Bible Error: Mwanzo 1:1-3a Kosa kubwa la Milenia, kutafsiri kutoka kwenye lugha ya Kiebrania

Bible Error: Mwanzo 1:1-3a Kosa kubwa la Milenia, kutafsiri kutoka kwenye lugha ya Kiebrania

Acha kuleta porojo.. Biblia yenyewe inadai kila neno limetiwa Pumzi. Watafsiri ndio wameleta kwa Umoja kulingana na Maoni yao wenyewe ila ile OG ni wingi tu umetumika.

Just imagine wangapi wanatumikia Sheria hewa?

Sijui Walijisahau vipi pale kwenye "Na Tumfanye"
Sasa kuna madudu au uharo kama huu ulioandika hapa? Yaani ni uharo mtupu!
 
Kuna maneno mawili kwenye kiingereza kuna create na make

Creating is making something out of nothing bila kutumia any physical material

Making is using somethin physical to make something physical

Mwanzo 1 :1 God created he made something out of nothing .Mbingu na nchi

Wakati hiyo Genesis 1:26 kuna combination hapo ya divinity ya ku create na ku make

Huyo mtu aliumbwa kwa combination ya udongo na pumzi ya Mungu ndio maana kuna neno Make hapo

Mwanzo 2:7
BWANA Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai.

Sisi tumeumbwa in the image of God .Ina.maana gani Mungu aliposema let us create in our image aliongelea in the the imagination of God .What was in the imagination

Kwa nini limetumika in our imagination ? Hapo unaongelewa utatu mtakatifu .Mungu akiongea na Roho mtakatifu na Yesu .Na hapo ndio mwanzo tunaona wa nafsi tatu zikijadili kuwa mtu aumbe awe naye na awe na utatu yaani awe na mwili ,roho na nafsi .Hizo aspect zote tatu ziwemo kwa huyo mtu

Sio kuwa kuna miungu mitatu au mingi ilikuwa inajadiliana
Mwanzo mojoja haiongelei umbaji (creation) bali inaongelea utengenezaji (making). Uumbaji Mungu alikuwa ameshaufanya kabla kwenye muda na wakati ambao Biblia haijasema.
Wakati huo Adamu na Eva walitengenezwa kutoka kwenye udongo na si kwamba waliumbwa, walikuwa wameshaumbwa kabla kwa sababu udongo uliotumika kuwatengeneza ulikuwepo tayari
 
Kuna maneno mawili kwenye kiingereza kuna create na make

Creating is making something out of nothing bila kutumia any physical material

Making is using somethin physical to make something physical

Mwanzo 1 :1 God created he made something out of nothing .Mbingu na nchi

Wakati hiyo Genesis 1:26 kuna combination hapo ya divinity ya ku create na ku make

Huyo mtu aliumbwa kwa combination ya udongo na pumzi ya Mungu ndio maana kuna neno Make hapo

Mwanzo 2:7
BWANA Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai.

Sisi tumeumbwa in the image of God .Ina.maana gani Mungu aliposema let us create in our image aliongelea in the the imagination of God .What was in the imagination

Kwa nini limetumika in our imagination ? Hapo unaongelewa utatu mtakatifu .Mungu akiongea na Roho mtakatifu na Yesu .Na hapo ndio mwanzo tunaona wa nafsi tatu zikijadili kuwa mtu aumbe awe naye na awe na utatu yaani awe na mwili ,roho na nafsi .Hizo aspect zote tatu ziwemo kwa huyo mtu

Sio kuwa kuna miungu mitatu au mingi ilikuwa inajadiliana
Kwa nini Biblia haijasema "in our own imaginations"; bali "in our own imagination"?
Kwa nini haijasema "in our own images"; bali "in our own image"?
Hapa Biblia inaonyesha kuwa kuna imagination moja inayomilikiwa na wengi, na pia sura moja inayomilikiwa na wengi; yaani Mungu mmoja, Nafsi tatu
 
Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa
Mwaka wa kukombolewa huu ni Mwaka wa kukombolewa oparesheni komboa familia Andika maombi 12 tia Sadaka yoyote upate mara 12 ya Sadaka yako, mtu anajaza Sadaka ili apate mara 12 Jamaa kavuna kaenda kukagua barabara Arusha na DAB
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Hakuna kitu kama hicho mzee. Usilazimishe.

