Bible Error: Mwanzo 1:1-3a Kosa kubwa la Milenia, kutafsiri kutoka kwenye lugha ya Kiebrania

Bible Error: Mwanzo 1:1-3a Kosa kubwa la Milenia, kutafsiri kutoka kwenye lugha ya Kiebrania

Mzee unatengeneza maana zako tu.
Leta neno la kiebrania kuhusu They Created
bar-OO.

Nilikuuliza mwanzo una ufahamu na hiyo lugha hata kidogo.

Maana kila lugha ina kanuni zake neno moja linaweza kutumika sehemu tofauti na likawa lina maana mbili tofauti.
 
bar-OO.

Nilikuuliza mwanzo una ufahamu na hiyo lugha hata kidogo.

Maana kila lugha ina kanuni zake neno moja linaweza kutumika sehemu tofauti na likawa lina maana mbili tofauti.
Hakuna kitu kama hicho mzee. Usilazimishe.

Bar na Bara ni maneno mawili tofauti.

Bara is the verb but Bar is the pronoun.

Soma kwanza hapa

 
Tusisambae sana kwenye mada ttukapoitea porini tujikite kwenye hoja ya mada iliyoko mezani .Kuhusu Elohim

Tusitoke nje ya mada tafadhali hiyo mada yako ni mpya tumalizane hii iliyopo.mezani kwanza Ya Elohim

Usitutoe kwenye reli tafadhali
Hapa hatuhanishi mada. Tunaweka mambo sawa kambla ya kuendelea. Jibu kwanza swali maana linahusiana na issue yako.

Je, Kitabu cha Ayubu kinaendana na imani ya wayahudi?
 
Hapa hatuhanishi mada. Tunaweka mambo sawa kambla ya kuendelea. Jibu kwanza swali maana linahusiana na issue yako.

Je, Kitabu cha Ayubu kinaendana na imani ya wayahudi?
Usihamishe magoli tumalizane na huu mjadala kwanza wa Elohim ukitaka hiyo mada yako kafungue uzi kwingine huko tutakuja hapa ni kujadili hiyo issue ya Elohim ya mada iliyoletwa mezani hadi kieleweke

Usitutoe kwenye hii mada hatutoki ya Elohim hadi yaeleweke
 
Usihamishe magoli tumalizane na huu mjadala kwanza wa Elohim ukitaka hiyo mada yako kafungue uzi kwingine huko tutakuja hapa ni kujadili hiyo issue ya Elohim ya mada iliyoletwa mezani hadi kieleweke

Usitutoe kwenye hii mada hatutoki ya Elohim hadi yaeleweke
Umeshindwa kueleza. Huenda hujui. Anyways:

Mimi ndiye niliyeileta mada hii. Sasa niambie maana ya Elohim ni nini?

Tukiunganisha na verse Mwanzo 1:26.
Hapa nataka uje na facts za tafsiri sahihi.

Na baada ya hapo nitaanza sasa kuelezea kwa kina makosa yaliyopo kwenye tafsiri mbalimbali kwenye kitabu cha Genesis 1:1-3a.
 
Umeshindwa kueleza. Huenda hujui. Anyways:

Mimi ndiye niliyeileta mada hii. Sasa niambie maana ya Elohim ni nini?
Tatizo lugha ukikutatiza lugha yeyote duniani ikisumbua kupata maana uliza wenye lugha yao badala ya kukesha maktaba unasoma mitabu ya ajabu ajabu kujua tafsiri ya neno ambalo wenye lugha yao wapo hawajafa na hilo neno wao wanalitumia kila siku sio beno sijui la kizamani kama vile lilifutika sasa wewe mchimbaji ndio umeligundua uongo hata sasa linatumika tena kila siku kwenye masunagogi yao

Ni kiasi hata cha kumtafuta myahud8 yeyote tu na kumuul8za Elohim maana yake nini? Wayahudi hilo neno kila siku wanalitamka kwenye ibada zao wanaposali mara tatu kwa siku maana yake ni Mungu mmoja aliyeumba mbingu na nchi

Shida lugha sio yako unaanza kuhangaika kukesha wakati wenye lugha yao wapo tena taifa zima la wayahudi lipo.
 
