Bibi Titi Mohammed: Historia, harakati na wasifu wake

Bibi Titi Mohammed: Historia, harakati na wasifu wake

Sasa hivi kama haufikiri sawasawa na wao au hauvai manguo ya kijani basi wewe si Mtanzania, hawa watu ni wa hovyo sana.

Uganda President signed a bill to put in prison those women caught wearing Mini Skirts - Friends, Here is Diana, Museveni's daughterView attachment 822662
she is beautiful, uganda is look like majuu! Hahaha nice cars,white people,nice roads etc
 
Baada ya kufahamiana na Mwalimu alipewa uongozi katika Women Wing ya TANU ambapo alishiriki katika kuhamasisha wanawake kuunga mkono harakati za TANU za kudai uhuru. Hata hivyo kwa mujibu wa Bibi Titi mwenyewe, (Kwa jinsi alivyowahi kuniambia) ni kwamba tofauti za msingi kati yake na Mwalimu zilianza mwaka 1958 ambapo Mwl. alimpeleka, kwa maelezo ya Bibi Titi, Demu wake masomoni Ulaya kwa kutumia Fedha za Umoja wa Wanawake badala ya mwanamke aliyekuwa amendekezwa na Umoja huo. Mwanamke huyo wakati huo alikuwa ni Nesi katika Hopitali mojawapo iliyokuwa mikoa ya kusini.

Japokuwa hakueleza, bayana kwa nini alichukizwa na kitendo kile cha Mwalimu, wadadisi wa mambo wanadai kuwa, chuki hiyo ilitokana na wivu wa kimapenzi kwani inadaiwa kuwa hata Mwalimu na Bibi Titi walikuwa................
WEWE muongo acha kupotosha baada ya uhuru biTT alikuwa waziri na mbunge mwanamke wa kwanza, walianza kutofautiana baada ya mwalimu kutangaza Arusha Declaration ambalo lilizdhmiria kutaifisha nyumba zote za Kariakoo na Posta Including ya Bibi TT mwenyewe ambayo Nyerere akikesha humo wanapanga mikakati ya kudai uhuru. ikumbukwe kuwa mwalimu hakuwa na makazi mjini so mipango yao wakiifanya kwa wenzie akiwemo Bibi TT. Baada ya hustle za kudai uhuru wakaupata Mwl anataka kutaifisha nyumba zake hapo ndo mgogoro ukaanza akampa kesi ya uhaini na kutaifisha nyumba zake zote 2 za Posta DSM baada ya kutoka jela akalala katika mahema na kwenye mapipa tu duuh toka kuwa raisi wa Wanawake wa PAFMECA hadi kulala katika mapipa kuna raha gani ya uhuru. huyu mama sijuwi kama kamsamehe mwl
 
Tunajuwa kitu uhain kwa tz Mara nyingi huwa kuna jambo ambalo nizito kulitamka sasa kunamtu alikuwa anapindisha eti waligongana kwenye kordo sijui nini. Tunatambua bibi titi alikuwa anapigania usawa hakutaka kuwa sehemu ya wanafiq nakushuru sana kwa taarifa iliyooka
Nani kapindisha waligongana kwenye corridor? Nani waligongana kwenye corridor? Kupindisha kumekuja vipi?

Fafanua.
 
Kwenye siasa huwezi kuitenga dini kwasababu kuu mbili
1 siasa nimaisha yawatu ya kila Siku
2 dini maisha yawatu ya kila sku
Naenda mbali zaidi na kusema dini ni siasa ya kale iliyovikwa joho la Mungu asiyethibitishika leo.

Siyo tu huwezi kutenganisha dini na siasa.

Dini ni siasa.

Kama ambavyo huwezi kuwa na shilingi iliyo na upande mmoja, huwezi kuwa na dini isiyo na siasa.

Ndiyo maana hata mtu ambaye haifagilii dini sana kama Benjamin Mkapa (kanisa lake lilikuwa Palm Beach Hotel na sakramenti yake ilikuwa Scotch Whisky) alipopata urais akajongea St. Immaculata pale UN Road Upanga.

Na Donald Trump firauni hayawani aliyesema anawashika wanawake uchini leo anajinadi kuwa ni rafiki wa walokole wa Marekani.

Ukiangalia jinsi Uislamu ulivyoendelea kwa vita na kushika makoloni mpaka Andalusia Spain utaona dini ni siasa.

Ukiangalia Biblia ilivyoandikwa, chini ya usimamizi wa Mfalme Constantine wa Warumi, akaamua na maaskofu wake kitabu gani kiwekwe kwenye biblia na kitabu gani kisiwekwe, utaona dini ni siasa.