Bar na Bara ni maneno mawili tofauti.

Bara is the verb but Bar is the pronoun.

Soma kwanza hapa

Despite its plural form, Elohim is perceived as a singular term. According to Genesis, Elohim is considered a monotheistic term despite its polytheistic grammatical structure.
 
Mimi ni mkristo nimelelewa katika ukristo tangu nikiwa mdogo.

Mwanzo tu wa biblia katika kitabu cha mwanzo 1:1-3a kunakuwa na makosa makubwa ambayo yamedumu karne na karne. Haya yalitokana na kutafsiri moja kwa moja lugha ya kiebrania kwenda kwenye Lugha ya Kigriki na hatimaye lugha ya kingereza.

Inasomeka
1. In the beginning God created the heavens and the earth.
2. Now the earth was formless and empty, darkness was over the surface of the deep, and the Spirit of God was hovering over the waters.
3. And God said, "Let there be light," and there was light.

Kutoka kwenye origin (Hebrew)
1. Bereshit bara Elohim et hashamayim ve'et ha'aretz,

Maelezo Kwenye mstari wa kwanza

Kwenye kiebrania tunaona hapo anaongelea Elohim neno elohim ni wingi. Yaani Miungu. maana yake hapo anaongelea miungu na wala siyo Mungu mmoja. Umoja wa neno Elohim ni Eloah

Hapo tayari kunakuwa na mkanganyiko mwanzoni tu.

Maelezo zaidi
Katika hiyo 1:1-3a inasomwa yote kwa pamoja. Lakini yule aliyekuwa anatafsiri aliigawanya na kisha akahatibu maana nzima ya maelezo.

Kwenya hebrew bible haiongelei kuhusu the beginning of creation.

Bali inaelezea kuwa wakati Miungu walipokuwa wakiumba dunia dunia ilikuwa ukiwa.

Inaweza kusomeka:-
1 When Gods began to create heaven and earth—2 the earth being unformed and void, with darkness over the surface of the deep and a wind from Gods sweeping over the water—3a Gods said, ‘Let there be light

Hii hapa juu ndiyo tafsiri sahihi ya kitabu cha mwanzo kabisa.

Nitaendelea kuchanganua zaidi.

Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa
The grammatical understanding of Genesis 1:1 is simple, and the most fundamental principle for learning any language is to follow the ease of grammar.
 
Mleta mada Biblia ya Kiyahudi yaani Hebrew Bible tunazo na Hebrew Bible waliyoitafsiri wayahudi wenyewe kwa ajili ya matumzi yao i yao ipo Inaongelea God created not God's. Sasa wewe unajua tafsiri ya kiebrania kwenda kiingereza kuliko wao?

Pili dini ya kiyahudi ni waamini Mungu mmoja tu sio miungu na ndoe maana hata kwenye amri kumi za Mungu alizopewa Musa inatamka wazi kuwa usiwe na miungu mingine ila mimi tu

Hilo uliloandika linapingana kabisa na imani ya dini ya kiyahudi inayoamini Mungu mmoja tu muumba mbingu na nchi na ndio maana huo mstari wa Mwanzo 1 : 1 ulitafsiriwa hivyo kuwa hapo mwanzo Mungu aliumba Mbingu na Nchi saasawa na imani ya dini ya kiyahudi wenye agano la kale wanachoamini

Hilo ukiloandika haliko consistent na imani ya dini ya kiyahudi na Biblia yao ya kiyahudi inayoamin Mungu mmoja tu

Wayahudi wanaamin8 Mungu mmoja hakuna namna hapo wangeweka Miungu waliumba mbingu na nchi ni uongo hilo lako ni mafundisho ya kukoteza majalalani no fundisho la mashetani
Concept ya Mungu mmoja ilianzia kwa wayahudi
 
Usilitaje bure jina la BWANA MUNGU wako
 
Kama nilivyokueleza Council of Nicaea ndiyo iliyoleta mambo haya yote. Kesho nitaielezea vizuri na source of Trinity ni nini?
Following a decade of debate, the concept was finally established at the First Council of Nicaea in 325 CE.