Wabongo muko na mambo... mmepewa bible muhangaike nayo... wenzenu wanapiga deals. Bible iko hivyo ilivyo kwa makusudi! Kukuvuruga tu! Namna pekee ya kuilewa bible ni kujizuia kui question! For critical thinkers, the bible will only make your head spin! Sitaki kupigwa mawe mimi!
 
Tatizo lugha ukikutatiza lugha yeyote duniani ikisumbua kupata maana uliza wenye lugha yao badala ya kukesha maktaba unasoma mitabu ya ajabu ajabu kujua tafsiri ya neno ambalo wenye lugha yao wapo hawajafa na hilo neno wao wanalitumia kila siku sio beno sijui la kizamani kama vile lilifutika sasa wewe mchimbaji ndio umeligundua uongo hata sasa linatumika tena kila siku kwenye masunagogi yao

Ni kiasi hata cha kumtafuta myahud8 yeyote tu na kumuul8za Elohim maana yake nini? Wayahudi hilo neno kila siku wanalitamka kwenye ibada zao wanaposali mara tatu kwa siku maana yake ni Mungu mmoja aliyeumba mbingu na nchi

Shida lugha sio yako unaanza kuhangaika kukesha wakati wenye lugha yao wapo tena taifa zima la wayahudi lipo.
Maelezo yote haya ya nini? Elohim ni wingi au Singular. Wewe umesema tuongelee Elohim imekuwaje tena.

Vilevile nimekuomba usome 1:26 uniletee ufafanuzi, ukiunganisha na hili. Hutaki. So tutajadiliana vipi sasa
 
Maelezo yote haya ya nini? Elohim ni wingi au Singular. Wewe umesema tuongelee Elohim imekuwaje tena.

Vilevile nimekuomba usome 1:26 uniletee ufafanuzi, ukiunganisha na hili. Hutaki. So tutajadiliana vipi sasa
Mkuu endelea na hoja yako! Unayebishana naye hatiki kujifunza mawazo mbadala!

Swali la Msingi kwanini kila mtu anauelewa tofauti wa maandiko? Na ukiquestion sana wanakimbilia kwenye kichaka cha roho mtakatifu? Hivi huyo roho mtakatifu anaweza kukuongoza kujua maandiko kama hujui kusoma na kuandika?

Nimeulizq hivyo kutokana na mtu mmoja kakoment hapo juu et unahitaji roho mtakatifu?
 
Hilo ndio tatizo la kutosoma source language , lugha katika kutafsiri zinaenda kwa aslimi 98 kwa lugha zilizo karibu, mfano kiswahili na kingereza , kuna lugha sipo mbali sana kimaana hata kutafsiri lazima utumie maana ya kimazingira(contextual meaning ) ndio maana misemo kama nahau na methali sio rahisi kutafsiri.

Soma source language ndio utajua tafsiri yake .
 
Mkuu endelea na hoja yako! Unayebishana naye hatiki kujifunza mawazo mbadala!

Swali la Msingi kwanini kila mtu anauelewa tofauti wa maandiko? Na ukiquestion sana wanakimbilia kwenye kichaka cha roho mtakatifu? Hivi huyo roho mtakatifu anaweza kukuongoza kujua maandiko kama hujui kusoma na kuandika?

Nimeulizq hivyo kutokana na mtu mmoja kakoment hapo juu et unahitaji roho mtakatifu?
Ndiyo ndugu yangu. Kwa sasa naandaa maelezo ya kina juu yahilo. Nivilie kidogo.
 

Uchanganuzi wa Genesis 1:1 kwa undani zaidi​

Genesis 1:1
“In the beginning God created the heavens and the earth.”


