Bible Error: Mwanzo 1:1-3a Kosa kubwa la Milenia, kutafsiri kutoka kwenye lugha ya Kiebrania

Bible Error: Mwanzo 1:1-3a Kosa kubwa la Milenia, kutafsiri kutoka kwenye lugha ya Kiebrania

Despite its plural form, Elohim is perceived as a singular term. According to Genesis, Elohim is considered a monotheistic term despite its polytheistic grammatical structure.
Yes, the plural form is a majestic language to show the greatness of God.
 
  • Thanks
Reactions: 511
Tatizo lako mzee unarukia tu bila hata context. Unajua issue na Council of Nicaea ilitokea wapi?
Check Screenshot hii kutoka kwenye page 1. Nenda kasome #13
Napia acha kurukia mada tu bila hata kujua context ya mtu alichokuwa anakiuliza. Mbona aliyetoa hoja hiyo baada ya kumjubu alilidhika na ku LIKE comment yangu?

Hebu naomba nieleze shida yako ni nini hasa

View attachment 3043238
Hii ni open platform. Najibu nitakavyo na huwezi niwekea mipaka. Once umepost hii thread ni mali ya JF sio yako.
 
My God! Umesoma biblical exegesis au hermeneutics kweli? Kwenye uandishi wa Biblia kuna matumizi ya lugha ya heshima kwa Mungu (majestic language) - kutumia wingi mahali pa umoja', na wala siyo makosa ya uandishi. Hata katika lugha kama Kifaransa kuna matumizi ya lugha kama hiyo. Mfano, ukimwongelea mzazi au mtu official unatumia neno 'vous' = 'nyinyi'. Mfano, "comment allez-vous": How are you? Lakini kama agemate, colleague, rafiki, utasema: "comment ca va"?: How are you? Kwenye lugha kama Chichewa, kumu'address' mzazi, mtu official au kumsalimia utasema: 'Ali bwanji'...? Sawa na kusema "Hamjambo"? Lakini kumu'address' agemate, rafiki, rafiki etc: utasema: 'mulibwanji'...? 'Ali bwanji' ni wingi wa 'muli bwanji'. Ukitumia 'ali bwanji' kwa mtu mmoja, Ina maana umetumia 'majestic language'...umeonyesha heshima kwa mtu unayemsalimia. Wakati ukitumia 'muli bwanji' kama ni mtu mkubwa kwa cheo au umri atajisikia kwamba umempa salamu ya kawaida/umemdharau. Style ya uandishi wa Kitabu cha Mwanzo, inafuata tradition hii ya majestic language, lakini siyo kosa la kiuandishi, bali style ya uandishi.
Umedadavua vizuri sana hata kwa kiswahili iko hivyo,nikikutanana jirani yangu mtu mzima huwa namuulixa wazima hapo😐
 
Mzee usilete upumbavu. Hueleweki hata unaongelea nini. Kama wewe ni mfia dini wengine hatupo hivyo mzee.
Nilichangia kwenye post ambayo hukuanzisha. Wewe mwenyewe ukaleta upumbavu katika kile nilichokiandika (you write on my wall) na wala sikukualika. Sasa unasema niache upumbavu, unakuhusu? Bure kabisa!
 
Hii ni open platform. Najibu nitakavyo na huwezi niwekea mipaka. Once umepost hii thread ni mali ya JF sio yako.
Unajibu utakavyo hata nje ya context 😀 😀 😀 Wakatoliki bhana!!
 
Hakuna Tafsiri inayolingana kwa 100% hasa maandiko yanayotoka katika sehemu zenye utamaduni tofauti. Embu Tafsiri Happy Marry John kwa kiswahili
Tafsiri inaweza kuathiriwa na
1. Itikadi
2. Misimamo
3. Utamaduni
4. Upotoshaji wa makusudi

Mwalimu Nyerere aliwahi kutafsiri Merchants of vinice Kama mabepari wa Vinice badala ya wafanya biashara wa venice
 
Mleta mada inaelekea hajui kitu kinachoitwa "Majestic Plural" au " Plural of Majesty" katika baadhi ya lugha zikiwemo Semetic languages kama vile Kiarabu na Kihebrania.

Hata kwenye Qur'an kuna nyakati Mwenyezi Mungu anatumia neno "Nahnu" kwa kiswahili ikitafsirika "Sisi" lakini kimsingi ikimaanisha "Mimi".