But what coursed debate??

According to the Old Testament, God encountered Christians in three roles:
-Creator,
-Lord of the salvation story,
-Father, and Judge

So the council of Nicaea, made a decision about something that was present prior to their arrival.
 
Following a decade of debate, the concept was finally established at the First Council of Nicaea in 325 CE.

But what coursed debate??

According to the Old Testament, God encountered Christians in three roles:
-Creator,
-Lord of the salvation story,
-Father, and Judge

So the council of Nicaea, made a decision about something that was present prior to their arrival.
Hebu ngoja kwanza tuanze na maamuzi yaliyotokea kwenye kikao cha kwanza cha Nicaea
The Nicene Creed
We believe in one God,
the Father almighty,
maker of heaven and earth,
of all things visible and invisible.

And in one Lord Jesus Christ,
the only Son of God,
begotten from the Father before all ages,
God from God,
Light from Light,
true God from true God,
begotten, not made;
of the same essence as the Father.
Through him all things were made.
For us and for our salvation
he came down from heaven;
he became incarnate by the Holy Spirit and the virgin Mary,
and was made human.
He was crucified for us under Pontius Pilate;
he suffered and was buried.
The third day he rose again, according to the Scriptures.
He ascended to heaven
and is seated at the right hand of the Father.
He will come again with glory
to judge the living and the dead.
His kingdom will never end.

And we believe in the Holy Spirit,
the Lord, the giver of life.
He proceeds from the Father and the Son,
and with the Father and the Son is worshiped and glorified.
He spoke through the prophets.
We believe in one holy catholic and apostolic church.
We affirm one baptism for the forgiveness of sins.
We look forward to the resurrection of the dead,
and to life in the world to come. Amen.


Tunaanze na hiki hapa ambacho ndio msingi wa Ukristo. Hakikuwepo kabla
 
Following a decade of debate, the concept was finally established at the First Council of Nicaea in 325 CE.

But what coursed debate??

According to the Old Testament, God encountered Christians in three roles:
-Creator,
-Lord of the salvation story,
-Father, and Judge

So the council of Nicaea, made a decision about something that was present prior to their arrival.
Moja ya maelengo ya council of Nicaea was Condemnation of Arianism

The council condemned the teachings of Arius, a priest from Alexandria who argued that Jesus Christ was not divine but a created being. Arius and his followers were declared heretics, and their teachings were rejected by the council.
 
Mimi ni mkristo nimelelewa katika ukristo tangu nikiwa mdogo.

Mwanzo tu wa biblia katika kitabu cha mwanzo 1:1-3a kunakuwa na makosa makubwa ambayo yamedumu karne na karne. Haya yalitokana na kutafsiri moja kwa moja lugha ya kiebrania kwenda kwenye Lugha ya Kigriki na hatimaye lugha ya kingereza.

Inasomeka
1. In the beginning God created the heavens and the earth.
2. Now the earth was formless and empty, darkness was over the surface of the deep, and the Spirit of God was hovering over the waters.
3. And God said, "Let there be light," and there was light.

Kutoka kwenye origin (Hebrew)
1. Bereshit bara Elohim et hashamayim ve'et ha'aretz,

Maelezo Kwenye mstari wa kwanza

Kwenye kiebrania tunaona hapo anaongelea Elohim neno elohim ni wingi. Yaani Miungu. maana yake hapo anaongelea miungu na wala siyo Mungu mmoja. Umoja wa neno Elohim ni Eloah

Hapo tayari kunakuwa na mkanganyiko mwanzoni tu.

Maelezo zaidi
Katika hiyo 1:1-3a inasomwa yote kwa pamoja. Lakini yule aliyekuwa anatafsiri aliigawanya na kisha akahatibu maana nzima ya maelezo.

Kwenya hebrew bible haiongelei kuhusu the beginning of creation.