Kwanza kabisa tunaanza kulionglea neno In the beginning. kwa maelezo haya maana yake hakukuwa na kitu chochote kabla. Maelezo haya yanaweza yakadogosha UKUU wa Mungu. Yanauweka Mungu anakuwa mwenye mawazo kama ya mwanadamu. Maana yake Kabla ya Begining there was nothing wa going on.

Tafsiri hii inaleta ukakasi kwa watu wanaofikiria kwa kina na kutaka kujua maandiko.

Acts 17:11
Now the Berean Jews were of more noble character than those in Thessalonica, for they received the message with great eagerness and examined the Scriptures every day to see if what Paul said was true.

Kwahiyo ni muhimu sana kuyachunguza maandiko na kisha kuyaelewa mana halisi ya andiko.
Hebu tuweze sasa kuyachunguza maandiko hapa.

Katika maelezo ya kawida

1 Hapo mwanzo, Mungu aliumba mbingu na dunia. 2 Dunia ilikuwa bila umbo na tupu. Giza lilikuwa limefunika vilindi vya maji na roho ya Mungu ilikuwa ikitanda juu ya maji.
3 Mungu akasema, “Mwanga uwe.” Mwanga ukawa.

Kuna mambo mawili ya kuangalia hapa:
1. Mungu aliumba mbingu na dunia
2. Mungu Akasema Mwanga Uwe

Utaona hapa kuna uumbaji wa namna mbili ukituonesha kuwa Giza lilikuwepo tu halikuumbwa na kilichoumbwa ni Mbingu na Dunia kisha Akasema akaumba Mwanga.

Kwa maelezo haya kama Mwanzoni Mungu aliumba Mbingu na Dunia je giza lilitokea wapi? Maana giza na mwanga ni kama mapacha wanaokuwa opposite.

Utagundua kabisa kulikuwa na kukosea katika kutafsiri. Badala ya kutafisri kwa pamoja Genesis 1:1-3 waliokuwa wanatafsiri walitafsiri mstari kwa mstari na kuondoa maana halisi

Ndio Maana sasa kunakuwa na mkanganyiko wa kumwelezea Mungu katika Uumbaji. Kwa sababu inamwonesha Mungu kuwa kitu chake cha kwanza Kuumba ilikuwa Mbingu na Nchi na haioneshi kabla ya hapo kulikuwa na jambo lolote.

Maandiko kutoka kwenye Jewish Publication Society (JPS) version of 1985

JPS Tanakh (1985)​

1:1 When God began to create heaven and earth --
1:2 the earth being unformed and void, with darkness over the surface of the deep and a wind from God sweeping over the water --
1:3 God said, "Let there be light"; and there was light.

Kiswahili from Google Direct Translation
1 Mungu alipoanza kuumba mbingu na nchi, 2 dunia ikiwa ukiwa na utupu, na giza juu ya uso wa vilindi vya maji na upepo kutoka kwa Mungu ukipita juu ya maji, 3 Mungu akasema, Na iwe nuru.

Ngoja nitaendelea....
 

Uchanganuzi wa Genesis 1:1 kwa undani zaidi​




Kwanza kabisa tunaanza kulionglea neno In the beginning. kwa maelezo haya maana yake hakukuwa na kitu chochote kabla. Maelezo haya yanaweza yakadogosha UKUU wa Mungu. Yanauweka Mungu anakuwa mwenye mawazo kama ya mwanadamu. Maana yake Kabla ya Begining there was nothing wa going on.

Tafsiri hii inaleta ukakasi kwa watu wanaofikiria kwa kina na kutaka kujua maandiko.



Kwahiyo ni muhimu sana kuyachunguza maandiko na kisha kuyaelewa mana halisi ya andiko.
Hebu tuweze sasa kuyachunguza maandiko hapa.

Katika maelezo ya kawida



Kuna mambo mawili ya kuangalia hapa:
1. Mungu aliumba mbingu na dunia
2. Mungu Akasema Mwanga Uwe

Utaona hapa kuna uumbaji wa namna mbili ukituonesha kuwa Giza lilikuwepo tu halikuumbwa na kilichoumbwa ni Mbingu na Dunia kisha Akasema akaumba Mwanga.