Ukiangalia sababu zilizopelekea Mfalme wa Uingereza kujitoa kwenye Ukatoliki na kuanzisha "Church of England" na mpaka leo Malkia wa Uingereza ndiye mkuu wa kanisa utaona dini ni siasa.

Ukiangalia mgogoro wa wa Singhalese Buddhist nationalism Sri Lanka utaona dini ni siasa.

Ukiangalia Rohingya Muslims wanavyoteswa na kutengwa na Buddhists Myanmar utaona dini ni siasa.

Yani kuanzia kwetu madongo kuinama mpaka huko kwa watu wanaotakiwa kuwa wamesoma na kuendelea, dini ni siasa.
 
Last edited:
huyu mama alikuwa ndio mpigania mkuu wa uhuru wa Tanganyika kuliko wote including Nyereremwenyewe, alikuwa mwenyekiti wa wanawake wapigania uhuru Nchini mwetu, East Africa na Africa pia chini ya PAN AFRICANISM. Bibi TT NDO ALIKUWA MHAMASISHAJI MKUU KWA akina mama mabao ndio wapiga kura wakuu nchi, alikuwa mtoto wa mjini hivyo alikuwa na mtandao mpana kuliko Mwl alietoka Koromije pekeake pia alijuwa Kiswahili vyema ambacho kilirahisisha kampeni na hamasa za huyu mama kwa wenzie. Tena alikuwa na elimu ndogo hivyo alijuwa namna ya kuwasiliana na wenye elimu ndogo wenzie tofauti na wasomi kama mwl ambae akiongea kisomi zaidi mwisho wa siku watu hawamwelewi kwani alikuwa ana derive 4mula jukwaani kumbe hadhira hata a.e.i.o.u hawajuwi. Mama huyu ndie alikuwa nanamnyanyua kwapa mwl ili amnadi kwa Watanganyika.
Mgogoro wao
Azimio la Arusha ndio chanzo cha kutoelewana kwa hawa wawili ikumbukwe azimio lilitakusudia kutaifisha mali za watu binafsi na makampuni ikiwemo nyumba 2 za huyu mama yaani ulale kwangu, tusake uhuru tuzunguke mikoani kupiga kampeni then finally utaifishe mali zangu ikiwemo nyumba iliyokuwa ofisi ya kudaia uhuru akasema no Kambarage hapana haiwezekani maana ya uhuru haipo kama napoteza mali zangu.

Kilichomkuta
alipewa kesi ya uhaini yeye na wenzie waliopinga fikra za mwenyekiti(ZIDUMU FIKRA ZA M/KITI...ZIDUMUUUUUU) wakahukumiwia kifungo cha maisha na mali zao zikataifishwa ikiwemo nyumba yake iliyotumika kama ofisi ya siri ya kudaia uhuru.
Baada ya jela
alipata msamaha wa rais baada ya kujiridhisha kuwa hakuwa na hatia na yeye alikosea kwani mawazo yake hayakuwa sahihi ila tayari nyiumba zishataifishwa hakuna kwa kulala so akalala kwa majirani na kwenye mapipa.
aonewa huruma
waziri wa Ardhi na Makazi muda huo alimuonea huruma mwanamama mwenzie akaenda kwa mwl kumuombea japo apewe nyumba moja kati ya zile mbili ndipo kakubaliwa na kupewa moja hadi kifo kinamkuta.
Source: TGNP-harakati za wanawake wa Tz
 
acha kuongea unafiki usio na tija.eti wakristu hawakushiriki kwenye kupigania uhuru.Julius Kambarage Nyerere, Ali
Sykes, Lameck Makaranga,
Gosbert Milinga, Gelmandus
Pacha, Joseph Kimalando, Japhet
Kirilo, Abubakar Ilanga, Saadan
Kandoro, Suleiman Kitwara,
Kisunguta Kabara, Chewa Said
Chewa, Dosa Aziz, Patrick
Kunambi, Joseph Kasela Bantu,
John Rupia, Abdulah Sykes.kuna Christians wangapi hapo.na hizo pesa wanazopewa makanisa zinatolewa na nani? ikiwa serikali haijengi msikiti wala kanisa.shule zilirudishwa kw kukosa hela? mbona hata historia fupi kama hiyo unataka kuipotosha leo pesa yakuendesha hizo shule wamezipata wapi? huo ni ushabiki wakidini eti kanisa linapewa pesa na serikali
Hao wote walikuwa bendera futa upepo walikuwa hawana la kuchangia bali mr yeeeeeees. hawakujitoa muhanga wa kweli kifupi walitamani madaraka tu pindi waislamu wakifanikiwa.
 
mama alipigana san ktk uhuru ila unfortunately Mchongoa meno akamsni.ch, tena hadi nyumba zake ambazo ndizo harakati za kudai zikiratibiwa zilitaifishwa ama kweli......Mungu akurehem mama
 
Hii ni kamba, mwongo mkubwa!

