Bible Vs Science: Je ulimwengu una umri gani?

Bible Vs Science: Je ulimwengu una umri gani?

Rudia kusoma maandiko (Biblia) pengine utaelewa. 2 Petro 3:8 Lakini, wapenzi, msilisahau neno hili, kwamba kwa Bwana siku moja ni kama miaka elfu...
Je, unadhani siku saba zinazotajwa zilikuwa na saa 24 kama siku tuzijuazo leo?...
Ikiwa siku moja ni sawa miaka 1000 hapa unamaanisha tufanye kazi miaka 6000 alafu tupumzike siku ya 7 (yaani tupumzike miaka 1000)Doesn't make sense..

Vipi kuhusu kuikumbuka siku ya Sabato nayo pia itabidi tuisubiri kwa miaka 1000???? Haina mashiko hoja yako
 
Ikiwa siku moja ni sawa miaka 1000 hapa unamaanisha tufanye kazi miaka 6000 alafu tupumzike siku ya 7 (yaani tupumzike miaka 1000)Doesn't make sense..

Vipi kuhusu kuikumbuka siku ya Sabato nayo pia itabidi tuisubiri kwa miaka 1000???? Haina mashiko hoja yako
Anachosema ni kwamba hizo siku 7 za uumbaji sio lateral kama zetu hizi bali ni figurative ntakueleza scenario nyingine.

mwanzo 5:18 inaonyesha Enoch kazaliwa baada ya vizazi sio chini ya 6 na watu zaidi ya elfu 1.

lakini Yuda 1:14 inasema Enoch ni mtu wa saba kuishi duniani baada ya Adam!! Does it make sense!!

Nachosema ni kwamba Biblia ni mafumbo sio lateral ikiwa hivyo kuna mistari hapa nikikuuliza mwenyewe utaona haileti maana ya uhalisia mfano Ezekiel 31 inasema Miti ya Eden ilioneana wivu, mara miti mingine imehukumiwa kuzimu, mara kuna miti ina kiburi!! Does it make sense!!?

Bible is purely figurative
 
Anachosema ni kwamba hizo siku 7 za uumbaji sio lateral kama zetu hizi bali ni figurative ntakueleza scenario nyingine.

mwanzo 5:18 inaonyesha Enoch kazaliwa baada ya vizazi sio chini ya 6 na watu zaidi ya elfu 1.

lakini Yuda 1:14 inasema Enoch ni mtu wa saba kuishi duniani baada ya Adam!! Does it make sense!!

Nachosema ni kwamba Biblia ni mafumbo sio lateral ikiwa hivyo kuna mistari hapa nikikuuliza mwenyewe utaona haileti maana ya uhalisia mfano Ezekiel 31 inasema Miti ya Eden ilioneana wivu, mara miti mingine imehukumiwa kuzimu, mara kuna miti ina kiburi!! Does it make sense!!?

Bible is purely figurative
Bible inasema ikawa jioni,ikawa asubuhi siku ya pili..Inamaana katika miaka hiyo 1000 kuna baadhi ya miaka ilikuwa ya Giza

vipi kuhusu jua kuzama pia ilichukua muda wa miaka 1000 jua kuzama na kuchomoza ????
Kama zamani jua lilizama kwa miaka elfu 1 na ili kuwa na siku moja ..

Je nini kilitokea jua kubadili utaratibu na kuanza kuzama na kuchomoza kwa Massa 24 kama sasa

Bible inasema Adamu alifariki akiwa na umri wa miaka 930 ( kwa hiyo unataka kusema Adamu aliishi miaka 930x 1000=930,000

Yaaani miaka laki 9 na 30
 
Ikiwa siku moja ni sawa miaka 1000 hapa unamaanisha tufanye kazi miaka 6000 alafu tupumzike siku ya 7 (yaani tupumzike miaka 1000)Doesn't make sense..

Vipi kuhusu kuikumbuka siku ya Sabato nayo pia itabidi tuisubiri kwa miaka 1000???? Haina mashiko hoja yako
Anachosema ni kwamba hizo siku 7 za uumbaji sio lateral kama zetu hizi bali ni figurative ntakueleza scenario nyingine.

mwanzo 5:18 inaonyesha Enoch kazaliwa baada ya vizazi sio chini ya 6 na watu zaidi ya elfu 1.

lakini Yuda 1:14 inasema Enoch ni mtu wa saba kuishi duniani baada ya Adam!! Does it make sense!!

Nachosema ni kwamba Biblia ni mafumbo sio lateral ikiwa hivyo kuna mistari hapa nikikuuliza mwenyewe utaona haileti maana ya uhalisia mfano Ezekiel 31 inasema Miti ya Eden ilioneana wivu, mara miti mingine imehukumiwa kuzimu, mara kuna miti ina kiburi!! Does it make sense!!?

Bible is purely figurative
Bible inasema ikawa jioni,ikawa asubuhi siku ya pili..Inamaana katika miaka hiyo 1000 kuna baadhi ya miaka ilikuwa ya Giza

vipi kuhusu jua kuzama pia ilichukua muda wa miaka 1000 jua kuzama na kuchomoza ????
Kama zamani jua lilizama kwa miaka elfu 1 na ili kuwa na siku moja ..

Je nini kilitokea jua kubadili utaratibu na kuanza kuzama na kuchomoza kwa Massa 24 kama sasa

Bible inasema Adamu alifariki akiwa na umri wa miaka 930 ( kwa hiyo unataka kusema Adamu aliishi miaka 930x 1000=930,000

Yaaani miaka laki 9 na 30
Nimependa hizi hoja zenu ,ziko vzr zinafikirisha

MTC | 101| [emoji769]
 
Sayansi inapaswa kukumbatiwa sana.

Kila mtu mwenye kutafuta ukweli anaweza kuelewa ukweli wa ulimwengu: dunia kwa kutotengana na sayansi.

Ni vigumu kusema biblia haizungumzi sayansi. Kwa maana nyingine ni hivi: haiwezekani sayansi bila biblia.

Maarifa ya sayansi yametokana na maarifa ya biblia. Maarifa ya biblia ni maarifa yaliyo ya juu sana!

Kwa msingi huo, pamoja na nafasi ya sayansi, juu ya umri sahihi wa ulimwengu:dunia, kwa kweli hili ni jambo ambalo halijafahamika vizuri.

Sayansi katika hili na mambo mengine controversial imefafanua ingawa sio kwa ukamilifu wote.

Hivyo hakuna mtu anaejua kwa hakika ulimwengu: dunia una/ina muda gani in term of years tangu kuumbwa kwake.
 
Mada nzuri,nitarudi kufuatilia michango yote ya wadau
 
Back
Top Bottom