Kwa maelezo haya kama Mwanzoni Mungu aliumba Mbingu na Dunia je giza lilitokea wapi? Maana giza na mwanga ni kama mapacha wanaokuwa opposite.

Utagundua kabisa kulikuwa na kukosea katika kutafsiri. Badala ya kutafisri kwa pamoja Genesis 1:1-3 waliokuwa wanatafsiri walitafsiri mstari kwa mstari na kuondoa maana halisi

Ndio Maana sasa kunakuwa na mkanganyiko wa kumwelezea Mungu katika Uumbaji. Kwa sababu inamwonesha Mungu kuwa kitu chake cha kwanza Kuumba ilikuwa Mbingu na Nchi na haioneshi kabla ya hapo kulikuwa na jambo lolote.

Maandiko kutoka kwenye Jewish Publication Society (JPS) version of 1985

JPS Tanakh (1985)​





Ngoja nitaendelea....
Kuna kitu kimoja ambacho kwa karne nyingi ukitaka kujua imani potofu nyingi hujikita kwenye kitabu cha Mwanzo sura ya kwanza nyingi mno na watetezi huambiwa keep watch eneo hilo iwe kwenye tafsiri za Biblia angalia tu hicho kitabu cha mwanzo sura ya kwanza.Hapo ndipo asilimia kubwa imani potofu hujikita ndio maana binafsi sikushangai kwa angle unayokuja nayo ziko angle kibao watu hutumia kuingilia kupotosha hiyo mwanzo sura ya kwanza ziko zaidi ya 80 yako hii ni mojawapo tu
Binafsi Biblia yeyote tafsiri yeyote mimi kujua ikoje ya kweli au uongo huwa nasoma tu kitabu cha Mwanzo sura ya kwanza tu najua hapa kuna shida kabla kwenda sura ya pili


Tatizo lako huelewi kitu kidogo tu unatumia nguvu kubwa ya akili kuelewa kitu kilicho straight
.cha kwanza uelewe ni kuwa giza na kwa kiingereza kwenye Bible inaitwa void .Void ni darkness area ambayo ni eneo ambalo huwezi ona chochote kwa macho ya nyama au hata kwa darubini sababu hakuna kitu cha kuona
.Nini maana ya Void au utupu kwenye Biblia? Void ni neno zito maana yake nzitonkuwa hakukuwa hata na hewa ya oxygen au carbon.Chupa ikiwa tupu Haiwi tupu japo tunasema tupu lakini mle ndani mnakuwa na hewa.Lakini neno void maana yake hakukuwa na kitu chochote uwezacho kuona iwe kwa macho kwa darubini nk hapo just void.Ni usichokiona ni kama usiku wa giza.Hiyo darkness ina represent voidness kuwa there was nothing absolutely nothing to be seen

Sasa tunaposema unataka kuona kitu kwenye voidness you need light first to see the unseen iwe kuona Mungu ,Malaika etc lakini si kuwa wanaishi gizani la hasha.Hadi macho yetu teatime nuru ndipo tuone

kwa hiyo hilo giza ulielewe kwa mkuktadha huo

Tunapoongelea in the beginning tunaongelea beginning ya mbingu na nchi na vilivyomo sio beginning ya Mungu Rudia kusoma Biblia Na unapotaka kujua darkness ni nini? Biblia inaanza kuongea kuwa dunia ilikuwa void na kukawa na giza sio kukikuwa na giza dunia ikawa void

Na beginning ya dunia ilikuwa created kwenye area yenye giza .Sababu giza halikuwa mbinguni lilikuwa kwenye space ambako Dunia ilitakiwa kuwa created.Hivyo ku create dunia ili unseen ziwe seen kitu cha kwanza alifanya ni kuumba nuru ili vile unseen kwenye voidness viwe seen Ndipo baada ya nuru kuwepo ndipo akaanza kuumba dunia kuileta kwenye voidness viwe seen