Kwanza, Bibi Titi hakumleta Nyerere TAA, na wala si Kawawa. Pia, Waislam na Wakristo ni wote walishiri kwenye harakati za Uhuru.

Bibi Titi hakuwepo kwenye picha wakati wa TAA, wala TANU ya mwanzo. Bibi Titi ndio aliletwa kukutana na Nyerere, 1955, na dereva Taxi aliyejuana na shemeji wa Bibi Titi. Baadae, shemeji wa Bibi Titi akawa anamsukuma Bibi Tibi ahudhurie mikutano ya Nyerere, na baadae akavutiwa nae, akapewa kadi namba 16. Nyerere alikuwa na kadi namba moja.

Na Kawawa alikuja TANU akitokea vyama vya wafanyakazi mwaka 1958, four years behind the curve!

Na madai yako mengine ya Wakristo vs Waislam ni uwongo wa kuchomwa moto. Wakristo na Waislam walishiri bega kwa bega katika harakati.
Walionzisha TANU wako 17, wa dini zote:

(1)Mwalimu J.K. Nyerere Mwenyekiti
(2)Geremano Pacha

(3)Joseph Kimalando
(4)Japhet Kirilo
(5)C.O. Milinga
(6)Abubakari llanga
(7)L.B. Makaranga
(Saadani A. Kandoro
(9)Suleman M. Kitwara
(10)Kisunguta Gabara
(11)Tewa Said Tewa
(12)Dossa A. Aziz
(13)Abdu Sykes
(14)Patrick Kunambi
(15)Joseph K. Bantu
(16)Ally Sykes
(17)John Rupia

Na ukienda nyumba zaidi, hata viongozi wa Kitaifa wa TAA walioanza kutuma madai ya kimaandishi ikulu ya Sir Edward Twinning kudai chama kitambulike kwa uwakilishi Bungeni walikuwa ni Mwenyekiti na Katibu Mkuu, TAA Taifa, Abdulwahid Sykes na Vedastus Kyaruzi respectively.

Hiyo ni kabla na wakati wa uundwaji wa TANU. Baada ya kuundwa, TANU ili recruit viongozi wa harakati kutoka viongozi wa vyama vya ushirika, Nsilo Swai, Sir George Kahama, Jeremiah Kasambala, Paul Bomani, John Mhavile, na wengine.


Kwa hiyo, kusema TANU ilikuwa ya Waislam waliokaribisha Wakristo ( or vice versa ) ni urongo, uzandiki.
Asante kwa kuweka kumbukumbu vizuri, kama mtu huna taarifa sahihi usipotoshe.
 
Hii ni kamba, mwongo mkubwa!

Kwanza, Bibi Titi hakumleta Nyerere TAA, na wala si Kawawa. Pia, Waislam na Wakristo ni wote walishiri kwenye harakati za Uhuru.

Bibi Titi hakuwepo kwenye picha wakati wa TAA, wala TANU ya mwanzo. Bibi Titi ndio aliletwa kukutana na Nyerere, 1955, na dereva Taxi aliyejuana na shemeji wa Bibi Titi. Baadae, shemeji wa Bibi Titi akawa anamsukuma Bibi Tibi ahudhurie mikutano ya Nyerere, na baadae akavutiwa nae, akapewa kadi namba 16. Nyerere alikuwa na kadi namba moja.

Na Kawawa alikuja TANU akitokea vyama vya wafanyakazi mwaka 1958, four years behind the curve!

Na madai yako mengine ya Wakristo vs Waislam ni uwongo wa kuchomwa moto. Wakristo na Waislam walishiri bega kwa bega katika harakati.
Walionzisha TANU wako 17, wa dini zote:

(1)Mwalimu J.K. Nyerere Mwenyekiti
(2)Geremano Pacha

(3)Joseph Kimalando
(4)Japhet Kirilo
(5)C.O. Milinga
(6)Abubakari llanga
(7)L.B. Makaranga
(Saadani A. Kandoro
(9)Suleman M. Kitwara
(10)Kisunguta Gabara
(11)Tewa Said Tewa
(12)Dossa A. Aziz
(13)Abdu Sykes
(14)Patrick Kunambi
(15)Joseph K. Bantu
(16)Ally Sykes
(17)John Rupia

Na ukienda nyumba zaidi, hata viongozi wa Kitaifa wa TAA walioanza kutuma madai ya kimaandishi ikulu ya Sir Edward Twinning kudai chama kitambulike kwa uwakilishi Bungeni walikuwa ni Mwenyekiti na Katibu Mkuu, TAA Taifa, Abdulwahid Sykes na Vedastus Kyaruzi respectively.

