si nilimchagua Lowassa".

Kwanini?

"Niliona kama kaonewa na CCM".

Sasa nikusameh kwanini na hiyo ni haki yako kumchagua unaemuona anafaa?

"Bibi sasa nimejionea kwa macho yangu kuwa Magufuli ni bora sana zaidi ya Lowassa na sasa nimeamini CCM hawajamuonea".

Kwanini?

"Bibi wewe wacha tu, nilivyomuona anaongea kwa uchungu Muhimbili nikajuwa huyu kweli anatujali, babu Lowassa hata alivyokuwa akiongea haoneshi kama anajali au hajali.

"Bibi naweza kwenda kufuta kura yangu nimpe Magufuli?"

Mie nikaangua kicheko nikaanza kumuimbia; "CCM mbele kwa mbele".

Hayo ni kwa uchache yaliyojiri leo jioni nyumbani kwangu.
Bado anajuta yeye au unajuta wewe ?
 
Hayo ni maneno ya msaidizi wangu wa nyumbani aka hg.

Nikamuuliza kwanini?

"Aaah bibi si nilimchagua Lowassa".

Kwanini?

"Niliona kama kaonewa na CCM".

Sasa nikusameh kwanini na hiyo ni haki yako kumchagua unaemuona anafaa?

"Bibi sasa nimejionea kwa macho yangu kuwa Magufuli ni bora sana zaidi ya Lowassa na sasa nimeamini CCM hawajamuonea".

Kwanini?

"Bibi wewe wacha tu, nilivyomuona anaongea kwa uchungu Muhimbili nikajuwa huyu kweli anatujali, babu Lowassa hata alivyokuwa akiongea haoneshi kama anajali au hajali.

"Bibi naweza kwenda kufuta kura yangu nimpe Magufuli?"

Mie nikaangua kicheko nikaanza kumuimbia; "CCM mbele kwa mbele".

Hayo ni kwa uchache yaliyojiri leo jioni nyumbani kwangu.
Huyo Hg wako atakuwa na mapepo yaaani jini anaona ni mtu
 
Hayo ni maneno ya msaidizi wangu wa nyumbani aka hg.

Nikamuuliza kwanini?

"Aaah bibi si nilimchagua Lowassa".

Kwanini?

"Niliona kama kaonewa na CCM".

Sasa nikusameh kwanini na hiyo ni haki yako kumchagua unaemuona anafaa?

"Bibi sasa nimejionea kwa macho yangu kuwa Magufuli ni bora sana zaidi ya Lowassa na sasa nimeamini CCM hawajamuonea".

Kwanini?

"Bibi wewe wacha tu, nilivyomuona anaongea kwa uchungu Muhimbili nikajuwa huyu kweli anatujali, babu Lowassa hata alivyokuwa akiongea haoneshi kama anajali au hajali.

"Bibi naweza kwenda kufuta kura yangu nimpe Magufuli?"

Mie nikaangua kicheko nikaanza kumuimbia; "CCM mbele kwa mbele".

Hayo ni kwa uchache yaliyojiri leo jioni nyumbani kwangu.
Yaani house-girl anakuperemba umuongezee mshahara na weye unafyatuka kuimba nyimbo?Bibi hopeless material kweli!
 
Hii comment yako nimecheka kwa nguvu hahaha una majibu yanayokera[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] mpaka muda mwingine nahisi wewe ni mama dangote (mama diamond)maana kwa majib mmefanana
Kunifananisha na yule mama asiye na adabu ni kunitukana. Naomba futa kauli yako.

Wengi humu hunichokonoa makusudi tu niseme hovyo.
 
Back
Top Bottom