In the beginning ni historia hasa ya vitu vinavyoonekana sio visivyoonekana
 
Kuna kitu kimoja ambacho kwa karne nyingi ukitaka kujua imani potofu nyingi hujikita kwenye kitabu cha Mwanzo sura ya kwanza nyingi mno na watetezi huambiwa keep watch eneo hilo iwe kwenye tafsiri za Biblia angalia tu hicho kitabu cha mwanzo sura ya kwanza.Hapo ndipo asilimia kubwa imani potofu hujikita ndio maana binafsi sikushangai kwa angle unayokuja nayo ziko angle kibao watu hutumia kuingilia kupotosha hiyo mwanzo sura ya kwanza ziko zaidi ya 80 yako hii ni mojawapo tu
Binafsi Biblia yeyote tafsiri yeyote mimi kujua ikoje ya kweli au uongo huwa nasoma tu kitabu cha Mwanzo sura ya kwanza tu najua hapa kuna shida kabla kwenda sura ya pili
Ndugu yangu. Nakusihi ujikite kwenye mada. Kuanza kunijadili mimi mara sijui, mara imani potofu mara oh!!. Tujadili mada. Na ninakusihi ujadili mada hii bila emotions. Maana nakuona kwenye maandishi yako umejaa jaza.

Ngoja tujadili:
Kuna kitu kimoja ambacho kwa karne nyingi ukitaka kujua imani potofu nyingi hujikita kwenye kitabu cha Mwanzo sura ya kwanza nyingi mno na watetezi huambiwa keep watch eneo hilo iwe kwenye tafsiri za Biblia angalia tu hicho kitabu cha mwanzo sura ya kwanza.Hapo ndipo asilimia kubwa imani potofu hujikita ndio maana binafsi sikushangai kwa angle unayokuja nayo ziko angle kibao watu hutumia kuingilia kupotosha hiyo mwanzo sura ya kwanza ziko zaidi ya 80 yako hii ni mojawapo tu
Binafsi Biblia yeyote tafsiri yeyote mimi kujua ikoje ya kweli au uongo huwa nasoma tu kitabu cha Mwanzo sura ya kwanza tu najua hapa kuna shida kabla kwenda sura ya pili
Maelezo haya yote nimeyatolea ufafanuzi kabla hata ya wewe kuyaweka.
Nimekuwekea kitabu cha Matendo ya Mitume 17:11
Watu hawa walikuwa waungwana kuliko wale wa Thesalonike, kwa kuwa walilipokea lile neno kwa uelekevu wa moyo, wakayachunguza maandiko kila siku, waone kwamba mambo hayo ndivyo yalivyo.
Sasa wewe ndugu yangu hutaki tuyachunguze maandiko? Unataka tusiyajadili na tusione makosa yaliyomo kwenye tafsiri? Hivi unajua kuwa kuna version zaidi ya 1000 za biblia? Kwanini kunakuwa na version nyingi hivyo?

Hiyo darkness ina represent voidness kuwa there was nothing absolutely nothing to be seen.
Hebu nakuomba usome vizuri kwa kutulia. Maana naona unabisha kitu ambacho hujasoma hata nilichokiandika.
Nakuomba uondoe hasira twende taratibu Genesis: 1:1-2 King James Version
1 In the beginning God created the heaven and the earth.
2 And the earth was without form, and void; and darkness was upon the face of the deep. And the Spirit of God moved upon the face of the waters.
Hapo kwenye mstari wa pili kuna mambo matatu kuhusu dunia
1. without form
2. void
3. Darkness was upon the face of the deep
Sasa niliuliza lile giza lililokuwa juu ya vilindi lenyewe halikuumbwa? Naomba ujibu swali hili. Maana tunaona kwenye verse 3 Mwanga unaumbwa.

Tunapoongelea in the beginning tunaongelea beginning ya mbingu na nchi na vilivyomo sio beginning ya Mungu Rudia kusoma Biblia Na unapotaka kujua darkness ni nini? Biblia inaanza kuongea kuwa dunia ilikuwa void na kukawa na giza sio kukikuwa na giza dunia ikawa void.