Bali inaelezea kuwa wakati Miungu walipokuwa wakiumba dunia dunia ilikuwa ukiwa.

Inaweza kusomeka:-
1 When Gods began to create heaven and earth—2 the earth being unformed and void, with darkness over the surface of the deep and a wind from Gods sweeping over the water—3a Gods said, ‘Let there be light

Hii hapa juu ndiyo tafsiri sahihi ya kitabu cha mwanzo kabisa.

Nitaendelea kuchanganua zaidi.

Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa


Originally Answered: What is the meaning of "Bereshit bara Elohim et hashamayim v'et ha'aretz" in Hebrew?

I assume that you want a translation of this verse to English. I will try to translate as accurately as I can:
In the beginning God created the sky (or the firmament - not heaven) and the land (not earth. Earth is Adama in Hebrew and refers to the actual thing that we scoop up from a ploughed field).
We say “the land of Israel” not the earth of Israel for Eretz Yisrael.
The translation of KJB is not accurate. But it is so popular among English speakers, that it is often taken as a good translation.

https://www.quora.com/profile/Kingston-Tong
 
Mimi ni mkristo nimelelewa katika ukristo tangu nikiwa mdogo.

Mwanzo tu wa biblia katika kitabu cha mwanzo 1:1-3a kunakuwa na makosa makubwa ambayo yamedumu karne na karne. Haya yalitokana na kutafsiri moja kwa moja lugha ya kiebrania kwenda kwenye Lugha ya Kigriki na hatimaye lugha ya kingereza.

Inasomeka
1. In the beginning God created the heavens and the earth.
2. Now the earth was formless and empty, darkness was over the surface of the deep, and the Spirit of God was hovering over the waters.
3. And God said, "Let there be light," and there was light.

Kutoka kwenye origin (Hebrew)
1. Bereshit bara Elohim et hashamayim ve'et ha'aretz,

Maelezo Kwenye mstari wa kwanza

Kwenye kiebrania tunaona hapo anaongelea Elohim neno elohim ni wingi. Yaani Miungu. maana yake hapo anaongelea miungu na wala siyo Mungu mmoja. Umoja wa neno Elohim ni Eloah

Hapo tayari kunakuwa na mkanganyiko mwanzoni tu.

Maelezo zaidi
Katika hiyo 1:1-3a inasomwa yote kwa pamoja. Lakini yule aliyekuwa anatafsiri aliigawanya na kisha akahatibu maana nzima ya maelezo.

Kwenya hebrew bible haiongelei kuhusu the beginning of creation.

Bali inaelezea kuwa wakati Miungu walipokuwa wakiumba dunia dunia ilikuwa ukiwa.

Inaweza kusomeka:-
1 When Gods began to create heaven and earth—2 the earth being unformed and void, with darkness over the surface of the deep and a wind from Gods sweeping over the water—3a Gods said, ‘Let there be light

Hii hapa juu ndiyo tafsiri sahihi ya kitabu cha mwanzo kabisa.

Nitaendelea kuchanganua zaidi.

Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa
Wacha kujistress mkuu, nenda kafanye starehe.

Tumeumbwa ili tustarehe
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Sasa hizo ni Auxiliary verb
Muulize aliyesema hivyo. Nimejibu kulingana na swali nililoulizwa maana nilivyojibu, akasema auxiliary verbs, nikauliza mbona swali lilisema verb yoyote? Sasa unaniuliza mimi as if nimesema "was" na "were" ni auxiliary verbs? Kama nimesema hivyo dondoa sehemu niliyosema hivyo.
 
Muulize aliyesema hivyo. Nimejibu kulingana na swali nililoulizwa maana nilivyojibu, akasema auxiliary verbs, nikauliza mbona swali lilisema verb yoyote? Sasa unaniuliza mimi as if nimesema "was" na "were" ni auxiliary verbs? Kama nimesema hivyo dondoa sehemu niliyosema hivyo.
Mzee huelewi hata tulikuwa tunaongelea nini. Na hiyo mada tumeshaimaliza.
 
Back
Top Bottom