Hiyo ni kabla na wakati wa uundwaji wa TANU. Baada ya kuundwa, TANU ili recruit viongozi wa harakati kutoka viongozi wa vyama vya ushirika, Nsilo Swai, Sir George Kahama, Jeremiah Kasambala, Paul Bomani, John Mhavile, na wengine.


Kwa hiyo, kusema TANU ilikuwa ya Waislam waliokaribisha Wakristo ( or vice versa ) ni urongo, uzandiki.
nipe historia ya DOSSA azizi kwa urefu zaidi.
Pia kuna jamaa sikumbuki jina naskia nae alizimwa, alikua wa zenji hadi akawa waziri nadhani. Baadae akafa kiutata
 
hiyo link mbona haipatikani mkuu, hebu tuma nyingine kama inawezekana
Chin...
Kwangu nimeijaribu sasa hivi imefunguka.
Nakutumia tena:



 
Hallo Members Bila Shaka Mnafahamu Mchango Wa Mwanamama Shupavu Titi Mohammed Katika Harakati Za Kupigania Uhuru Wa Tanganyika. Naomba Msaada Wenu.

Nahitaji Kupata Kauli Alizozitoa Enzi Za Kupigania Uhuru Na Hata Baada Ya Kutoka Serikalini.

Msaada Tafadhali, Ukinipatia Link Nikasome Pia Utakuwa Umenisaidia.

Natanguliza Shukrani
 
... chupu chupu "apotezwe" maana alikuwa na vinasaba vya usaliti. Ni huruma tu ya Mwalimu iliyomuokoa.
 
This is Tanzanian history abecedary, lazima tuyajue haya! Kanyang'anywa nyumba ndio, tena mbili, moja iko Upanga. Baadae, Nyerere alipochoka madaraka ndio akarudishiwa. Lakini hakuwahi kupata pesheni yake ya Uwaziri, TANU, Umoja wa Wanawake. Nafurahi alimwambia haya Nyerere usoni, kabla hawajafa.

Bibi Titi alianza kukosana na Nyerere miaka ya '60s, wakati Nyerere alipo submit Azimio la Arusha. Bibi Titi hakulipinga, at least not the substantive themes of it, lakini alipinga jinsi lilivyoletwa letwa, anasema Mzee alikuwa anaitikiwa "ndio Mzee, ndio Mzee," bila deliberation na michango.

Imagine Nyerere katoka masomoni Scotland kwenye ma Fabian Society anakuja kuyumbishwa na Mama wa Temeke hukusu transparency na democracy? Unashindwa kudebate na mwanaharakati mwenzio, unamfunga?

"Siku moja mimi na Bibi mwingine na Bi Maua tulipelekwa kama kuonyeshwa, wanawake ni hawa na hawa wanakaa hapa na hivi na hivi. Sheneda akaombwa waandikiwe barua kwa waume zao tukamwambia wote tuna waume zetu, ila Bi Maua tu.Tukaingia mjini na Bibi Tatu kila mahali na kila nyumba.

...mimi nilikwenda nyumba ya mtu safari ya kwanza kwenda kuarifu mkutano wa TANU. Nilipoingia nyumba moja wanawake wote wakakusanyika wakaniambia, ehee bibi, unataka wanaume wa chumba gani, wa chumba hiki au hiki au kile. Nikajua ehee leo nitapigwa leo; nimeshangaa. Jamani kosa gani tena nimekosa, mimi nimekuja hapa kueleza habari za mkutano, leo kuambiwa nimefuata mwanamume mmoja wa chumba cha uani tena mpaka hivi ninamkumbuka, anaitwa RASHIDI.

Akasema Bibi Titi nilichoijia ndilo hilo la kutangaza chama, nikasema ndilo hilo, hapo akawaambia ndio huyu mama anayetangaza chama cha Nyerere kuingia kila nyumba, na nilimuona hata nyumba ya mbele huko, ndiyo nikarudi nyumbani nimenusurika."
Tukisema Nyerere kuna muda alikua miyeyusho sana watu wanatubishia
 
kanyang'anywa nyumba? and of all places Temeke.Nyerere can not be that bad,would someone enlighten us please
Temeke haikuwa uswahilini miaka hiyo, kama unaijua Temeke yenyewe ina mitaa iliyopangiliwa, kabla haijavamiwa
 
Back
Top Bottom