Kwanza kabisa Hakuna sehemu nimesema beginning of God Soma vizuri maelezo yangu.
Maelezo yangu yapo clear kabisa, Kabla ya hapo kuumba mbingu na nchi Mungu alikuwa anafanya nini?
Unatakiwa usome kama mwanafalsafa na kama walivyokuwa Waberoya
Halafu unatakuiwa uelewe tu. Mimi sipingi Maandiko bali ninapinga namna ya tafsiri ilivyotumika.

Biblia inaanza kwa kusema (Hapo Mwanzo) Hivi unaelewa lakini maana ya neno hili. Inamaa Mungu alikuwa hafanyi chochote then pakawepo na Mwanzo.
Nimekuwekea source ya Tanakh Version ya 1985 ambayo imachapishwa kwa kingereza na Jewish Publication Society Na unatakiwa kuelewa Agano la kale lote ni Tanakh wayahudi hawana Agano jipya.

Tanakh kwa Tafsiri ya Kingereza Mwanzo 1:1-3

1:1 When God began to create heaven and earth --
1:2 the earth being unformed and void, with darkness over the surface of the deep and a wind from God sweeping over the water --
1:3 God said, "Let there be light"; and there was light.
Mbona ndugu yangu hutaki kusoma?
Source hii hapa: JPS Tanakh (1985)

In the beginning ni historia hasa ya vitu vinavyoonekana sio visivyoonekana.
Huwezi ukaweka conclusion ya hivi ndugu yangu. Utakuwa unamdogosha sana Mungu. Eti Mungu alianza kuumba Mbingu na Dunia tu? What?

Ndani ya Solar System tupo na sayari nyingi. Achilia kuongelea Universe

Nakusihi hebu jaribu kusoma tena na uje na maelezo yanayoeleweka na uache hasira.
 
Ndugu yangu. Nakusihi ujikite kwenye mada. Kuanza kunijadili mimi mara sijui, mara imani potofu mara oh!!. Tujadili mada. Na ninakusihi ujadili mada hii bila emotions. Maana nakuona kwenye maandishi yako umejaa jaza.

Ngoja tujadili:

Maelezo haya yote nimeyatolea ufafanuzi kabla hata ya wewe kuyaweka.
Nimekuwekea kitabu cha Matendo ya Mitume 17:11

Sasa wewe ndugu yangu hutaki tuyachunguze maandiko? Unataka tusiyajadili na tusione makosa yaliyomo kwenye tafsiri? Hivi unajua kuwa kuna version zaidi ya 1000 za biblia? Kwanini kunakuwa na version nyingi hivyo?


Hebu nakuomba usome vizuri kwa kutulia. Maana naona unabisha kitu ambacho hujasoma hata nilichokiandika.
Nakuomba uondoe hasira twende taratibu Genesis: 1:1-2 King James Version

Hapo kwenye mstari wa pili kuna mambo matatu kuhusu dunia
1. without form
2. void
3. Darkness was upon the face of the deep
Sasa niliuliza lile giza lililokuwa juu ya vilindi lenyewe halikuumbwa? Naomba ujibu swali hili. Maana tunaona kwenye verse 3 Mwanga unaumbwa.



Kwanza kabisa Hakuna sehemu nimesema beginning of God Soma vizuri maelezo yangu.
Maelezo yangu yapo clear kabisa, Kabla ya hapo kuumba mbingu na nchi Mungu alikuwa anafanya nini?
Unatakiwa usome kama mwanafalsafa na kama walivyokuwa Waberoya
Halafu unatakuiwa uelewe tu. Mimi sipingi Maandiko bali ninapinga namna ya tafsiri ilivyotumika.

Biblia inaanza kwa kusema (Hapo Mwanzo) Hivi unaelewa lakini maana ya neno hili. Inamaa Mungu alikuwa hafanyi chochote then pakawepo na Mwanzo.
Nimekuwekea source ya Tanakh Version ya 1985 ambayo imachapishwa kwa kingereza na Jewish Publication Society Na unatakiwa kuelewa Agano la kale lote ni Tanakh wayahudi hawana Agano jipya.