Hebu google hiyo kitu inayoitwa Plural of Majesty
 
kwani hiyo tafsiri ya awali imetoka kwa Greek language au Hebrew language?
 
DETAILS YA HOJA
Hoja kubwa zaidi ninayoiongelea hapa wambayo watu wanaikwepa kuiongelea ni:-

In the beginning God created the heavens and the earth.

Hapa ndipo makosa yaliyopo.
Yaani unaongelea In the Beginning maana yake kabla ya hapo yule ambaye aliumba mbingu na nchi; alikuwa hafanyi chochote. Basi ikafika kipindi ndipo akaanza.

Hoja yangu ya kwanza kubwa ni hiyo hapo.

Then tutakuja kuongelea ile issue ya wingi.
 
Screenshot_20240716-171045~2.png
Jew anayeamini Trinity 🤣 🤣 🤣 🤣 Unaijua hata Tanakh kweli?
Nitakuwa siijui.
Kwanza hakuna sehemu nimesema naamini trinity. Hoja yako nilikujibu kulingana na maandiko yanavyosema tofauti na unavyoelezea.

Kanisome tena ninapoweka bible verse nasema kabisa biblia inasema, sio mimi nasema.
 
Nitakuwa siijui.
Kwanza hakuna sehemu nimesema naamini trinity. Hoja yako nilikujibu kulingana na maandiko yanavyosema tofauti na unavyoelezea.

Kanisome tena ninapoweka bible verse nasema kabisa biblia inasema, sio mimi nasema.
Tueleze Bereshit 1:1-3 inaongelea nini?

1721140784669.png
 
יש לך ליגות ילדותיות
Hapa tunaonegelea Genesis 1:1-3 wewe leta maelezo yako. Umesema wewe ni mfuasi wa Judaism. Judaism wanasoma Torah, na part ya torah kuna Tanakh kwenye Tanakh kunakitabu cha Bereshit
Sasa issue inyoongelewa hapa ni makosa ya tafsiri iliyotolewa kutoka kwenye origin Tanakh kwenda kwenye lugha zingine.

Mpaka sasa hivi hujaongelea chochote kuhusu hoja iliyopo mezani. Nimekuwekea ushahidi lakini unashupaza shingo tu na kuleta ubishi wa Kikatoliki 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
יש לך ליגות ילדותיות

Genesis 1–3 is a part of the first two sections of prose narrative in Genesis 1:1–2:3 and 2:4–4:26.
Hapa tunaongelea Genesis 1:1-3 In the Beginning kwenye Genesis 2 hakuna In the Beginning ni jambo tofauti kabisa.
 
Hapa tunaonegelea Genesis 1:1-3 wewe leta maelezo yako. Umesema wewe ni mfuasi wa Judaism. Judaism wanasoma Torah, na part ya torah kuna Tanakh kwenye Tanakh kunakitabu cha Bereshit
Sasa issue inyoongelewa hapa ni makosa ya tafsiri iliyotolewa kutoka kwenye origin Tanakh kwenda kwenye lugha zingine.

Mpaka sasa hivi hujaongelea chochote kuhusu hoja iliyopo mezani. Nimekuwekea ushahidi lakini unashupaza shingo tu na kuleta ubishi wa Kikatoliki 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Tatizo unajifanya mjuaji sana.
Na unakurupuka tu kum attack mtu bila kujua mawazo yake kuhusu hoja zako. Mimi nilikukosoa kuhusu council of Nicaea na trinity. Sijatoa wazo lolote kuhusu Gen 1:1. Tatizo lako huna utulivu kuchambua hoja, una generalize.

Umeniita mkatoriki, hapo inaonyesha mtazamo ulionao ni kwamba kila anaeku challenge kuhusu trinity ni mkatoriki. Hapo hapo umejifanya mtaalam wa Tanakh huku ukidai mimi siijui.

Anyway kwanza huwa sijibu swali lenye command.
Huwa sitoi jibu la direct kwa swali lenye kejeri. Mtazamo wako kunihusu hauna impact yoyote kwangu. Ukitaka tujadiliane kwa references, acha commands and kejeri
 
Hapa tunaongelea Genesis 1:1-3 In the Beginning kwenye Genesis 2 hakuna In the Beginning ni jambo tofauti kabisa.
Halafu unajiona una uwezo wa kuchambua biblia 🤣🤣

You’re assuming modern cosmology onto the text. Research it if you want to get a picture of ancient cosmology. You are making assumptions that you don’t seem to realize are assumptions.
 
Back
Top Bottom