Tanakh kwa Tafsiri ya Kingereza Mwanzo 1:1-3


Mbona ndugu yangu hutaki kusoma?
Source hii hapa: JPS Tanakh (1985)


Huwezi ukaweka conclusion ya hivi ndugu yangu. Utakuwa unamdogosha sana Mungu. Eti Mungu alianza kuumba Mbingu na Dunia tu? What?

Ndani ya Solar System tupo na sayari nyingi. Achilia kuongelea Universe

Nakusihi hebu jaribu kusoma tena na uje na maelezo yanayoeleweka na uache hasira.
Kifupi Biblia inajitosheleza huwa haihitaji matabu mengine nje ya Biblia kujieleza

Hili ni eneo lingine imani potofu huingilia utasikia ohh sijui mfalme Constantine au kikao cha Trent or dictionary inasema hivi au sijui nani alisema hivi jua imani potofu muda wowote inaingia uwanjani

Waberoya waliyachunguza maandiko kwa maandiko yenyewe sio kwa kutegemea matabu yaliyookotwa majalalani yawe yaliyoandikwa na wayahudi au la Wakitafsiri mambo ya rohoni kwa maandiko hayo hayo ndicho walichofanya waberoya sio huu upuuzi wako

Naomba nimalizane mjadala na wewe kwa neno moja tu Bibkla haihitaji external assistance nje ya Biblia ku prove chochote au kutafsiri kama iko right Iko self contained.Let us agree to disagree kwa lolote bye bye sichangii tena mada yako
 
Kifupi Biblia inajitosheleza huwa haihitaji matabu mengine nje ya Biblia kujieleza

Hili ni eneo lingine imani potofu huingilia utasikia ohh sijui mfalme Constantine au kikao cha Trent or dictionary inasema hivi jua imani potofu muda wowote inaingia uwanjani

Waberoya waliyachunguza maandiko kwa maandiko yenyewe sio kwa kutegemea matabu yaliyookotwa majalalani yawe yaliyoandikwa na wayahudi au la Wakitafsiri mambo ya rohoni kwa maandiko hayo hayo ndicho walichofanya waberoya sio huu upuuzi wako

Naomba nimalizane mjadala na wewe kwa neno moja tu Bibkla haihitaji external assistance nje ya Biblia ku prove chochote au kutafsiri kama iko right Iko self contained.Let us agree to disagree kwa lolote bye bye sichangii tena mada yako
Mimi nitaendelea kutoa Elimu tu.

Kifupi Biblia inajitosheleza huwa haihitaji matabu mengine nje ya Biblia kujieleza
Unajua lakini kuwa Biblia ni mkusanyiko wa vitabu uliokuwa assembled na Baraza la Maaskofu?
Mkusanyo rasmi wa Biblia, kama tunavyoijua leo, uliidhinishwa katika mabaraza ya makanisa kama Baraza la Hippo (393 BK) na Baraza la Karthage (397 BK).

Biblia ya Wakatoliki waliongeza vitabu vingine kwenye Agano la Kale ambavyo havipo kwenye Tanakh

Hili ni eneo lingine imani potofu huingilia utasikia ohh sijui mfalme Constantine au kikao cha Trent or dictionary inasema hivi jua imani potofu muda wowote inaingia uwanjani
Toa maelezo sasa. hiyo biblia unayoisoma leo ilitoka wapi? Maana hutoi maelezo yoyote unachamba tu. 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣

Waberoya waliyachunguza maandiko kwa maandiko yenyewe sio kwa kutegemea matabu yaliyookotwa majalalani yawe yaliyoandikwa na wayahudi au la Wakitafsiri mambo ya rohoni kwa maandiko hayo hayo ndicho walichofanya waberoya sio huu upuuzi wako
Matabu yapi yaliyotoka majalalani tunayaongelea hapa? Hivi hujui imani hii ya Ukristo asili yake ni Wayahudi?

Naomba nimalizane mjadala na wewe kwa neno moja tu Bibkla haihitaji external assistance nje ya Biblia ku prove chochote au kutafsiri kama iko right Iko self contained.Let us agree to disagree kwa lolote bye bye sichangii tena mada yako
🤣🤣🤣🤣 Nani kaleta external Assistant hapa?

Umeshindwa kutueleza Kuwa kabla ya kuumba Mbingu na Dunia Mungu alikuwa anafanya nini?
Umeshindwa kutueleza Giza lilitoka wapi?

Nenda kwenye majukwaa ambayo upo na uwezo nayo. Hii ni Intelligence Thread simple mind hamuiwezi.
 
How can verb be singular or plural? Hebu naomba unipe singular and plural ya verb yoyote ya kingereza in past tense.
Was (singular) and we're (plural). He was at the match yesterday (singular). They were at the match yesterday (plural).
 
Kuna maneno mawili kwenye kiingereza kuna create na make

Creating is making something out of nothing bila kutumia any physical material

Making is using somethin physical to make something physical

Mwanzo 1 :1 God created he made something out of nothing .Mbingu na nchi

Wakati hiyo Genesis 1:26 kuna combination hapo ya divinity ya ku create na ku make

Huyo mtu aliumbwa kwa combination ya udongo na pumzi ya Mungu ndio maana kuna neno Make hapo

Mwanzo 2:7
BWANA Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai.

Sisi tumeumbwa in the image of God .Ina.maana gani Mungu aliposema let us create in our image aliongelea in the the imagination of God .What was in the imagination

Kwa nini limetumika in our imagination ? Hapo unaongelewa utatu mtakatifu .Mungu akiongea na Roho mtakatifu na Yesu .Na hapo ndio mwanzo tunaona wa nafsi tatu zikijadili kuwa mtu aumbe awe naye na awe na utatu yaani awe na mwili ,roho na nafsi .Hizo aspect zote tatu ziwemo kwa huyo mtu

Sio kuwa kuna miungu mitatu au mingi ilikuwa inajadiliana
In other words, "let us make...our likeness" - the use of plural form is "majestic expression".
 
My God! Umesoma biblical exegesis au hermeneutics kweli? Kwenye uandishi wa Biblia kuna matumizi ya lugha ya heshima kwa Mungu (majestic language) - kutumia wingi mahali pa umoja', na wala siyo makosa ya uandishi. Hata katika lugha kama Kifaransa kuna matumizi ya lugha kama hiyo. Mfano, ukimwongelea mzazi au mtu official unatumia neno 'vous' = 'nyinyi'. Mfano, "comment allez-vous": How are you? Lakini kama agemate, colleague, rafiki, utasema: "comment ca va"?: How are you? Kwenye lugha kama Chichewa, kumu'address' mzazi, mtu official au kumsalimia utasema: 'Ali bwanji'...? Sawa na kusema "Hamjambo"? Lakini kumu'address' agemate, rafiki, rafiki etc: utasema: 'mulibwanji'...? 'Ali bwanji' ni wingi wa 'muli bwanji'. Ukitumia 'ali bwanji' kwa mtu mmoja, Ina maana umetumia 'majestic language'...umeonyesha heshima kwa mtu unayemsalimia. Wakati ukitumia 'muli bwanji' kama ni mtu mkubwa kwa cheo au umri atajisikia kwamba umempa salamu ya kawaida/umemdharau. Style ya uandishi wa Kitabu cha Mwanzo, inafuata tradition hii ya majestic language, lakini siyo kosa la kiuandishi, bali style ya uandishi.
Acha kuleta porojo.. Biblia yenyewe inadai kila neno limetiwa Pumzi. Watafsiri ndio wameleta kwa Umoja kulingana na Maoni yao wenyewe ila ile OG ni wingi tu umetumika.

Just imagine wangapi wanatumikia Sheria hewa?

Sijui Walijisahau vipi pale kwenye "Na Tumfanye"
 
Back
Top Bottom